Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Hivi inakuwaje CHAKushindwa (CHADEMA) watumishi wenu na watendaji wenu hamwalipi mishahara yao ? taarifa za uhakika huu ni mwezi wa 3 , sasa mnawazungusha na kuwalipa partial partial badala ya mishahara yao kamili, tatizo ni nini ? hamna hela au Kada wa Chama Tawala Thabodo hajawapa misaada kama kawaida yenu?. Na hili mlifanyie kazi ofisi zenu za huku mikoani ni chafu, hazina samani, na nyingi kodi za pango zinadaiwa , myafanyie haya kazi sio maandamano tu