Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Malalamiko mengine sio hadhi ya chama makini kama CDM. Tujiheshimu
utakuwa hauelewi siasa za field wewe, we bakia kwenye internet tu.
Malalamiko mengine sio hadhi ya chama makini kama CDM. Tujiheshimu
utakuwa hauelewi siasa za field wewe, we bakia kwenye internet tu.
Hahahahahaaaaaaa...
Kila siku tupo sote hapa jukwaani lakini....
utakuwa hauelewi siasa za field wewe, we bakia kwenye internet tu.
Sangarara kweli kama ulivyosema, ni bahati mbaya sana kwamba tuna wataalamu wengi wa siasa za mitandao ya kijamii wasiojua battle ya huko field ikoje.
Watakapotangaziwa kwamba mabalozi wa nyumba kumi, wa vyama vyote wameondolewa kwenye mfumo wa utendaji wa kiserikali ndipo watajua kwamba Chadema wanajua sana wanachokifanya katika siasa za nchi hii.
Chadema imeshaanza rasmi kuwatumia wajumbe wa nyumba kumi. Hata kama ikitokea vyama vingine kama cuf imeshindwa kuweka wajumbe wa nyumba kumi lakini huu mkorogano wa wajumbe wa Chadema vs wa ccm utasaidia sana kuwaondoa wajumbe wa ccm katika mfumo wa kiserikali ama kuwatambua wa Chadema katika mfumo huo.