CHADEMA watoa tamko kuhusu madawa ya kulevya.

CHADEMA watoa tamko kuhusu madawa ya kulevya.

namshukuru mungu.mara nyingi chadema wanapotoa tamko lolote naweza kugundua kwamba wamecheza kete gani.hawa jamaa wamekosa mvuto hususan dar,kwa hiyo matarajio yao kutaka kuwagusa watu wa dar sehemu ya matatizo yao.hizi ni mbinu alizitumia Adolfu hitla kwenye kampeni zake.
 
Serikali ya CCM inanufaika na madawa ya kulenya ndio maana hiana dhamira ya dhati ya kupambana nayo.
 
Ndo maana hata sare zao zina kijani ya maana kumbe ndio tafsiri yakeee tumewapata
 
Police waanze na Mbowe ambae ni dealer wa kuuza madawa ya kulevya aliyeshindikana.kiasha akamatwe mushumbusi ambae huuza madawa ya kulevya nchini Israel na kisha Maaskofu ambao nao wanakashfa kubwa ya kuuza madawa ya kulevya na hata Padri mushi aliuawa na madealer wenzie ambao aliwadhulumu pesa.
 
Tamko limetolewa na huyuhuyu nyerere aliyeishia form two? kweli chadema haina rasilimali watu maana nyerere ninavyomjua hakustahili kusema hayo.
 
Tamko limetolewa na huyuhuyu nyerere aliyeishia form two? kweli chadema haina rasilimali watu maana nyerere ninavyomjua hakustahili kusema hayo.

Unataka ujumbe au elimu ya mtoa tamko? Usilete Ujinga na mzaha kwenye masuala ya kitaifa,binafsi naunga mkono tamko hili bila kujali tofauti ya itikadi za kisiasa,haiingii akilini kilo 150 zimepita airport ya Tanzania hakuna hata mtu alie simamishwa wala kuwajibika! Huu ni mnzaha unaofanywa na serikali ya Jakaya
 
Tatizo la pro-ccm wa JF ni moja tu yaani upuuzi, hawa jamaa ni wapuuzi wa kiwango cha kutisha.Madawa ya Kulevya yanaangamiza nguvu kazi ya taifa na kuchafua taswira ya nchi kimataifa kitu ambacho kitaathiri uchumi pia.Hakuna mwekezaji atawekeza effeciently kwenye taifa lenye magenge ya wauzaji wa dawa za kulevya na mateja kila mtaa hivyo ni vema tukasimama pamoja kwenye hili kama alivyolisema Mb.Kange Lugola bila kujali itikadi. Leo ZeMarcopolo na FaizaFoxy mnaleta ukada kwenye suala hili ovu, are you rational?

Mimi tena nnamashaka na chadema kuwa wanajihusisha na hizi biashara haramu, ukitazama zina uhusiano mkubwa na Italy, na majumba ya starehe, na watu wasiokuwa na maadili wala soni, red brigade, matumizi makubwa yanayopita matembezo ya mabakuli.

Hayo yote yanaashiria mabaya. Hii isijekuwa ni "danganya toto".
 
Hivi tatzo la dawa za kulevya nalo ni la kufanyia siasa za upande?
 
Kuna vitu vigumu sana kuacha...

hilo si tatizo sisi wasukuma bangi kama breakfast ili tulime saana,kwa taarifa yako obama alikuwa anavuta bangi wakati akiwa high school.Sasa hapa ndipo ninaposema kila wakati hujaelimika,afadhari kuvuta bangi kuliko kuwa na raisi MLIBERALI MWENYEKITI WA CCM
 
wew mbona ni mliberali watu hatuna shida na wewe,haki sawa kwa wote usisahau kuwaambia wateja kuvaa mipira
 
Huwezi kuchukia unga sana mpaka ndugu au rafiki au jirani aingie uko
 
hilo si tatizo sisi wasukuma bangi kama breakfast ili tulime saana,kwa taarifa yako obama alikuwa anavuta bangi wakati akiwa high school.Sasa hapa ndipo ninaposema kila wakati hujaelimika,afadhari kuvuta bangi kuliko kuwa na raisi MLIBERALI MWENYEKITI WA CCM
Kwahiyo Mbwe et al wanavuta bangi ili wakimaliza high school wawe marais kama Obama?
 
sawa kabisa aanze na Mboweee
Police waanze na Mbowe ambae
ni dealer wa kuuza madawa ya kulevya aliyeshindikana.kiasha akamatwe
mushumbusi ambae huuza madawa ya kulevya nchini Israel na kisha Maaskofu
ambao nao wanakashfa kubwa ya kuuza madawa ya kulevya na hata Padri
mushi aliuawa na madealer wenzie ambao aliwadhulumu pesa.
 
aulizwe mchaga gani tajiri ambaye hauzi unga,bangi,meno ya tembo, jambazi na mauaji. Mwenyekiti wake atamtimua huyo nyerere ajiangalie,anaingilia anga za watu.
Tamko limetolewa na huyuhuyu
nyerere aliyeishia form two? kweli chadema haina rasilimali watu maana
nyerere ninavyomjua hakustahili kusema hayo.
 
Mbowe anasema na ninanukuu

“Tuache habari ya kuitwa, wewe umepata tuhuma, hujafanya uchunguzi, hakuna mtu aliye juu ya sheria, lakini unatakiwa kufanya uchunguzi ili ukimkamata mtu unamshtaki, siyo unataja mtu unachafua hadhi yake. Halafu ukija kusema hatuna ushahidi juu yako umeshaharibu jina lake,” alisema na kuongeza.

“Mimi sijui kama jeshi la polisi linafanya kazi hii au ni Makonda amejipa kazi ya kuwa mpelelezi. Au labda yeye kwa kuwa ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ndiyo amejipa kazi ya kutaja majina kwenye mambo yenye kashfa kama haya? Sielewi. This is very wrong precedence (Hii ni rejea mbaya) kwa utawala wa sheria.”

Wananchi wanahoji

Hivi walipomtaja Lowasa kama number one fisadi in Tz walikuwa na ushahidi? Je, hawakufahamu kuwa ni mtu mwenye nyadhifa nyingi na kumtaja tu ni kumchafua???

Mkuki kwa nguruwe....
 
Maisha yapo kasi sana, Mpaka wanajichanganya hawaelewi,

Ila kawaida yao kujisahaulisha so sishangai sana
 
Back
Top Bottom