Huu ni msemo wa kizazi kipya , siyo ya wahengaBinti akitaka kuolewa usimzuie mwache akaonje kulala bila chupi
Habari motomoto kutoka Manisapaa ya Iringa zinatanabaisha kuwa Diwani wa Kata ya Kwakilosa kupitia tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA, Joseph Ryata ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo, ajivua uanachama wa chama hicho na kujiunga na CCM
Je, ile hama hama sasa imehamia nyumbani kwa Mchungaji Msigwa na Ole Sosopi?
Hizi habari hazihuziki tenaHabari motomoto kutoka Manisapaa ya Iringa zinatanabaisha kuwa Diwani wa Kata ya Kwakilosa kupitia tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA, Joseph Ryata ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo, ajivua uanachama wa chama hicho na kujiunga na CCM
Je, ile hama hama sasa imehamia nyumbani kwa Mchungaji Msigwa na Ole Sosopi?