Mbassa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 278
- 163
Lissu kawashika pabaya, wanahaha kutafuta namna ya kupotosha ukweli wa wazi alousema Lissu. Ndo maana kila anayesimama haachi kumtaja lissu kwa mambo binafsi badala ya kujikita kuchangia mswada wao. Wamekuwa kama waimba mipasho na kiitikio ni Lissu na chadema. Shame on magamba!