Mujumba
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 853
- 306
Kwa mujibu wa first hand information kutoka Arumeru ni kwamba chama cha demokrasia na maendeleo,kimeanza kuonyesha dalili zote za kushindwa uchaguzi huo! ile morali iliyokueko mwanzoni kabisa sasa imeisha, mfano katika mkutano mmoja wa kampeni uliofanyika katika shule moja ya sekondari mkutano huo uliudhuriwa na wafuasi wachache sana wa chama hicho! magwanda yao yamekuwa hayavaliwi sana huku Nguo za KIJANI za chama tawala zikizidi KUTAMALAKI! swali langu, je CHADEMA ndo wamekubali KUSHINDWA?