Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
krapu
Hahahahahaha yaani shem umeniacha hoi! Nilizoea siku hizi unalile neno lako "Bora"......Bon week end
krapu
Licha ya onyo lililotolewa na mh Rais katika salaam zake za mwaka mpya kwa vyama vya siasa kuacha kuendelea na Kampeni, halikusikika kwa viongozi wa CHADEMA. Na jaribio kubwa lilikuwa ni kuwamwaga vijana wao barabarani, wakidhani kuwa hotuba ile ilikuwa ni tishia toto. Mattokeo ya tishia toto yamezaa tishia kubwa, Je sasa ndio viongozi wa CHADEMA wamefurahi au wameshinda? Hiloni swali kila mtanzania anajiuliza.
Mara baada ya kwisha uchaguzi, niliandika barua kwa waJF na watanzania wote nilisisitizia umuhimu wa kusahau purukushani za uchaguzi na kujenga umoja wa kitaifa. Moja kati ya hatua kubwa ilikuwa ni kuacha mazingira ya kikampeni katika maisha yetu ya kila siku. Kwa bahati nzuri vyama vingine vyote vya kisiasa vilielewa umuhimu wa kuacha kampeni na kuendelea kujenga nchi, lakini CHADEMA waliendelea na kampeni masaa 24 kwa siku, siku saba kwa wiki na mwezi hata mwezi. Kwa CHADEMA huu ndio wakati muafaka wa kujitangaza kichama, bila kujali maafa yanayoweza kujitokeza. Je huu ni uungwana?
UUngwana au si uungwana Viongozi wa CHADEMA hawajali, la muhimu kwao wasikike ndani na nje kuwa eti wagombea demokrasia TZ, demokrasia ambayo hata ndani ya chama chao haipo. Baada ya uchaguzi walidhani wangeungwa mkono na vyombo vya kimataifa kwa kutomtambua Rais, lakini hilohalikufanikiwa kwani hawakuungwa mkono hata na vyama vya upinzani Tanzania.
CHADEMA IMENUNULIWA NA VIONGOZI WA ARUSHA NA MOSHI.
Licha ya kuwa na wabunge katika mikoa 8, lakini bado CHADEMA imemilikiwa na viongozi wachache wa mikoa ya Arusha na Moshi. Hayo yamethibitishwa na matukio mawili makubwa, ikiwa pamoja na wabunge 10 kutokubaliana na uamuzi wa viongozi hao wa Arusha/Moshi kutoka nje wakati wa hotuba ya Rais Bungeni. Na la pili ni malalamiko ya wanachama wa Mbeya juu ya ugawaji wa viti maalum. Si siri kuwa asilimia 50 imekwenda kwa mkoa mmoja wa tu. Na kwa mara nyingine viongozi hao hao wameshinyikiza uongozi wa CHADEMA eti ukubaliane na maandamano hayo yasio na miguu wala kichwa.
SERIKALI IMESHAKUBALI UUNDAJI WA KATIBA MPYA.
Ikiwa kama maandamano yalilenga kuishinyikiza serikali kuunda katiba mpya, si madai ya m,singi kabisa kwani Rais ambaye ni mwenye kiti wa chama tawala ameshakubali hilo katika hutuba yake ya mwaka mpya. Hata siku kumi hazijapita toka Rais atoe hotuba hiyo, wenzetu wako barabarani. Wanachohitaji ni kimoja, pindi katiba mpya ikitengenezwa basi watajitoa kifua mbele na kusema bila sisi hili lisingefanyika. Na kwa mawazo yao mafupi, hii ndio itakuwa tiketi yao ya kuingia IKULU 2015. Hii ni akili fupi, hili si tusi lakini sioni neno jingine la kuwafananisha hwa watu. Kama kweli hawa CHADEMA wapo makini, wangemtuma mjumbe wao apate taarifa kamili toka kwa serikali ni jinsi gani ratiba ya utengenezaji wa katiba mpya ilivyopangwa. Lakini hgili la kuandamana barabarani wakati mambo yapo wazi, ni utafutaji wa umaarufu kwa bei rahisi na kwa kuwatosa wanachama wao.
MAAFA YANGEKUWA MAKUBWA ZAIDI KAMA MNAANDAMANO YANGERUHUSIWA.
Kwa muujibu wa taarifa zilizopatikana, CHADEMA waliandaa kuchoma maduka na soko kuu moto, kuua wanachama na viongozi wa CCM, kuvamia vituo vya polisi na kuteka nyara silaha ilimradi kuonekane kuwa mkoa uko katika vita. Machafuko hayo yangeuwa zaidi ya watu 100 na kuleta mabilioni ya hasara. Kwa kulielewa hilo, Said Mwema akayazuia maandamano kufanyika na kuliandaa jeshi la polisi kikamilifu. Na kwa mpango huu makini, ndio vurugu zikakomeshwa kule kwenye mzizi, na kutoleta maafa makubwa. Tulishukuru jeshi la polisi.
CHADEMA KAMA chama cha upinzani kinajiua pole pole, na kaburi lake li karibu sana hata umri wake hautafika mpaka 2015 kama wanachama wanavyofikiria. Hatutaruhusu kamwe Tanzania itekwe na mikoa miwili na kuiweka Tanzania kuwa Somali ya Pili kwa tamaa ya madaraka ya viongozi hao. Katika kudumisha amanni na kuwa na CHADEMA wakati huo huo, ni muhimu kufanya juhudi kuhamisha uongozi wa CHADEMA toka Arusha/Moshi kwenda mikoa mingine. Na hilo ndio mkakati wetu kwa hivi sasa, kwani vyama vya upinzani tunavihitaji na sio vyama vya vurugu.
wala sishangai kusema hayo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Zawadi Ngoda
Ni wewe kweli au ID imechakachuliwa?
Duh! Makamanda mpo fasta!Hahahahahaha yaani shem umeniacha hoi! Nilizoea siku hizi unalile neno lako "Bora"......Bon week end
Duh! Makamanda mpo fasta!
Utakuwa unakula ma..........................................layball:v
Duh! Makamanda mpo fasta!
Kuna wanaJF wananishangaza sana, mtu anaandika paragraph nyingi ndefu halafu zote amejaza upumbavu.
mwanamke malaya amejipaka wanja macho nje nje anatafuta mabwana, du mabwana wa dar wagumu mbaya sana
Mtaandika sana tena sana kulinda maslahi yenu. Hata hivyo mnatimiza wajibu tu ili siku ipite mpate ujira wenu. Wananchi walishaamka zamani wanajua ni nani wa kumsikiliza.Licha ya onyo lililotolewa na mh Rais katika salaam zake za mwaka mpya kwa vyama vya siasa kuacha kuendelea na Kampeni, halikusikika kwa viongozi wa CHADEMA. Na jaribio kubwa lilikuwa ni kuwamwaga vijana wao barabarani, wakidhani kuwa hotuba ile ilikuwa ni tishia toto. Mattokeo ya tishia toto yamezaa tishia kubwa, Je sasa ndio viongozi wa CHADEMA wamefurahi au wameshinda? Hiloni swali kila mtanzania anajiuliza.
Mara baada ya kwisha uchaguzi, niliandika barua kwa waJF na watanzania wote nilisisitizia umuhimu wa kusahau purukushani za uchaguzi na kujenga umoja wa kitaifa. Moja kati ya hatua kubwa ilikuwa ni kuacha mazingira ya kikampeni katika maisha yetu ya kila siku. Kwa bahati nzuri vyama vingine vyote vya kisiasa vilielewa umuhimu wa kuacha kampeni na kuendelea kujenga nchi, lakini CHADEMA waliendelea na kampeni masaa 24 kwa siku, siku saba kwa wiki na mwezi hata mwezi. Kwa CHADEMA huu ndio wakati muafaka wa kujitangaza kichama, bila kujali maafa yanayoweza kujitokeza. Je huu ni uungwana?
UUngwana au si uungwana Viongozi wa CHADEMA hawajali, la muhimu kwao wasikike ndani na nje kuwa eti wagombea demokrasia TZ, demokrasia ambayo hata ndani ya chama chao haipo. Baada ya uchaguzi walidhani wangeungwa mkono na vyombo vya kimataifa kwa kutomtambua Rais, lakini hilohalikufanikiwa kwani hawakuungwa mkono hata na vyama vya upinzani Tanzania.
CHADEMA IMENUNULIWA NA VIONGOZI WA ARUSHA NA MOSHI.
Licha ya kuwa na wabunge katika mikoa 8, lakini bado CHADEMA imemilikiwa na viongozi wachache wa mikoa ya Arusha na Moshi. Hayo yamethibitishwa na matukio mawili makubwa, ikiwa pamoja na wabunge 10 kutokubaliana na uamuzi wa viongozi hao wa Arusha/Moshi kutoka nje wakati wa hotuba ya Rais Bungeni. Na la pili ni malalamiko ya wanachama wa Mbeya juu ya ugawaji wa viti maalum. Si siri kuwa asilimia 50 imekwenda kwa mkoa mmoja wa tu. Na kwa mara nyingine viongozi hao hao wameshinyikiza uongozi wa CHADEMA eti ukubaliane na maandamano hayo yasio na miguu wala kichwa.
SERIKALI IMESHAKUBALI UUNDAJI WA KATIBA MPYA.
Ikiwa kama maandamano yalilenga kuishinyikiza serikali kuunda katiba mpya, si madai ya m,singi kabisa kwani Rais ambaye ni mwenye kiti wa chama tawala ameshakubali hilo katika hutuba yake ya mwaka mpya. Hata siku kumi hazijapita toka Rais atoe hotuba hiyo, wenzetu wako barabarani. Wanachohitaji ni kimoja, pindi katiba mpya ikitengenezwa basi watajitoa kifua mbele na kusema bila sisi hili lisingefanyika. Na kwa mawazo yao mafupi, hii ndio itakuwa tiketi yao ya kuingia IKULU 2015. Hii ni akili fupi, hili si tusi lakini sioni neno jingine la kuwafananisha hwa watu. Kama kweli hawa CHADEMA wapo makini, wangemtuma mjumbe wao apate taarifa kamili toka kwa serikali ni jinsi gani ratiba ya utengenezaji wa katiba mpya ilivyopangwa. Lakini hgili la kuandamana barabarani wakati mambo yapo wazi, ni utafutaji wa umaarufu kwa bei rahisi na kwa kuwatosa wanachama wao.
MAAFA YANGEKUWA MAKUBWA ZAIDI KAMA MNAANDAMANO YANGERUHUSIWA.
Kwa muujibu wa taarifa zilizopatikana, CHADEMA waliandaa kuchoma maduka na soko kuu moto, kuua wanachama na viongozi wa CCM, kuvamia vituo vya polisi na kuteka nyara silaha ilimradi kuonekane kuwa mkoa uko katika vita. Machafuko hayo yangeuwa zaidi ya watu 100 na kuleta mabilioni ya hasara. Kwa kulielewa hilo, Said Mwema akayazuia maandamano kufanyika na kuliandaa jeshi la polisi kikamilifu. Na kwa mpango huu makini, ndio vurugu zikakomeshwa kule kwenye mzizi, na kutoleta maafa makubwa. Tulishukuru jeshi la polisi.
CHADEMA KAMA chama cha upinzani kinajiua pole pole, na kaburi lake li karibu sana hata umri wake hautafika mpaka 2015 kama wanachama wanavyofikiria. Hatutaruhusu kamwe Tanzania itekwe na mikoa miwili na kuiweka Tanzania kuwa Somali ya Pili kwa tamaa ya madaraka ya viongozi hao. Katika kudumisha amanni na kuwa na CHADEMA wakati huo huo, ni muhimu kufanya juhudi kuhamisha uongozi wa CHADEMA toka Arusha/Moshi kwenda mikoa mingine. Na hilo ndio mkakati wetu kwa hivi sasa, kwani vyama vya upinzani tunavihitaji na sio vyama vya vurugu.
Licha ya onyo lililotolewa na mh Rais katika salaam zake za mwaka mpya kwa vyama vya siasa kuacha kuendelea na Kampeni, halikusikika kwa viongozi wa CHADEMA. Na jaribio kubwa lilikuwa ni kuwamwaga vijana wao barabarani, wakidhani kuwa hotuba ile ilikuwa ni tishia toto. Mattokeo ya tishia toto yamezaa tishia kubwa, Je sasa ndio viongozi wa CHADEMA wamefurahi au wameshinda? Hiloni swali kila mtanzania anajiuliza.
Mara baada ya kwisha uchaguzi, niliandika barua kwa waJF na watanzania wote nilisisitizia umuhimu wa kusahau purukushani za uchaguzi na kujenga umoja wa kitaifa. Moja kati ya hatua kubwa ilikuwa ni kuacha mazingira ya kikampeni katika maisha yetu ya kila siku. Kwa bahati nzuri vyama vingine vyote vya kisiasa vilielewa umuhimu wa kuacha kampeni na kuendelea kujenga nchi, lakini CHADEMA waliendelea na kampeni masaa 24 kwa siku, siku saba kwa wiki na mwezi hata mwezi. Kwa CHADEMA huu ndio wakati muafaka wa kujitangaza kichama, bila kujali maafa yanayoweza kujitokeza. Je huu ni uungwana?
UUngwana au si uungwana Viongozi wa CHADEMA hawajali, la muhimu kwao wasikike ndani na nje kuwa eti wagombea demokrasia TZ, demokrasia ambayo hata ndani ya chama chao haipo. Baada ya uchaguzi walidhani wangeungwa mkono na vyombo vya kimataifa kwa kutomtambua Rais, lakini hilohalikufanikiwa kwani hawakuungwa mkono hata na vyama vya upinzani Tanzania.
CHADEMA IMENUNULIWA NA VIONGOZI WA ARUSHA NA MOSHI.
Licha ya kuwa na wabunge katika mikoa 8, lakini bado CHADEMA imemilikiwa na viongozi wachache wa mikoa ya Arusha na Moshi. Hayo yamethibitishwa na matukio mawili makubwa, ikiwa pamoja na wabunge 10 kutokubaliana na uamuzi wa viongozi hao wa Arusha/Moshi kutoka nje wakati wa hotuba ya Rais Bungeni. Na la pili ni malalamiko ya wanachama wa Mbeya juu ya ugawaji wa viti maalum. Si siri kuwa asilimia 50 imekwenda kwa mkoa mmoja wa tu. Na kwa mara nyingine viongozi hao hao wameshinyikiza uongozi wa CHADEMA eti ukubaliane na maandamano hayo yasio na miguu wala kichwa.
SERIKALI IMESHAKUBALI UUNDAJI WA KATIBA MPYA.
Ikiwa kama maandamano yalilenga kuishinyikiza serikali kuunda katiba mpya, si madai ya m,singi kabisa kwani Rais ambaye ni mwenye kiti wa chama tawala ameshakubali hilo katika hutuba yake ya mwaka mpya. Hata siku kumi hazijapita toka Rais atoe hotuba hiyo, wenzetu wako barabarani. Wanachohitaji ni kimoja, pindi katiba mpya ikitengenezwa basi watajitoa kifua mbele na kusema bila sisi hili lisingefanyika. Na kwa mawazo yao mafupi, hii ndio itakuwa tiketi yao ya kuingia IKULU 2015. Hii ni akili fupi, hili si tusi lakini sioni neno jingine la kuwafananisha hwa watu. Kama kweli hawa CHADEMA wapo makini, wangemtuma mjumbe wao apate taarifa kamili toka kwa serikali ni jinsi gani ratiba ya utengenezaji wa katiba mpya ilivyopangwa. Lakini hgili la kuandamana barabarani wakati mambo yapo wazi, ni utafutaji wa umaarufu kwa bei rahisi na kwa kuwatosa wanachama wao.
MAAFA YANGEKUWA MAKUBWA ZAIDI KAMA MNAANDAMANO YANGERUHUSIWA.
Kwa muujibu wa taarifa zilizopatikana, CHADEMA waliandaa kuchoma maduka na soko kuu moto, kuua wanachama na viongozi wa CCM, kuvamia vituo vya polisi na kuteka nyara silaha ilimradi kuonekane kuwa mkoa uko katika vita. Machafuko hayo yangeuwa zaidi ya watu 100 na kuleta mabilioni ya hasara. Kwa kulielewa hilo, Said Mwema akayazuia maandamano kufanyika na kuliandaa jeshi la polisi kikamilifu. Na kwa mpango huu makini, ndio vurugu zikakomeshwa kule kwenye mzizi, na kutoleta maafa makubwa. Tulishukuru jeshi la polisi.
CHADEMA KAMA chama cha upinzani kinajiua pole pole, na kaburi lake li karibu sana hata umri wake hautafika mpaka 2015 kama wanachama wanavyofikiria. Hatutaruhusu kamwe Tanzania itekwe na mikoa miwili na kuiweka Tanzania kuwa Somali ya Pili kwa tamaa ya madaraka ya viongozi hao. Katika kudumisha amanni na kuwa na CHADEMA wakati huo huo, ni muhimu kufanya juhudi kuhamisha uongozi wa CHADEMA toka Arusha/Moshi kwenda mikoa mingine. Na hilo ndio mkakati wetu kwa hivi sasa, kwani vyama vya upinzani tunavihitaji na sio vyama vya vurugu.
mwanamke malaya amejipaka wanja macho nje nje anatafuta mabwana, du mabwana wa dar wagumu mbaya sana
Zawadi Ngoda, nakuunga mkono kabisa kwa post yako nzuri sana, kwa mwenye kuelewa.