CHADEMA yamebuma

CHADEMA yamebuma

Status
Not open for further replies.
Acheni kupotosha watu,kinachotarajiwa kufa ni ccm na sio chadema,chadema ndicho chama cha ukombozi lakini ccm ni chama cha wanyonyaji wakubwa na walaaniwe na mwenyezi mungu kwani miaka yote 50 madarakani hakuna kitu kilichofanyika mbali na wizi mtupu,kweli ccm ni janga la kitaifa,2015 lazima kieleweke mafisadi wakubwa,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom