CHADEMA yaionya CCM Umeya Dar es Salaam

CHADEMA yaionya CCM Umeya Dar es Salaam

mbona sielewi?? juzi kuna post ya kuwa diwani wa vijibweni ni meya wa dar, leo habar nyinginee
 

Attachments

  • 1450532451793.jpg
    1450532451793.jpg
    44.9 KB · Views: 529
me nafikiri hasira za figisufigisu za uchaguzi uliopita ziamie hapo....wafundishwe adabu. Hatuitaji kudharaliwa kiasi hicho...
 
sasa meya wa ukawa dar atafanya nini?ebu acheni kujisumbua nyie wakiwa?
 
kuna tatizo kubwa sana la kiasa nchi hii lakini watu wanachukulia poa tu
 
Pesa za MCC zimeota mbawa kwa udhalimu wa kisiasa. Hili la umeya Dar lisiongeze ubazazi unao onekana kimataifa na kufanya Tanzania nchi ya demo siasa badala ya democracy
 
amini msiamini nawaambieni hakuna chama hatari kwa amani na umoja wetu kama ccm...
 
Back
Top Bottom