JMWAKA
JF-Expert Member
- Jun 18, 2012
- 739
- 653
mkutano wa chadema uliofanyika Kigoma baada ya kuona wananchi hawataki kusikiliza habari zao za kikanda na kidikteta
Wakaja na mbinu mpya ya kuwasafirisha watu kwenye magari ili waende kwenye mkutano
LA KUVUNDA HALINA UBANI
mkutano wa chadema uliofanyika Kigoma baada ya kuona wananchi hawataki kusikiliza habari zao za kikanda na kidikteta
Wakaja na mbinu mpya ya kuwasafirisha watu kwenye magari ili waende kwenye mkutano
LA KUVUNDA HALINA UBANI
When you have nothing to say, silence is golden. Busara/ujinga ni kama chupi, kila mtu anajua unayo haina haja uionyeshe hadharani kama wewe unavyotapatapa hapa. Kigoma ni ngome ya upinzani na hilo unalijua. Mwaka wa kumi sasa Rais hajawahi kufika Kasulu au Kibondo na wewe unajua hilo.
Badilisha Dealer wako anayekuuzia BANGI.
mkutano wa chadema uliofanyika Kigoma baada ya kuona wananchi hawataki kusikiliza habari zao za kikanda na kidikteta
Wakaja na mbinu mpya ya kuwasafirisha watu kwenye magari ili waende kwenye mkutano
LA KUVUNDA HALINA UBANI
Ni kweli bana wanasomba watu kwenye lori Hahahaha hiyo picha umewaacha uchi.Mkutano wa chadema uliofanyika Kigoma baada ya kuona wananchi hawataki kusikiliza habari zao za kikanda na kidikteta.
Wakaja na mbinu mpya ya kuwasafirisha watu kwenye magari ili waende kwenye mkutano .
LA KUVUNDA HALINA UBANI
Mkuu wangu unadhani hawaoni wanaona sana wanajitia upofu tu.Usijifanye huoni lori hilo mbele..... Msiwalazimishe watu bana hatutaki UNAFIKI wenu
mkuh kwahiyo hao watu wanasafirishwa toka wapi? je huko kigoma wenzetu chama chao ni kipi?
Chadema? ibebe watu kutoka kwenye Malori au magari? Hapana hii ngumu kumesa.... sitashangaaa kusikia ukisema kuwa watu hao walitoka kilimanjaro
Kamanda angalia vizuri mbele ya hiyo balloon hauoni lori limebeba makamanda.Gari lenyeww umeliona? Eti ndo lilikuwa linasomba wanachama Corolla linabeba watu wa 4 ndo linasomba watu hapo?