Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 6,204
- 5,069
Kila mtu azike Mfu wake
Kada wa Chadema ashambuliwa 😃😃
Kada wa Chadema ashambuliwa 😃😃
Kuna dhambi zaidi ya kuteka na kuua?Hahaha mtapata Dhabi nyie
Shetani hana Rafiki, Muulize Nape NnauyeKila mtu azike Mfu wake
Kada wa Chadema ashambuliwa 😃😃
Usijitoe ubongo wee mzeiyaa!! Dawa ni kusali novena ya week nzima itafune wahusika woote!!Haya
Siku hizi lugha ya mawasiliano ni kizungu?
Au Jon Mrema kimombo ilikuwa zero 😂
Mtumishi wa Mungu tunamwombea arudi kwa BabaShetani hana Rafiki, Muulize Nape Nnauye
Mikwara hiyo acha upumbavuUsijitoe ubongo wee mzeiyaa!! Dawa ni kusali novena ya week nzima itafune wahusika woote!!
Tunakutakia kila la heri kwenye mauaji yakoMtumishi wa Mungu tunamwombea arudi kwa Baba
Hahaha
Wapumbavu nyieTunakutakia kila la heri kwenye mauaji yako
Nyie ni kama kenge mkiona damu ndipo mnajua mmeumia!Mikwara hiyo acha upumbavu
Padri gan yule mwanasiasaKuwakamata watu hao ni dk 10 tu, Serikali kama mna nia ya dhati ya kuwadaka hao wahuni ombeni msaada wa mifumo ya setellite hata hii ya google.
Kwa sasa unaweza onyeshwa hadi kwa 3D - image full kuanzia mwanzo wa tukio hadi mwisho.
Kanisa katoriki nafikiri wana uwezo wa kuomba msaada huo na wakaja na
Picha full mziki.
Padri akifa si anaenda Mbinguni??Nyie ni kama kenge mkiona damu ndipo mnajua mmeumia!
Hawawezi kulaani mchongo wao brohMbona CCM wameshindwa kulaani? CCM ni magaidi tupu
SureHawawezi kulaani mchongo wao broh
Mungu awabariki na kuwalinda watumishi wakeChama cha Demokrasia na Maendeleo kimelaani Shambulio la kupangwa dhidi ya Katibu wa TEC Father Charles Kitima lililokusudia kutoa Uhai wake.
Taarifa ya Chama hicho iliyosambazwa kote Duniani hili hapa
View attachment 3321681
Soma pia News Alert: - Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake ni mbaya
😀😀Sure
DUH! BRENDA MKALI AISEEChama cha Demokrasia na Maendeleo kimelaani Shambulio la kupangwa dhidi ya Katibu wa TEC Father Charles Kitima lililokusudia kutoa Uhai wake.
Taarifa ya Chama hicho iliyosambazwa kote Duniani hili hapa
View attachment 3321681
Soma pia News Alert: - Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake ni mbaya
Mulliro omba tafsiri ujue taarifa gani imeenda huko.Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimelaani Shambulio la kupangwa dhidi ya Katibu wa TEC Father Charles Kitima lililokusudia kutoa Uhai wake.
Taarifa ya Chama hicho iliyosambazwa kote Duniani hili hapa
View attachment 3321681
Soma pia News Alert: - Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake ni mbaya
Mtego wa panya umefunga kitobo. Anahangaika pakutokea Mkuu.Mbona CCM wameshindwa kulaani? CCM ni magaidi tupu