Nguli wa siasa nchini na kada mashuhuri wa CCM Balozi Job Lusinde amevunja ukimya na kusema kuna kila dalili kwamba CDM inakaribia kuchaguliwa na wananchi kuongoza dola ya Tanzania.
Mkongwe huyo wa siasa amesema CDM imejipanga vyema na ina uongozi madhubuti unaopanga vyema harakati zake za kisiasa nchini.Balozi Lusinde amesema amekuwa akifurahishwa jinsi CDM inavyotangaza sera zake kwa wananchi kwa kutumia maandamano na mikutano ya hadhara.Amesema CCM inapaswa kukubali kwamba lolote linaweza kutokea katika uchaguzi mkuu wa 2015.
Kuhusu chama chake cha CCM Balozi huyo ameeleza kusikitishwa na hali ya uhasama ilivyofikia ndani ya chama hicho kufikia wanachama kutaka kuuana kwa bastola kwa uroho wa madaraka akirejea tukio lililotokea hivi karibuni huko Nzega kati ya Hamis Kigwangala na Hussein Bashe.Amesema kiuhalisia sasa CCM imekosa mwelekeo.
Source:Tanzania Daima Uk 6
Mzee Lusinde amejivua koti la propaganda na kuongea ukweli wa moyo wake,big up mzee,M4C inasonga mbele
Nguli wa siasa nchini na kada mashuhuri wa CCM Balozi Job Lusinde amevunja ukimya na kusema kuna kila dalili kwamba CDM inakaribia kuchaguliwa na wananchi kuongoza dola ya Tanzania.
Mkongwe huyo wa siasa amesema CDM imejipanga vyema na ina uongozi madhubuti unaopanga vyema harakati zake za kisiasa nchini.Balozi Lusinde amesema amekuwa akifurahishwa jinsi CDM inavyotangaza sera zake kwa wananchi kwa kutumia maandamano na mikutano ya hadhara.Amesema CCM inapaswa kukubali kwamba lolote linaweza kutokea katika uchaguzi mkuu wa 2015.
Kuhusu chama chake cha CCM Balozi huyo ameeleza kusikitishwa na hali ya uhasama ilivyofikia ndani ya chama hicho kufikia wanachama kutaka kuuana kwa bastola kwa uroho wa madaraka akirejea tukio lililotokea hivi karibuni huko Nzega kati ya Hamis Kigwangala na Hussein Bashe.Amesema kiuhalisia sasa CCM imekosa mwelekeo.
Source:Tanzania Daima Uk 6
Huyu Lusinde si ndiye juzi alikuwa anasema chadema bado, leo ndo ameongea hayo???? Au hiyo source yako mkuu Molemo imeongeza munyu?
Mkuu hiyo mbona ipo wazi wala siyo tetesi wana story ni ukweli hata yeye na wanapga kura wake wanajua kudadadadadaadeki si mtoto wa mzee Lusinde. kalelewa na huyu mzee, anyway ni mtoto wa ku-adopt tu.POMPO kwa nini hujatueleza haya siku zote mkuu? Kwa taarifa hii tungekuwa tuna majibu mengi kuliko maswali.
Livingstone na tabia zake kuwa mtoto wa Balozi jambo hilo limetesa sana akili yangu. Namfahamu yule mzee na jinsi alivyo na tabia za kiungwana nikajiuliza kapatwa na nini kuwa na toto lenye tabia kama zile kisha ananyamaza? Pia kwa nini Mtu anayetambua umuhimu wa Elimu kama yeye aache kijana wake aishie darasa la nne sijui?
Walau sasa nimeelewa na sitashangaa kwa lolote atakalofanya ila nitaendelea kuwa shangaa waliomchagua ubunge na NEC
Nadhani unafikiri wanachama wote wa CCM ni static, wapo ambao ni dynamic, it depends na circumstances.Huyu Lusinde si ndiye juzi alikuwa anasema chadema bado, leo ndo ameongea hayo???? Au hiyo source yako mkuu Molemo imeongeza munyu?
CCM wapingacho ndicho wafanyacho
1. Mawaziri wakuu wa CCM (Mara) - J.k. Nyerere - Kaskazini;
2. Joseph Sinde Warioba (Mara) - Kaskazini;
3. Cleopa Msuya - Kaskazini;
4. Edward Moringe Sokoine (Arusha) - Kaskazini;
5. Fredrick Sumaye (Arusha) - Kaskazini;
6. Edward Lowasa (Arusha) - Kaskazini.
Nguli wa siasa nchini na kada mashuhuri wa CCM Balozi Job Lusinde amevunja ukimya na kusema kuna kila dalili kwamba CDM inakaribia kuchaguliwa na wananchi kuongoza dola ya Tanzania.
Mkongwe huyo wa siasa amesema CDM imejipanga vyema na ina uongozi madhubuti unaopanga vyema harakati zake za kisiasa nchini.Balozi Lusinde amesema amekuwa akifurahishwa jinsi CDM inavyotangaza sera zake kwa wananchi kwa kutumia maandamano na mikutano ya hadhara.Amesema CCM inapaswa kukubali kwamba lolote linaweza kutokea katika uchaguzi mkuu wa 2015.
Kuhusu chama chake cha CCM Balozi huyo ameeleza kusikitishwa na hali ya uhasama ilivyofikia ndani ya chama hicho kufikia wanachama kutaka kuuana kwa bastola kwa uroho wa madaraka akirejea tukio lililotokea hivi karibuni huko Nzega kati ya Hamis Kigwangala na Hussein Bashe.Amesema kiuhalisia sasa CCM imekosa mwelekeo.
Source:Tanzania Daima Uk 6
Huyu ana uhusiano gani na huyu jamaa (Kilaza)?
Cdm muache udini na ukaskazini
Mkuu hiyo mbona ipo wazi wala siyo tetesi wana story ni ukweli hata yeye na wanapga kura wake wanajua kudadadadadaadeki si mtoto wa mzee Lusinde. kalelewa na huyu mzee, anyway ni mtoto wa ku-adopt tu.
Huyu ana uhusiano gani na huyu jamaa (Kilaza)?
Ameshakwambia sosi ni Tanzania Daimahata mimi nilimuona katika TV akisema CDM haina uwezo wa kuchukua dola. we haya maneno umeyatoa wapi? source tafadhali
Ameshakwambia sosi ni Tanzania Daima