CHADEMA yamebuma

CHADEMA yamebuma

Status
Not open for further replies.
leo hii MBOWE anawalamba miguu watu wa CUF ambao siku za nyuma waliwatukana , TUNDU LISSU na kifaranga mwenzake WENJE ambao waliwatusi sana NCCR leo wamejificha nyuma yao, ama kweli CHADEMA ni taka taka

aka uharo
 
rip chadema

Ni bora ccm inayoongozwa na wezi, wauaji, wanyang'anyi wasio na utu chini ya kuu la majambazi JM Kikwete akishirikiana na makada wa ccm ife nao wafe kuliko hiki chama dume chama cha kikombozi cha makini CHADEMA. Mungu ibariki Tanganyika Mungu ibariki Zanzibar Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki CHADEMA.
 
Mmekuja na kasi ya kusema Chadema imekufa hata aibu hamuoni wehu nyie? tumechoka kelele zenu nyie wapiga debe! Hata aibu hamna kwa mtu mzima kutafuta riziki kwa malipo ya kuandika kile bwana wako apendacho? Mtashika ukuta mpaka lini nyie
Wadau wengine mnisamehe nimechukia, hawa vijana buk7 wanauzi sana
 
Ni bora ccm inayoongozwa na wezi, wauaji, wanyang'anyi wasio na utu chini ya kuu la majambazi JM Kikwete akishirikiana na makada wa ccm ife nao wafe kuliko hiki chama dume chama cha kikombozi cha makini CHADEMA. Mungu ibariki Tanganyika Mungu ibariki Zanzibar Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki CHADEMA.

rip chagadema
 
Unajifariji sana mjomba kama MUNGU haishivyo msipotubu dhambi yenu matakufa siku zenu ziko mikononi mwa MUNGU dhambi yenu ni kubwa kwa watanzania wote so kifo ni haki narudia kusema msipotubu dhambi yenu mtakufa. Wanaoshiriki wote katika haya madhambi lazima mtakufa.

rip chagadema
 
Wanaonishangaza zaidi ni hao CUF na NCCR. Walitukanwa na chadema kupita kiasi, sasa vipi tena?
 
Baada ya kuona chadema haina mvuto tena, kuficha aibu wakajificha ktk kichaka cha ukawa.
 
Kuna watu wakisikia chadema wanapata tumbo la kuhara,jina limewakaa mpaka usingizini wanaweweseka,kwao huwaza zaidi ya wake zao kila mda thread na kuhangaika ka kuku wanaotaga,kama mna mapenz mema chadema kufa inawaumia nin?
 
bila shaka isingekuwa ukawa CHADEMA ingekua end of game. hv ss madhaifu na migogoro iliopo chadema imept coverup ya ukawa.

Mgogoro unajua wewe na swahiba Wa ccm bwana zitto kabwe anayekacha bunge sasa hvi kisa kavuliwa vyeo chadema,na kubakiza uwasilishaji Wa maandishi,tokea aambiwe na werema ni mnafiki amebakiza unafiki na wtu wake hao Wa kubumba toka mikoa ya kinafiki kama yeye.
 
Wanaonishangaza zaidi ni hao CUF na NCCR. Walitukanwa na chadema kupita kiasi, sasa vipi tena?
Vipi waanzilishi wa TAA nasikia walitukanwa na Nyerere na hatimaye TAA ikavunjwa na kuundwa TANU hata hivyo waliendelea kuwa na Nyerere, pamoja na wajomba zako... Nahiyo ndio sababu ukisikia jina la Nyerere tumbo la hedhi linakushika!
 
hapo wajinga ni cuf na nccr, wangewaacha cdm wafe peke yao sasa wamekubali kujiunga kwenye msafara wa kifo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom