Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Kwa kweli alichoongea Lissu kina mantiki sana lakini kuongea na kushindwa kutetea ulichoongea ni udhaifu mkubwa wa Lissu. Kwani kwa mtu makini anaweza kusema kuwa alikuja kusoma tu pale lakini waliotunga hotba ile hawakuwepo pale. ndio maana alipomaliza tu kuisoma. Chadema wote wakatoka nje.
Suala langu kwanini wasibakie pale kuitetea hoja zao katika Hotba ao bungeni. Je waliogopa nini kupigania hotba yao bungeni na kuleta uelewa zaidi kwa wananchi ambao waliendelea kusikiliza upande mmoja.
Hakika Chadema ni wazuru wa kuandika lakini dhaifu wa Kutetea. Nachelea kusema hii ni pengo la kukosekana kwa Mh Zitto Kabwe na Shibuda bungeni. Kwani hawa siku zote wana mawazo mbadala na wanawaongoza wenzao vizuri.
Suala langu kwanini wasibakie pale kuitetea hoja zao katika Hotba ao bungeni. Je waliogopa nini kupigania hotba yao bungeni na kuleta uelewa zaidi kwa wananchi ambao waliendelea kusikiliza upande mmoja.
Hakika Chadema ni wazuru wa kuandika lakini dhaifu wa Kutetea. Nachelea kusema hii ni pengo la kukosekana kwa Mh Zitto Kabwe na Shibuda bungeni. Kwani hawa siku zote wana mawazo mbadala na wanawaongoza wenzao vizuri.