wewe unahoji vipi hiki chama cha kikanda, kikabila na kidini? kuwa makini vitu vingine si vya kuhoji kabisa kwa baadhi ya vyama. yule boya wao muuza genge aka mgombea mwenza unamsikia siku hizi? hapo ndo ujue kwamba aliokotwa tu njiani.
mtei akisema fulani agombee anagombea, kwani siri?
uliza kama wanachama walihusika kumpata slaa, leo hii slaa kaharibu chama kuliko kawaida
Mzee Kim kardash mbona hii thread unajadili peke yako.
Mzee Kim kardash mbona hii thread unajadili peke yako.
kwa sasa ni sekretari wa dr.slaa pale makao makuu.
mbona wewe ni mmoja wapo?
yani unasema hivyo kwa kuwa inakuudhi sio?jifunze kuwa mvumilivu wa maoni tofauti hata usiyoyapenda,watu wote hao waliojitokeza kujadili unadhani ni mimi kwa id tofauti tofauti?
haya mwingine huyo kakujibu hapo juu,nae ni mimi?
Fanya kaz uongeze kipato,hizo hela za Nape zitakutokea puani,keshakuharibu masaburi..