CHADEMA yalaani Shambulio Dhidi ya Dkt Kitima

CHADEMA yalaani Shambulio Dhidi ya Dkt Kitima

Kama tumefikia hapa, hii ni mbaya sana. Tutaanza kuona na wakili nao wakiwa attacked.

Yaani kinachotakiwa sasa ni Taifa zima kuwa na sauti moja, yaani watu mil 65 tuwe na mtazamo na fikra moja tu.
 
Kama tumefikia hapa, hii ni mbaya sana. Tutaanza kuona na wakili nao wakiwa attacked.

Yaani kinachotakiwa sasa ni Taifa zima kuwa na sauti moja, yaani watu mil 65 tuwe na mtazamo na fikra moja tu.
Kuna wanufaika wachache ambao wameikamata system vizuri
 
Lakini alikaa na Yesu mlimani wakipiga story 😁🇹🇿
Si shetani alimpigisha stori Yesu aingie kwenye anga zake - aasi.

Shetani hana rafiki, anayajua na kuyapigania maslahi yake bila kukata tamaa; ndio naana alimrudia Yesu pale msalabani akimwambia "kama kweli wewe ni mwana wa Mungu shuka msalabani"
 
Back
Top Bottom