Katika kile kinachoonekana Chadema inaendelea kukubalika vijijini huko mbeya vijijini kijiji cha Ndola, Kata ya Nsalala mgombea wa chadema ameibuka kidedea kwa kupata kura 405 dhidi ya kura 288 za mgombea wa CCM. CCM walikuwa wamechakachua uchaguzi wa awali ila chadema wakaendelea kushinda kwa kishindo. Tanzania Daima Uk 5