CDM sio watu hao muwatafutao bali ni wimbo ambao wananchi wanaimba ''Ukombozi'' mtunga nyimbo hata akiondoka wataendela kuimba '' ukombozi'' basi futeni lyrics hiyo waimbe ''mabwepande'' kama ni kiitikio kizuri. Ukombozi ndio suluhisho na lazima nyie akina Ritz tuwapeleke the Hague na kuwanyang'anya pesa zetu mnazoiba. Kaeni chonjo, muda wenu umewadia wa kuondoka. Mimi pekee kijijini kwetu naweza badili wote kuwa CDM.