CHADEMA yamoga kung’atuka uchagani

CHADEMA yamoga kung’atuka uchagani

Uwa nikiandika wananinanga sana
1. Nilisema kuhusu Mbowe kuachia madaraka nikakangwa
2. Nikasema uhuni wa kumpeleka Lowassa CDM nikanangwa
3. Nikasema Covid 19 Mnyika na Mbowe walipanga nikanangwa
4. nikaandika kwamba Covid 19 hawatafukuzwa CDM ni kiini macho watu wakaninanga sana !

Kwa sasa CHADEMA SI TUMAINI LA WATANZANIA TENA NI LA WACHAGA


Narudia hata wachaga baadhi nao wamesema inatosha sasa!

Tanzania tunacheza Ana sana

Britanicca
Naona mnakula hela za Adbdul.
 
Chadema ni CHAMA cha wachaga mkuu, top leaders wote ni wachaga, alafu kiongozi wao hataki kutoka madarakani
Shida ya Mbowe wala siyo uchaga ila kuna kamzizi fulani ndani ya hivi vyama. Mtu mpaka anaonekana wazi kuwa hahitajiki tena ila anakaza fuvu tu.

Naona labda wapo kwenye payroll ya system maana siyo bure. Inafikia mpaka chama anabakia nacho peke yake mfano Mrema na Cheyo lakini hawaachii. Huko ndipo anakoelekea Mbowe hivyo tatizo ni hawa watu hawataki kusoma alama za nyakati. Sasa kwa mfano Mbowe ana jipya gani kwa nyakati hizi? Jiulize wanamshawishi ili agombee kwa maslahi gani ya chama? Na wanaomshawishi ni akina nani? Hamuwaoni ni watu wa aina gani?

Elewa kwamba watu wote wanaoiona mbele ya Chadem tulisimama mara moja kumtaka aishie mwaka huu na hilo lipo wazi ni kwanini tunamwambia hivyo.

Ajabu machawa wake kwa kuwa wana ajenda na maslahi binafsi hilo wala hawana shida nalo. Sisi tunaona mbali na kweli Mbowe kama haamini basi ajitwalie uenyekiti kwa muhula huu. Kitakufa.
 
Mbowe aelewe tuna mzoom...chama kimebeba matumaini ya watu, asiangalie kamati kuu tu inaamua nini kwenye uchaguzi,aangalie kukubalika kwake kwa wananchi walio na chadema wasio chadema!...anaheshimika ila wengi wanataka uongozi wa Lissu,ukweli wooote wanaujua, usidharau maoni ya wengi!
Wanademaga Wana inelejinsia Kali sasa mbowe
Aitumie kujua upepo unavuma wapi
 
Kwa ushenzi wanaoufanya bora tuwaadhibu kwenye uchaguzi mkuu ujao kwa kuishindilia kura za ndiyo CCM ishinde ushindi wa kimbunga na mafuriko. Wapinzani tuwapumzishe wakajifunze na washike adabu kwa wananchi waliowaamini halafu wao wanaleta ushenzi
 
Back
Top Bottom