CHADEMA yaijibu JWTZ

Jeshi liache Uchama litumikie watanzania. Chama kuwa madarakani si sababu ya jeshi kulitumikia badala ya serikali. Ndio maana kwenye katiba mpya kuna haja ya kutenganisha vyeo vya kisiasa na vyeo vya kiserikali.
 
Mkuu,

Mnyika hana point tatu A-level, ni UWONGO.

Hata yeye yuko hapa na anajua ukweli kwamba hana A tatu kwa A-level.
kuwa na A 3 ama A7 si kigezo cha mtu/mwanafunzi kuwa anajua vitu vingi hasa kwa mfumo wa elimu tanzania ambao tunaupigia kelele! Kimsingi Sibishi ufahamu mzuri wa Mnyika.
 

Mbumbumbu wewe picha nini bwana watu wanapiga picha na raisi siku zote hoja hapo ni kwanini lleo jeshi linashupalia isue hii ni chuki binfsi kwani hapo kafanya siasa nakuambia wapo wengi hawana mapenzi na watawala wa nchi hii tunao hawasemi huyo jamaa kaanza na anajua kuwa nini kitatokea we subiri afukuzwe kazi. ni woga na ujinga kukaa kimya wakati unaona mambo hayaendi sawa si nidhamu.
 

hapana alisema vyama vya upinzani hakusema vyama vya siasa tunakumbukumbu vizuri
 

Nasikia Mwanajeshi wetu amekamatwa, sasa tutafute CD gani tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…