Kutokana na hali na mazingira mapya ya kisiasa ninashauri wale wabunge 19 warudishwe kujenga chama na kuongeza ushawishi kuelekea uchaguzi Mkuu kwa misngi ifuatavyo
1. Wabunge hawa pamoja na makosa waliyoyafanya lakini hawakuibagaza chadema wao waliendelea kujitetea uwemo wao bungeni na kutimiza majukumu ya kibunge.
2.kwenye siasa ni namna ya kucheza draft hakuna adui wa kudumu na rafiki wa kudumu.
3. waliondoka katika mazingira ya uongozi wa zamani uongozi wa chadema umebadilika na maono mapya. ni kipindi cha kujenga upya chama kwa kuwarejesha pia walikengeuka
4. Mara kadhaa wamekitetea chama bungeni rejeeni kauli za Bulaya na Mdee
5. So far hata wakirudi watabaki kuwa wanachama wa kawaida uchaguzi umekwisha kwenye maeneo yote. Hawana maamuzi ya kiuongozi hivyo watapimwa upya wakiwa wanachama wa kawaida
6. Naamini bado wana damu ya ki-chadema na wamekitumikia muda mrefu. Wapewe nafasi ya kuomba radhi kwa yaliyotokea na kisha washiriki kwenye ujenzi wa chama. Mabadiliko ya uongozi ndani ya Chadema kwa sasa yatumike kurejesha wote waliokikimbia chama kwa sababu mbalimbali. Hii ni siasa na siasa ni sayansi.
1. Wabunge hawa pamoja na makosa waliyoyafanya lakini hawakuibagaza chadema wao waliendelea kujitetea uwemo wao bungeni na kutimiza majukumu ya kibunge.
2.kwenye siasa ni namna ya kucheza draft hakuna adui wa kudumu na rafiki wa kudumu.
3. waliondoka katika mazingira ya uongozi wa zamani uongozi wa chadema umebadilika na maono mapya. ni kipindi cha kujenga upya chama kwa kuwarejesha pia walikengeuka
4. Mara kadhaa wamekitetea chama bungeni rejeeni kauli za Bulaya na Mdee
5. So far hata wakirudi watabaki kuwa wanachama wa kawaida uchaguzi umekwisha kwenye maeneo yote. Hawana maamuzi ya kiuongozi hivyo watapimwa upya wakiwa wanachama wa kawaida
6. Naamini bado wana damu ya ki-chadema na wamekitumikia muda mrefu. Wapewe nafasi ya kuomba radhi kwa yaliyotokea na kisha washiriki kwenye ujenzi wa chama. Mabadiliko ya uongozi ndani ya Chadema kwa sasa yatumike kurejesha wote waliokikimbia chama kwa sababu mbalimbali. Hii ni siasa na siasa ni sayansi.