CHADEMA wateka Bunge

Kwa kweli alichoongea Lissu kina mantiki sana lakini kuongea na kushindwa kutetea ulichoongea ni udhaifu mkubwa wa Lissu. Kwani kwa mtu makini anaweza kusema kuwa alikuja kusoma tu pale lakini waliotunga hotba ile hawakuwepo pale. ndio maana alipomaliza tu kuisoma. Chadema wote wakatoka nje.

Suala langu kwanini wasibakie pale kuitetea hoja zao katika Hotba ao bungeni. Je waliogopa nini kupigania hotba yao bungeni na kuleta uelewa zaidi kwa wananchi ambao waliendelea kusikiliza upande mmoja.

Hakika Chadema ni wazuru wa kuandika lakini dhaifu wa Kutetea. Nachelea kusema hii ni pengo la kukosekana kwa Mh Zitto Kabwe na Shibuda bungeni. Kwani hawa siku zote wana mawazo mbadala na wanawaongoza wenzao vizuri.
 
Tundu Lisu ana makosa gani kueleza mabaya ya Nyerere? Kwani Nyerere ni Mungu? Kwani kila kitu alichokifanya Nyerere kilikuwa ni sahihi? Hata Nyerere mwenyewe alipata kukiri kuwa katika utawala wake alifanya na makosa kwa vile yeye sio malaika! Hiyo kauli iliwapita CCM kushoto? Sasa Nyerere amekuwa kanuni ya imani? Iwapo ccm wanamuenzi Nyerere mbona siasa ya ujamaa wameizika? Unafiki mtupu!
Wameua azimio la Arusha viongozi wanatumia nafasi zao kujilimbikizia mali RICHMOND,DOWANS, KAGODA, MEREMETA Mikataba Mibovu ya Madini, Kuuza nyara za taifa kimagendo hizo ndizo sera za CCM zinazotetewa na Bw. Sendeka bungeni ili kumuenzi na kumheshimu baba wa Taifa. KUENI NA JAPO CHEMBE YA AIBU MPHH! MNANUKA
 
wasifu wa mh sendeka.

Yaani huyu kiilaza na shule ya kuunga kwa ukoka anathubutu kufungua domo lake la chewa na kukashifu elimu ya mtu?

Highest level of education ni community development course hiyo ni diploma ya kutunga.
Kashindwa kusema ana diploma ya utapeli ya sky hoteli enzi zileeee!

ms.tcdc & kimage manor college (ireland)
community development course
1995
1997
diploma


eti anadai alikuwa leader of student union wa uvccm tangu 1975??? Ccm imezaliwa 1977
shule kaanza 1974, ina maana alikuwa kiongozi wa ccm tangu yuko darasa la pili???

Sendeka ni mjinga na anatumiwa kama kaptula ya ndani na viajuza na vigagula vya ccm

alutation
honourable
member picture
1387.jpg

first name:
christopher
middle name:
olonyokie
last name:
ole-sendeka
member type:
constituent:
simanjiro
political party:
ccm
office location:
p.o.box 14384, arusha
office phone:
+255 768 300000
ext.:
office fax:
office e-mail:
csendeka@parliament.go.tz
member status:
current member
date of birth
educations
school name/location
course/degree/award
start date
end date
level
naberera primary school
primary education
1974
1980
primary
monduli secondary school
o-level education
1981
1984
secondary
oldmoshi high school
a-level education
1985
1987
high school
ms.tcdc & kimage manor college (ireland)
community development course
1995
1997
diploma
certifications
certification name or type
certification no.
issued
expires
no items on list
employment history
company name
position
from date
to date
the parliament of tanzania
member - simanjiro constituency
2005
2015
non-government organisations- ngo's
programme coordinator/ officer
1994
1997
prime minister's office
secretary
1990
1993
political experience
ministry/political party/location
position
from
to
chama cha mapinduzi - ccm
head of admnistration (uvccm-hq)
1999
2001
chama cha mapinduzi - ccm
member of national executive council(nec)
1997
2002
chama cha mapinduzi - ccm
chairman - simanjiro district
1993
2007
chama cha mapinduzi - ccm
chairman -uvccm
1989
1994
chama cha mapinduzi - ccm
leader of student union(uvccm)
1975
1987
publications
description
published date
no items on list
special skills
skill name or description
years experience
acquired through
skill level
no items on list
recognitions
recognition type
recognition date


ukomavu kama huu ndio dawa ya ccj na ccm,safi sana kijana kwa kuleta ushahidi kamili hapa jamvini.sendeka ni walewale maskini wa hoja isipokuwa majina tu
 
Lissu kweli anawakosesesha raha magamba


Kwa kusema ukweli hata mimi ni CCM ila huyu jamaa LISU tupende tusipende ni kichwa, atasumbua sana vichwa vya wakubwa, hilo tunaliona, anajua anachoongea, amedhubutu kuongea kitu ambachop sisi makada tumeshindwa kukiongea either kwa uoga au kulinda maslahi yetu na ya chama chetu sio ya wananchi!!! wanaccm wenzangu nawaomba msome hotuba ya lisu kwa umakini tena mkiwa mmetulia, mtagundua kitu, mtagundua kuwa huu muungano ni mnyororo tuliovishwa tuisoujua na unaotuumiza bila kuwa na maslahi yeyote ya kiuchumi ispokuwa tu ya kisiasa!! dunia ya leo inaangalia uchumi sio siasa. tunahitaji siasa inayotumia uchumi sio uchumi unaotumika siasa!!!! Tundu lisu yuko sawa ila nina wasiwasi kama ni watz wangapi watamwelewa
 
Pipoz powa!
Leo nilikuwa namwambia rafiki yangu askari polisi kuwa, mnaendelea kutunyanyasa kwa ajili ya kulinda maslahi ya mafisadi, hamjui kuwa mna endelea kutengeneza chuki kati ya raia na polisi? siku pakichimbika polisi mtaumia zaidi!

BRAVO LISU ELIMISHA WATZ MAKE KWA MFUMO WETU HUU, WATU WAKO USINGIZINI, WALA HAWAJUI HAKI ZAO
 
Wameua azimio la Arusha viongozi wanatumia nafasi zao kujilimbikizia mali RICHMOND,DOWANS, KAGODA, MEREMETA Mikataba Mibovu ya Madini, Kuuza nyara za taifa kimagendo hizo ndizo sera za CCM zinazotetewa na Bw. Sendeka bungeni ili kumuenzi na kumheshimu baba wa Taifa. KUENI NA JAPO CHEMBE YA AIBU MPHH! MNANUKA

Azimio la Arusha lilizaa Ulanguzi na ndio mwendelezo wake huo mpaka kufikia ufisadi
 
Elimu haipimwi kwa mtu kuamini kile ambacho wewe unataka akiamini, kila mtu anamawazo yake na si kila kilichopendeza mwanzo basi ilazimishe kupendeza mpaka sasa hata kama hakina tija.
 
Wasifu wa MH Sendeka.

Yaani huyu kiilaza na shule ya kuunga kwa ukoka anathubutu kufungua domo lake la chewa na kukashifu Elimu ya mtu?

Highest Level of Education ni Community Development Course Hiyo ni Diploma ya kutunga.
Kashindwa kusema ana Diploma ya Utapeli ya SKY Hoteli enzi zileeee!

MS.TCDC & Kimage Manor College (IRELAND)
Community Development Course
1995
1997
DIPLOMA


Eti anadai alikuwa leader of student union wa UVCCM tangu 1975??? CCM imezaliwa 1977
Shule kaanza 1974, ina maana alikuwa kiongozi wa CCM tangu yuko darasa la pili???

Sendeka ni mjinga na anatumiwa kama kaptula ya ndani na Viajuza na Vigagula vya CCM

alutation
Honourable
Member picture
1387.jpg

First Name:
Christopher
Middle Name:
Olonyokie
Last Name:
Ole-Sendeka
Member Type:
Constituent:
Simanjiro
Political Party:
CCM
Office Location:
P.O.Box 14384, Arusha
Office Phone:
+255 768 300000
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
csendeka@parliament.go.tz
Member Status:
Current Member
Date of Birth
EDUCATIONS
School Name/Location
Course/Degree/Award
Start Date
End Date
Level
Naberera Primary School
Primary Education
1974
1980
PRIMARY
Monduli Secondary School
O-Level Education
1981
1984
SECONDARY
Oldmoshi High School
A-Level Education
1985
1987
HIGH SCHOOL
MS.TCDC & Kimage Manor College (IRELAND)
Community Development Course
1995
1997
DIPLOMA
CERTIFICATIONS
Certification Name or Type
Certification No.
Issued
Expires
No items on list
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name
Position
From Date
To Date
The Parliament of Tanzania
Member - Simanjiro Constituency
2005
2015
Non-Government Organisations- NGO's
Programme Coordinator/ Officer
1994
1997
Prime Minister's Office
Secretary
1990
1993
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location
Position
From
To
Chama Cha Mapinduzi - CCM
Head of Admnistration (UVCCM-HQ)
1999
2001
Chama Cha Mapinduzi - CCM
Member of National Executive Council(NEC)
1997
2002
Chama Cha Mapinduzi - CCM
Chairman - Simanjiro District
1993
2007
Chama Cha Mapinduzi - CCM
Chairman -UVCCM
1989
1994
Chama Cha Mapinduzi - CCM
Leader of Student Union(UVCCM)
1975
1987
PUBLICATIONS
Description
Published Date
No items on list
SPECIAL SKILLS
Skill Name or Description
Years Experience
Acquired Through
Skill Level
No items on list
RECOGNITIONS
Recognition Type
Recognition Date


Huyu bwana huo umri ni sahihi au vipi?? Jamaa anaonekana mzee (above 55) au alianza darasa la kwanza na miaka 17??

Halafu hiyo Community development course ndiyo nini??
 
Sometimes JK uwa anatumia viakili vyake kidogo mithili ya panzi kuwaza mana alipata kunena kuwa kulikon Lissu kuwa mbunge ni bora Dr Slaa kuwa rais. Sasa ona hao magamba wanavyoangaika badala ya kudeal na issues wao wanadeal na events
 
Back
Top Bottom