kwani chadema ni taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa?
kutokujua jambo sio utetezi kisheria! hivi waziri asipojua ni nani mwingine anategewa kujua??Sijawahi kuona waziri mjinga kama huyu Mulugo. Ni utetezi wa kitoto kabisa ameutoa.
*Haiwezekani mtu upite tu mahali halafu uone mkusanyiko wa watu (tena wameweka bendera na alama za chama chao), halafu kisha upande tu jukwaani na kuanza kutoa pesa na ahadi za mifuko ya Saruji!!!
*Kuvunja sheria pasipo kujua hakukuondolei adhabu ya kutiwa hatiani. Iwe umekusudia au haukukusudia kuvunja sheria, adhabu inabaki pale pale.
ccm maji ya kichwa!Chadema maji ya shingo
mlugo kuna kitu anajua? kila akiulizwa jambo yeye huwa hajui.
kama ungekuwa na uwezo wa kupeleka watu polisi mbona lwakatare alikuwa anafanya ahalifu na hujamkamata,mimi huwa nawambia vijana wa bavija mnamatatizo tena makubwa.
Waziri Hopeless kabisa huyu.