Its shame kuona jinsi ambavyo wabunge wa ccm walivyo na uelewa mdogo,hapa ndipo panakuwa na haja ya wabunge kuwa na kiwango fulani cha elimu.hoja alizotoa lissu ni za mantiki kubwa na za kisomi na ziko very analytical..hakuna asiyejua kuwa mswada huu ni ya namna ya kuandaa tume ya kuratibu mchakato wa ukusanyaji maoni,lakini sheria ikishatungwa ikasema terms of reference atatoa rais,kama kuna jambo rais hapendi lipigiwe kura litapigiwa? Atakayesimamia ukusanyaji wa maoni ni tume ya uchaguzi,watanzania wana imani na tume ya uchaguzi kwa kiasi gani? Ikishasema bunge la katiba litakuwa na wajumbe sawa bara na visiwani kuna uwiano sahihi wa uwakilishi? Kumbuka bara tunao viongozi ambao tayari ni wazenji,ikishasema ripoti itawasilishwa kwa rais,kama haipendi atairidhia? NASEMA WABUNGE WA CCM MNACHEMKA,ZITENDEENI HAKI ELIMU ZENU.Nimesikitishwa na mwigulu mchemba na maoni yake? Wapi makamba? Ole sendeka,mama kilango,yule mbunge wa kisarawe,lusinde NIMEWASAMEHE BURE.