Hii habari iko kishabiki zaidi, source not disclosed.
Rating 0.4/10.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeingia kwenye mgogoro baada ya baadhi ya wabunge kupandwa na hasira dhidi ya wenzao wanaoendesha kampeni ya kutaka posho za vikao kwa wabunge ziondolewe.Mkwaruzano huo iliibuka ndani ya kikao cha wabunge wa Kambi ya Upinzani Bungeni inayoongozwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe.
Kikao hicho kiliitishwa na kambi hiyyo kwa lengo la kuweka msimamo wa kupinga posho za vikao kwa wabunge, lakini kikageuka uwanja wa vita uliozusha vurumai kubwa kiasi cha kushindwa kufikia muafaka.
Baada ya kikao hicho kufunguliwa, John Mnyika (Ubungo-Chadema) aliwasilisha hoja hiyo ya kutaka wabunge wa upinzani kuweka msimamo wa pamoja wa kupinga posho hizo ili mkakati huo ulioanzia kwenye Bunge hilo la Bajeti, uweze kufanikiwa.
Akifikiri ataungwa mkono, Mnyika aliwataka wabunge kuonyesha moyo huo wa kishujaa kwa kutosaini kitabu cha mahudhurio bungeni, lakini wawepo ndani ya vikao.
Kauli hiyo ya Mnyika ilikuwa sawa na kumwaga petroli kwenye moto unaowaka ambapo wabunge watatu wa Chadema (majina tunayahifadhi kwa sasa) walikuja juu na kupinga vikali hoja hiyo.
Upinzani huo mkali uliotolewa na wabunge hao ulidhihirisha kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliyesema kuwa ingawa baadhi ya wabunge wa chama hicho wanajionyesha kimbelembele kusisitiza mpango huo, wengine wa chama hicho pia wanaumia kimoyomoyo, lakini hawasemi.
Suala la kukataa posho bungeni lilianzishwa na Zitto Kabwe (Kigoma Kaskazini-Chadema) akisema zinaenda kinyume na mpango wa Taifa wa kupambana na umasikini kwa kuondoa posho zisizo na tija.
Zitto akionekana kuwa na ushupavu mkubwa ilifikia mahali akaamua kutosaini mahudhurio Bungeni ili jina lake lisiorodheshwe miongoni mwa watakaolipwa licha ya Spika, Anne Makinda kutishia kuwa kitendo hicho kinaweza kumfukuzisha bungeni.
Mkakati wa Mnyika ulikuwa ni wabunge wote wa upinzani kuwa na mshikamano katika hilo jambo ambalo sasa limeonekena kuwa ni nyongo kiasi cha wengine kutaka kuwararua wenzao wakisema ni msimamo usio na maana.
Source: Gazeti la habari za kiswahili la kila siku Tanzania, linaongoza
Jamaa wanaweza wakaandamana fasta kupingana wao kwa wao Teh teh
wabunge 48 ila waliokataa ni 3CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeingia kwenye mgogoro baada ya baadhi ya wabunge kupandwa na hasira dhidi ya wenzao wanaoendesha kampeni ya kutaka posho za vikao kwa wabunge ziondolewe.Mkwaruzano huo iliibuka ndani ya kikao cha wabunge wa Kambi ya Upinzani Bungeni inayoongozwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe.Kikao hicho kiliitishwa na kambi hiyyo kwa lengo la kuweka msimamo wa kupinga posho za vikao kwa wabunge, lakini kikageuka uwanja wa vita uliozusha vurumai kubwa kiasi cha kushindwa kufikia muafaka.Baada ya kikao hicho kufunguliwa, John Mnyika (Ubungo-Chadema) aliwasilisha hoja hiyo ya kutaka wabunge wa upinzani kuweka msimamo wa pamoja wa kupinga posho hizo ili mkakati huo ulioanzia kwenye Bunge hilo la Bajeti, uweze kufanikiwa.Akifikiri ataungwa mkono, Mnyika aliwataka wabunge kuonyesha moyo huo wa kishujaa kwa kutosaini kitabu cha mahudhurio bungeni, lakini wawepo ndani ya vikao.Kauli hiyo ya Mnyika ilikuwa sawa na kumwaga petroli kwenye moto unaowaka ambapo wabunge watatu wa Chadema (majina tunayahifadhi kwa sasa) walikuja juu na kupinga vikali hoja hiyo.Upinzani huo mkali uliotolewa na wabunge hao ulidhihirisha kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliyesema kuwa ingawa baadhi ya wabunge wa chama hicho wanajionyesha kimbelembele kusisitiza mpango huo, wengine wa chama hicho pia wanaumia kimoyomoyo, lakini hawasemi.Suala la kukataa posho bungeni lilianzishwa na Zitto Kabwe (Kigoma Kaskazini-Chadema) akisema zinaenda kinyume na mpango wa Taifa wa kupambana na umasikini kwa kuondoa posho zisizo na tija.Zitto akionekana kuwa na ushupavu mkubwa ilifikia mahali akaamua kutosaini mahudhurio Bungeni ili jina lake lisiorodheshwe miongoni mwa watakaolipwa licha ya Spika, Anne Makinda kutishia kuwa kitendo hicho kinaweza kumfukuzisha bungeni.Mkakati wa Mnyika ulikuwa ni wabunge wote wa upinzani kuwa na mshikamano katika hilo jambo ambalo sasa limeonekena kuwa ni nyongo kiasi cha wengine kutaka kuwararua wenzao wakisema ni msimamo usio na maana.Source: Gazeti la habari za kiswahili la kila siku Tanzania, linaongozaJamaa wanaweza wakaandamana fasta kupingana wao kwa wao Teh teh
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeingia kwenye mgogoro baada ya baadhi ya wabunge kupandwa na hasira dhidi ya wenzao wanaoendesha kampeni ya kutaka posho za vikao kwa wabunge ziondolewe.Mkwaruzano huo iliibuka ndani ya kikao cha wabunge wa Kambi ya Upinzani Bungeni inayoongozwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe.
Kauli hiyo ya Mnyika ilikuwa sawa na kumwaga petroli kwenye moto unaowaka ambapo wabunge watatu wa Chadema (majina tunayahifadhi kwa sasa) walikuja juu na kupinga vikali hoja hiyo.
Source: Gazeti la habari za kiswahili la kila siku Tanzania, linaongoza
Jamaa wanaweza wakaandamana fasta kupingana wao kwa wao Teh teh
Hawa waandishi wa habari wanakera kwa kucreate negative mind kwa watu kisha kuwaacha na maswali bila majibuhapo kwenye red ndo ishu ninazozichukia kupindukia, kwanini wamtaje mnyika wawaache hao wengine?? mnamficha nani?
Hata mimi nakerwa sana. Watajwe tu ili tujue ni nani hao? Kama kweli wapo tusubiri Mwanahalisi Jumatano watasema nani alisema nini na wapi? Ila sio fair kumtaja Mnyika na kuficha majina mengine, kwani wanaogopa nini kama msimamo wao una maslahi kwa Umma?hapo kwenye red ndo ishu ninazozichukia kupindukia, kwanini wamtaje mnyika wawaache hao wengine?? mnamficha nani?
Wametoana macho. Hilo ni gazeti la serikali la habarileo. Hata wakipingana hakuna tatizo ila wananchi tunataka suala la posho la litazamwe upya. Kama wana ujasiri wajitokeze kwa majina yao halisi ili 2015 tuwaengue kwenye kura za maoni kwa kuwa wameshindwa kuendana na ilani na msimamo wa Chama. Mwenyekiti na Kiongozi, Naibu, Mnadhimu na Katibu wao wapo mstari wa mbele kupinga posho kwa hiyo huo ndio msimamo wa Chama
naam, kwakweli hakuna marefu yasiyo na ncha na penye haki uongo hujiengua.methali na msemo huu umekuja baada kuuona mkanganyiko mkubwa wa kauli za chadema zinazotolewa na viongozi wao mahasimu .kauli zinazotolewa na viongozi hao zinapelekea kuyaengua mahubiri ya uongo yanaohubiriwa na viongozi hao wadhalimu.
Mikutano na maandamo haramu yanayoendeshwa na chama hicho chenye viongozi na wafuasi wenye tabia za kizulu za kupenda vita;imejikita katika kuhubiri mapambano dhidi ya rushwa,ufisadi maisha magumu na hivi karibuni kuna sakata la posho za wabunge huko dodoma.kujikanganya kwa chama hicho hasimu, kumedhihirika baada ya chama hicho kwenda tofauti na yale yanohubiriwa.
Bila shaka sote ni mashahidi kuwa chama kimekuwa kikihubiri mapambano dhidiya rushwa na ufisadi, wakati huohuo katibu mkuu wa chama hicho,padri slaa akikifanyia ufisadi chama chake kwa kukishiniza kumlipa ml.7.5 huku akipinga ml.7 zinzopokelewa na wabunge akinadi kuwa huko ni kuifilisi nchi.evi jamani tuache kwanzwa suala ushabiki hapa,kupi kuifilisi nchi kati ya kupokea ml.7.5 na ml.7? Ambapo zote hizo ni fedha za wananchi wetu tunaojinadi kuwa tunawaonea huruma.hivyobasi, hapa ndipo chadema inapojikanganya katika kauli zake na hatimaye kutarajia anguko kubwa la chama hicho pale waloghiribiwa akili watakapouona unga wa rutuba.
Aidha mkanganyiko mwingine unajipambanua pale chama hicho kilipopanga mkakati wa kupinga posho za wabunge kikidai kuwa kupokea posho hizo ni sawa na kuwadumbukiza wananchi shimoni,huku mwenyekiti wa chama hicho,freeman mbowe, akiwa msitari wa mbele kusaini fomu za mahudhurio ambapo kwa pamoja hujumuishwa na kupewa posho wakati wa kusaini kama alivyo kaririwa spika wa bunge hilo lililoingiliwa na wana muziki wanaovesika watoapo hoja.huu ni mkanganyiko mwingine wa chama hicho ambapo viongozi wake wanajikanganya kwa yale wanayohubiri na yale wanayotenda na hii ni ishara ya kuanguka kwa chama hicho katika siku za usoni.maana wahenga walisema kuwa"jahazi linapopoteza mwelekeo kinachofuata ni kuyumba na kuzama,ndivyo ilvyo kwa chadema ya sasa.je nyie wanamagwanda hamuoni mkanganyiko huo? Unaobainisha unafiki wa viongo wenu.kwanini mmekuwa viziwi,vipofu na mabubu kiasi hicho. Tafakarini ndugu zangu.
Nimalizie kwa kusema kuwa "no one can make you better without your own efforts".
Ama kweli wafuasi wa CHADEMA ni ndege walionaswa kwenye ulimbo, maana hawaambiliki hata kama wakiuona ukweli ukinenwa wanaweka blanketi ili wasiuone.Yaani hata hili hamlioni hatari kwelkweli.[/QUOTE
Sio kwamba hatulioni, ila hatuoni kama ni issue ya kupoteza muda. Kati ya Wabunge 48 watatu ndio wanapinga tatizo liko wapi? Wewe kama mwana CCM huoni kama ni indiketa mbaya kwa Chama chako kuwa hawa jaama wako makini? Hata kama angekuwa Zitto pekee yake katika hili amefanikiwa sana kutushawishi sio tu wana Chadema bali hata watanzania wa kawaida na hasa Wafanyakazi wasio nufaika na hizo posho. Sijui kama wewe Madaya na CCM mnanufaika na posho za wabunge wenu
hapo kwenye red ndo ishu ninazozichukia kupindukia, kwanini wamtaje mnyika wawaache hao wengine?? mnamficha nani?
Naona chama cha magamba kinazidi kuongeza mgambo wake ndani ya JF kuhakikisha mafisadi wanaendelea kutanua na kuwanyonya wananchi as usual. HATUDANGANYIKI TENA Mpaka tuwatoe. tumeanza na posho ambayo CDM watashinda tu maana wanabaraka zote za Mwenyezi Mungu na wananchi. endeleeni kuchakachua tu lakini shetani wenu anayewasaidia kufanya ufisadi ameishiwa nguvu. peoples power itashinda tu.Naam, kwakweli hakuna marefu yasiyo na ncha na penye haki uongo hujiengua.Methali na msemo huu umekuja baada kuuona mkanganyiko mkubwa wa kauli za CHADEMA zinazotolewa na viongozi wao Mahasimu .Kauli zinazotolewa na viongozi hao zinapelekea kuyaengua mahubiri ya uongo yanaohubiriwa na viongozi hao wadhalimu.
Mikutano na maandamo haramu yanayoendeshwa na chama hicho chenye viongozi na wafuasi wenye tabia za kizulu za kupenda vita;imejikita katika kuhubiri mapambano dhidi ya Rushwa,ufisadi maisha magumu na hivi karibuni kuna sakata la posho za wabunge huko Dodoma.kujikanganya kwa chama hicho hasimu, kumedhihirika baada ya chama hicho kwenda tofauti na yale yanohubiriwa.
Bila shaka sote ni mashahidi kuwa chama kimekuwa kikihubiri mapambano dhidiya rushwa na ufisadi, wakati huohuo katibu mkuu wa chama hicho,Padri Slaa akikifanyia ufisadi chama chake kwa kukishiniza kumlipa ml.7.5 huku akipinga ml.7 zinzopokelewa na wabunge akinadi kuwa huko ni kuifilisi Nchi.Evi jamani tuache kwanzwa suala ushabiki hapa,kupi kuifilisi Nchi kati ya kupokea ml.7.5 na ml.7? ambapo zote hizo ni fedha za wananchi wetu tunaojinadi kuwa tunawaonea huruma.Hivyobasi, hapa ndipo CHADEMA inapojikanganya katika kauli zake na hatimaye kutarajia anguko kubwa la chama hicho pale waloghiribiwa akili watakapouona unga wa Rutuba.
Aidha mkanganyiko mwingine unajipambanua pale chama hicho kilipopanga mkakati wa kupinga posho za wabunge kikidai kuwa kupokea posho hizo ni sawa na kuwadumbukiza wananchi shimoni,huku mwenyekiti wa chama hicho,Freeman Mbowe, akiwa msitari wa mbele kusaini fomu za mahudhurio ambapo kwa pamoja hujumuishwa na kupewa posho wakati wa kusaini kama alivyo kaririwa Spika wa bunge hilo lililoingiliwa na wana muziki wanaovesika watoapo hoja.Huu ni mkanganyiko mwingine wa chama hicho ambapo viongozi wake wanajikanganya kwa yale wanayohubiri na yale wanayotenda na hii ni ishara ya kuanguka kwa chama hicho katika siku za usoni.Maana wahenga walisema kuwa"jahazi linapopoteza mwelekeo kinachofuata ni kuyumba na kuzama,ndivyo ilvyo kwa CHADEMA ya sasa.Je nyie wanamagwanda hamuoni mkanganyiko huo? unaobainisha unafiki wa viongo wenu.Kwanini mmekuwa viziwi,vipofu na mabubu kiasi hicho. Tafakarini ndugu zangu.
Nimalizie kwa kusema kuwa "NO ONE CAN MAKE YOU BETTER WITHOUT YOUR OWN EFFORTS".
Naam, kwakweli hakuna marefu yasiyo na ncha na penye haki uongo hujiengua.Methali na msemo huu umekuja baada kuuona mkanganyiko mkubwa wa kauli za CHADEMA zinazotolewa na viongozi wao Mahasimu .Kauli zinazotolewa na viongozi hao zinapelekea kuyaengua mahubiri ya uongo yanaohubiriwa na viongozi hao wadhalimu.
Mikutano na maandamo haramu yanayoendeshwa na chama hicho chenye viongozi na wafuasi wenye tabia za kizulu za kupenda vita;imejikita katika kuhubiri mapambano dhidi ya Rushwa,ufisadi maisha magumu na hivi karibuni kuna sakata la posho za wabunge huko Dodoma.kujikanganya kwa chama hicho hasimu, kumedhihirika baada ya chama hicho kwenda tofauti na yale yanohubiriwa.
Bila shaka sote ni mashahidi kuwa chama kimekuwa kikihubiri mapambano dhidiya rushwa na ufisadi, wakati huohuo katibu mkuu wa chama hicho,Padri Slaa akikifanyia ufisadi chama chake kwa kukishiniza kumlipa ml.7.5 huku akipinga ml.7 zinzopokelewa na wabunge akinadi kuwa huko ni kuifilisi Nchi.Evi jamani tuache kwanzwa suala ushabiki hapa,kupi kuifilisi Nchi kati ya kupokea ml.7.5 na ml.7? ambapo zote hizo ni fedha za wananchi wetu tunaojinadi kuwa tunawaonea huruma.Hivyobasi, hapa ndipo CHADEMA inapojikanganya katika kauli zake na hatimaye kutarajia anguko kubwa la chama hicho pale waloghiribiwa akili watakapouona unga wa Rutuba.
Aidha mkanganyiko mwingine unajipambanua pale chama hicho kilipopanga mkakati wa kupinga posho za wabunge kikidai kuwa kupokea posho hizo ni sawa na kuwadumbukiza wananchi shimoni,huku mwenyekiti wa chama hicho,Freeman Mbowe, akiwa msitari wa mbele kusaini fomu za mahudhurio ambapo kwa pamoja hujumuishwa na kupewa posho wakati wa kusaini kama alivyo kaririwa Spika wa bunge hilo lililoingiliwa na wana muziki wanaovesika watoapo hoja.Huu ni mkanganyiko mwingine wa chama hicho ambapo viongozi wake wanajikanganya kwa yale wanayohubiri na yale wanayotenda na hii ni ishara ya kuanguka kwa chama hicho katika siku za usoni.Maana wahenga walisema kuwa"jahazi linapopoteza mwelekeo kinachofuata ni kuyumba na kuzama,ndivyo ilvyo kwa CHADEMA ya sasa.Je nyie wanamagwanda hamuoni mkanganyiko huo? unaobainisha unafiki wa viongo wenu.Kwanini mmekuwa viziwi,vipofu na mabubu kiasi hicho. Tafakarini ndugu zangu.
Nimalizie kwa kusema kuwa "NO ONE CAN MAKE YOU BETTER WITHOUT YOUR OWN EFFORTS".