KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Wakuu kuuliza si ujinga,hivi chadema huwa inawapataje wagombea urais kwa tiketi ya chama hicho?Hapa namaanisha mgombea urais na mwenza wake maana kwa mujibu wa katiba yetu rais hagombei peke yake bali ni lazima awe na mgombea mwenza.
Chadema huwa wanatumia njia gani kuwapata hawa watu wawili.tupeane elimu tuvijue vyama vyetu hivi vyote.
Chadema huwa wanatumia njia gani kuwapata hawa watu wawili.tupeane elimu tuvijue vyama vyetu hivi vyote.