Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,475
- 33,038
Habari wakuu...
Nahisi Chadema kwenye strategy ya No reforms No election wangejaribu pia kushawishi vyama vingine vya upinzani kutoshoriki uchaguzi kama hakuna reforms.......
Hii ingewapa power upinzani na win ingekuwa win ya pamoja Chadema na vyama vingine vya upinzani.
Kuliko sasa hivi imebaki ni mission ya Chadema ambapo it means Chadema ndio 'stubborn ' wasiotaka peace.
Hii inawaweka vulnerable Chadema kuwa attacked na serikali ya CCM.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Imagine ingekuwa ni agenda ya vyama vyote vya upinzani wangemkamata nani? Huoni serikali ingekuwa confused? Na hata hizo International communities mnazotaka zi act on no reforms no election zita act kama kuna uzito unaotokana na muunganiko wa upinzani mfano viongozi wote wa upinzani wamekamatwa na serikali ya CCM hapo ndio mta draw attention kutoka jumuia za kimataifa. Kuliko sasa hivi mmemuachia Lissu na Chadema yake hizo jumuia za kimataifa zitaona hamna CONSISTENCY kama vyama vingine vya upinzani vinashiriki uchaguzi kasoro Chadema.
Mawazo yangu, what do you think?
Becky.
Nahisi Chadema kwenye strategy ya No reforms No election wangejaribu pia kushawishi vyama vingine vya upinzani kutoshoriki uchaguzi kama hakuna reforms.......
Hii ingewapa power upinzani na win ingekuwa win ya pamoja Chadema na vyama vingine vya upinzani.
Kuliko sasa hivi imebaki ni mission ya Chadema ambapo it means Chadema ndio 'stubborn ' wasiotaka peace.
Hii inawaweka vulnerable Chadema kuwa attacked na serikali ya CCM.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Imagine ingekuwa ni agenda ya vyama vyote vya upinzani wangemkamata nani? Huoni serikali ingekuwa confused? Na hata hizo International communities mnazotaka zi act on no reforms no election zita act kama kuna uzito unaotokana na muunganiko wa upinzani mfano viongozi wote wa upinzani wamekamatwa na serikali ya CCM hapo ndio mta draw attention kutoka jumuia za kimataifa. Kuliko sasa hivi mmemuachia Lissu na Chadema yake hizo jumuia za kimataifa zitaona hamna CONSISTENCY kama vyama vingine vya upinzani vinashiriki uchaguzi kasoro Chadema.
Mawazo yangu, what do you think?
Becky.