Na bado, watalijua jiji la Mwanza. Ufisadi ndani ya utawala wa CHADEMA hauna nafasi kabisa.Kuna muajiriwa mmoja wa halmashauri ya jiji alikiri kwamba hali ni ngumu sana kwa sasa.
hii safi.
wasiwasi wangu ni source ya taarifa yenyewe. inaonekana uliambiwa tu na jamaa yako mkiwa kwenye baraza la supu ya sato