CHADEMA yaitesa CCM Kyela

CHADEMA yaitesa CCM Kyela

chadema inafifia mkuu. au nyinyi wenzetu mnatumia indicator zipi kupima kuimarika kwa chama? kata 3 chopa 3. chalinze 10% kalenga 20% pamoja nguvu yote mliyowekeza. hamjajifunza tu kitu hapo?

hivi ulishawahi kujiuliza kwanini ccm inapendwa mahali pasipokuwa na maendeleo ? maana kama kufaidi walifaidi wale ambao wameendelea , lakini why walio nyuma tena mno ndiyo wanaikumbatia ?
 
tunajiandaa kuwachapa viboko polisi na TISS wanaowabeba tutakutana 2015 habebwi mtu hapo nondo kwa nondo MACCM mumezoea
nitake radhi kwa kunifananisha na chama kilichoshindwa kuwaletea watanzania maendeleo kwa miaka hamsini kabla sijaanza kukuporomoshea matusi.
 
chadema inafifia mkuu. au nyinyi wenzetu mnatumia indicator zipi kupima kuimarika kwa chama? kata 3 chopa 3. chalinze 10% kalenga 20% pamoja nguvu yote mliyowekeza. hamjajifunza tu kitu hapo?

acha longolongo,mbona habari za kalenga tu? Huongelei chaguzi za serikali za mitaa ambazo zinatoa taswira yakinifu kwa sababu wapiga kura waliandikishwa upya? Huku Mwanza zilifanyika katika wilaya za Sengerema na Magu na nikudokeze tu kuwa ccm iliangukia pua! Tumejipanga kuifuta ccm katika majimbo yote ya mikoa ya Mwanza,Mara,Geita na Kagera.
 
Katika watu ambao wangeongoza KYELA milele ni Mwakyembe but uchaguzi ujao ataangukia pua unless kama huu mpango wa kuligawa jimbo ukifanikiwa.
Maana naona yeye yuko kitaifa zaidi uku akisahau kuwa Kyela ndo imemfanya ajulikane.
Kyela needs value addition kwenye mazo yake ie mchele maweze na kakao plus maji safi umeme na lami bora(kyela-matema plus za mjini)
 
Hapana silas A.K
Kwa sasa nipo mara moja nje ya Kyela lkn nitakuwa Kyela weeks 2 zijazo na nitarudi hapo for good!Nitagombea udiwani 2015 na nina option kwenye kata 3 na zote nitashinda!

Kwa baba yangu Kata ya Mwaya;kwa Mama yangu kata ya Ikimba na sehemu.niliyo soma na kukulia Kyela mjini!

Imani yangu ni kuwa Kyela tunazidi kuwa maskino sababu ya ulaghai wa CCM hasa walaji pale BOMANI!Niunge mkono pls
Mkuu Mimi ntAkuunga mkono tutaftane nipo apa jijini mbeya
 
Last edited by a moderator:
mkuu Arusha mjini ni kajimbo kamoja tu kati ya majimbo zaidi ya 250 ya nchi nzima. sijui kama utanielewa lakini. akili zako zisiishie kufikiria mwisho mlima meru tu.
Peleka ubaguzi wako jehanamu pimbi we we. Mi ni mnyakyusa nipo Mbeya ila naongea ukweli arusha ulilula 5 o
 
hivi ulishawahi kujiuliza kwanini ccm inapendwa mahali pasipokuwa na maendeleo ? maana kama kufaidi walifaidi wale ambao wameendelea , lakini why walio nyuma tena mno ndiyo wanaikumbatia ?
Kinachowasumbua watu hao ni uoga na kutokujiamini baada ya kutishwa kidogo,pia wengine wanadhani bado nyerere anaishi.
 
chadema inafifia mkuu. au nyinyi wenzetu mnatumia indicator zipi kupima kuimarika kwa chama? kata 3 chopa 3. chalinze 10% kalenga 20% pamoja nguvu yote mliyowekeza. hamjajifunza tu kitu hapo?
Imefifia kwel nikikumbuka arusha rule mkono Kwa nunge kweli imefifia
 
Peleka ubaguzi wako jehanamu pimbi we we. Mi ni mnyakyusa nipo Mbeya ila naongea ukweli arusha ulilula 5 o
we kinyesi ukiwa msukule usifikiri kila umuonaye ni msukule kama wewe. fa.la we.
 
hivi ulishawahi kujiuliza kwanini ccm inapendwa mahali pasipokuwa na maendeleo ? maana kama kufaidi walifaidi wale ambao wameendelea , lakini why walio nyuma tena mno ndiyo wanaikumbatia ?
sijawahi kujiuliza. wewe ulishajiuliza?
 
mtakutana kwenye kapu la kura. maana wengine wanajua kuchonga sana kwenye mitandao.
mwishoni mwa mwaka huu sio mbali. tutaona. ila kama ni kweli uyaandikayo (maana siwaamini hata kidogo) basi ni jambo jema kwa afya ya nchi hii ya wadanganyika.


acha longolongo,mbona habari za kalenga tu? Huongelei chaguzi za serikali za mitaa ambazo zinatoa taswira yakinifu kwa sababu wapiga kura waliandikishwa upya? Huku Mwanza zilifanyika katika wilaya za Sengerema na Magu na nikudokeze tu kuwa ccm iliangukia pua! Tumejipanga kuifuta ccm katika majimbo yote ya mikoa ya Mwanza,Mara,Geita na Kagera.
 
mtakutana kwenye kapu la kura. maana wengine wanajua kuchonga sana kwenye mitandao.
mwishoni mwa mwaka huu sio mbali. tutaona. ila kama ni kweli uyaandikayo (maana siwaamini hata kidogo) basi ni jambo jema kwa afya ya nchi hii ya wadanganyika.

kiama cha ccm ni daftari la wapiga kura , hata kwa katiba hii hii hawatoki !
 
we kinyesi ukiwa msukule usifikiri kila umuonaye ni msukule kama wewe. fa.la we.
Matusi nayajua kam
Unayataka utayapata. Mi sio mchumia tumbo kama wewe Dada. Acha kujipendekeza Kwa wanaune
 
sidhani hiyo kama inaapply hapa. jiulize kule Igunga mlipata kura ngapi japokuwa hamkuwa na mtaji hata wa mtu mmoja 2010? hujiulizi maswali haya? kipindi kile chadema ilikuwa na nguvu ila sasa hii chadema ina ugonjwa wa cancer uitwao usaliti na fukuzafukuza. hii ndo sababu ya chadema kufifia japokuwa hamtaki kukiri.
yaangalie haya mambo vizuri, msije mkaanza kutukana humu kama mlivyowatukana wanakalenga baada ya kuambulia patupu.

Mkuu tafuta maana ya maneno haya mawili kwenye siasa"strong holds na Toss up districts"!

Kuna majimbo ambayo hata ufanye nn CCM au CHADEMA itashinda maana ndiyo ngome yao kuu!Majimbo kama Chalinze,Temeke,Busokela kwa Mwandosya na Kalenga kwa CCM hayawezi badilika na sio kipimo kwa CCM kushinda hapo kama ndiyo ina nguvu kisiasa.Ni sawa na uchaguzi ufanyike leo Moshi au Karatu CHADEMA ishinde then waseme sasa wameimarika!

Chama kukua kinaonekana kwenye chaguzi za "Toss up district" zinazobadilika kutokana na hali halisi!Wilaya kama Mbeya Mjini,Ubungo,Tarime na Kigoma Mjini na nyinginezo wapiga kura wake ni independents na wanapiga kura zao kutokana na uimara wa chama kipindi hicho!Na ndiyo maana chaguzi zao huwa hazitabariki

Nakuambia tena Kalenga na Chalinze hata CCM wasimamishe yyt yule wanashinda,ni Wilaya tiifu kwa CCM na CHADEMA lzm washiriki chaguzi hizo kujijenga hata kama wanajua hawatashinda kama CCM inavyoshiriki Moshi Mjini,Karatu na Kigoma kaskazini
 
Misingi ya cdm yamwagwa kama njugu , tena ni mpaka vijijini kabisa , ubovu wa barabara za ndani , kuanguka kwa soko la mpunga kumerahisisha sana kuing'oa ccm .

Dk Kyembe amejisahau sana unajua yy anajua fika kyusaz huwana masihala na madaraka akijisahau kweli hawa jamaa CDM wanachukua jimbo yaani CDM wanahit weak points ambapo CCM wana relax na kusema chama tawala wapiiii kwani Kawe na ubungo na other places CCM lost their seats thus watch your footsteps CDM are on your back.
 
Back
Top Bottom