CHADEMA wazalendo wakubali kushindwa

CHADEMA wazalendo wakubali kushindwa

Ubora

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
664
Reaction score
255
Wafuasi wa chadema wale wanaojiita Wazalendo wamekubaliana na kile kitakachotokea katika uchaguzi wa october 25. Wanachama hao wanadai chama chao kilikuwa kinapigania misingi ya maadili lakini pale kilipoachana na agenda hiyo basi wao tayari wanaona chama kimeshindwa na kuamua kumuunga mkono Dr Slaa ambaye yeye ameendelea na kusimamia maadili ya viongozi pamoja na kupiga vita rushwa.
 
Wafuasi wa chadema wale wanaojiita Wazalendo wamekubaliana na kile kitakachotokea katika uchaguzi wa october 25. Wanachama hao wanadai chama chao kilikuwa kinapigania misingi ya maadili lakini pale kilipoachana na agenda hiyo basi wao tayari wanaona chama kimeshindwa na kuamua kumuunga mkono Dr Slaa ambaye yeye ameendelea na kusimamia maadili ya viongozi pamoja na kupiga vita rushwa.

Tupo pamoja makamanda katika kumuunga mkono mpambanaji wetu Dr Slaa.
 
Wafuasi wa chadema wale wanaojiita Wazalendo wamekubaliana na kile kitakachotokea katika uchaguzi wa october 25. Wanachama hao wanadai chama chao kilikuwa kinapigania misingi ya maadili lakini pale kilipoachana na agenda hiyo basi wao tayari wanaona chama kimeshindwa na kuamua kumuunga mkono Dr Slaa ambaye yeye ameendelea na kusimamia maadili ya viongozi pamoja na kupiga vita rushwa.

Dr Slaa mkombozi wetu tupo nae kimawazo na kifikra kamwe hatukuachi pekee
 
Chadema wazalendo wanaongozwa na Mchumba wa Slaa maana si mke yule..
 
Viva viva Wazalendo, makamanda katika hili hatutaki kurudi nyuma,msimamo wetu ni kuwa na Dr Slaa tu, hoja zake zipo ok.
 
Wafuasi wa chadema wale wanaojiita Wazalendo wamekubaliana na kile kitakachotokea katika uchaguzi wa october 25. Wanachama hao wanadai chama chao kilikuwa kinapigania misingi ya maadili lakini pale kilipoachana na agenda hiyo basi wao tayari wanaona chama kimeshindwa na kuamua kumuunga mkono Dr Slaa ambaye yeye ameendelea na kusimamia maadili ya viongozi pamoja na kupiga vita rushwa.
Hao ni wale ambao aidha hawajui siasa ama ni mamluki. Lengo la chama chochote ni kuchukua dola sasa fursa ikijitokeza kwanini kuitupa? Ndio maana mimi namtunuku mbowe phd ya siasa. A true politician ready to take risk. But he knows that the high the risk.the high the return
 
Hao ni wale ambao aidha hawajui siasa ama ni mamluki. Lengo la chama chochote ni kuchukua dola sasa fursa ikijitokeza kwanini kuitupa? Ndio maana mimi namtunuku mbowe phd ya siasa. A true politician ready to take risk. But he

Wewe utakuwa rofa,chama hata kama hakina uwezo wa kuchukua dola kiungwe tu? pole sana
 
Wafuasi wa chadema wale wanaojiita Wazalendo wamekubaliana na kile kitakachotokea katika uchaguzi wa october 25. Wanachama hao wanadai chama chao kilikuwa kinapigania misingi ya maadili lakini pale kilipoachana na agenda hiyo basi wao tayari wanaona chama kimeshindwa na kuamua kumuunga mkono Dr Slaa ambaye yeye ameendelea na kusimamia maadili ya viongozi pamoja na kupiga vita rushwa.

Tupo pamoja makamanda katika kumuunga mkono mpambanaji wetu Dr Slaa.

Viva viva makamanda

Pamoja sana Makamanda

Tupooo pamoja kamandaaaa

Dr Slaa tupo nawe.

Shame on you... Shy land rafiki yangu umehamia lini CHADEMA? Kumbuka ile post yetu ya March kuhusu act, usiniambie umeshasahau mara
 
Last edited by a moderator:
Wafuasi wa chadema wale wanaojiita Wazalendo wamekubaliana na kile kitakachotokea katika uchaguzi wa october 25. Wanachama hao wanadai chama chao kilikuwa kinapigania misingi ya maadili lakini pale kilipoachana na agenda hiyo basi wao tayari wanaona chama kimeshindwa na kuamua kumuunga mkono Dr Slaa ambaye yeye ameendelea na kusimamia maadili ya viongozi pamoja na kupiga vita rushwa.

Makamanda tupo pamoja, FU movement wamevuruga chama na ndio wanaongoza kwa matusi humu, tusikubali kuyumbishwa na hawa vijana wachache wenye njaa zao.
 
Vivaaa makamanda, Magufuli kwa mabadiliko ya ukweli.
 
Wafuasi wa chadema wale wanaojiita Wazalendo wamekubaliana na kile kitakachotokea katika uchaguzi wa october 25. Wanachama hao wanadai chama chao kilikuwa kinapigania misingi ya maadili lakini pale kilipoachana na agenda hiyo basi wao tayari wanaona chama kimeshindwa na kuamua kumuunga mkono Dr Slaa ambaye yeye ameendelea na kusimamia maadili ya viongozi pamoja na kupiga vita rushwa.

Mabadiliko ya kweli yapo mikononi mwetu makamanda.
 
Ety wafuac wa ccm nao wanafuata mkumbo achni ushabiki.chdema bila Dr slaa inawezekana
 
Back
Top Bottom