CHADEMA wanajidanganya tena sana

CHADEMA wanajidanganya tena sana

Nahisi umesoma vizuri mdau nimesema siwezi jibu kitu amabcho sina uhakika kinatolewa na nani so ulitakiwa kusema tu ni flani ndio kasema ili nipime reliability ya mtoa takwimu...pia mi nimejibu hoja zako karibia zote but umeshindwa hata kunisapoti kuhusu upinzani kuhamasisha maendeleo hapo ndio napataga shida na wanasiasa wa nchi hii kuwa lengo ni kuinyanyua tz au lengo flani atawale! kuhusu ujenzi wa vyoo 35% kutokuwa na maji na vituo vy afya ni vichache ni matter of time mdau hope hiyo % itapungua na sana mpk amalize muda wake na pia atawapa wapinzani hoja mufilisi za majukwaani kuwa kapendelea sana kwao...Halafu nimekukatalia takwimu moja tu naona umegeneralize kama nimekataa takwimu zote duh..kweli binadamu nature yake ni kuona mapungufu tu
Ni lini wapinzani hawajahamasisha maendeleo hivi kukataa miswada ya kifisadi bungeni Kma ule wa gesi na ule wa usimamizi wa fedha je sio kuhamasisha maendeleo au maendeleo yanaweza kuja bila mazingira rafiki kuwekwa?

Ni lini wapinzani wamekataa maendeleo wakati juzi tu tumeona meya jacob akitoa mikopo kwa vikundi vya akina mama hapa Dar au hayo sio maendeleo??? Au kisa magufuli anasema majukwaani watu wachape kazi ndio unaona anahamasisha maendeleo kwa maneno ya jukwaani wakati kiuhalisia zaidi ya vijana laki 6 wanaingia katika soko la ajira kila mwaka na 80% hawana pa kuanzia sio mitaji sio ajira hyo kazi watachapia wapi???

Mshaurini awe na vipaumbele vya kueleweka aache siasa kila muda na kuongea visivyotekelezeka eti viwanda wakati hta kilimo kimetushinda!
 
Wengi mliongea mnatoa tu hot air wala hamjui uhalisia wa mambo. Wait and see.
 
unaweza sema hivyo kwa kuwa haupo huku siku hizi hamna kauli za unajiua mimi ni nani? unga kg1 mpk 800 unapata,mshahara japo haujaongezwa but unapatikana on time and early,muhimbili hamna kulala chini,mikelele ya baa mwisho saa 6 hamna kukesha,ofisi za umma kila mtu anasikilizwa regardless muonekano wake, airpot ukicheck inn hamna kuzugishwa mpk utoe dolla,nadhani mwaka huu tz ndio nchi iliyoongoza kutembelewa na watalii zaidi afrika mashariki,angalau ameweza kutemper na wazungu kuhusu madini.big project kama ununuzi wa ndege,mradi mkubwa wa ufuaji umeme afrika unokuja mradi wa maji mikubwa ya longido, kigoma,barabara za maeneo yaliyosahaulika kumaliziwa kama tabora,ujenzi wa hostel za wanafunzi,yapo mengi tu kama mwanadamu uliye na macho na kujua kuthamini lazima uone haya lakini kama tayari ushaguswa na magu effect lazima uponde na kusema hamna kitu bora aliyeondoka kwa kuwa mliweza kufanya mambo yasiyofaa bila tabu
Sister usijisumbue kumuelimisha huyu mchaga wa Rombo, hawa wana hasira baada ya madili yao mengi kuguswa awamu hii na wamejaa ukabila, ukanda na ubinafsi. Mabadiliko yaliyopo kwenye system makubwa zamu hii hawezi kuyaona sababu yupo nje, yeye anaijua Tanzania kupitia Jamii Forums na mitandaoni tu. Ila muda wa kupiga kura ukifika ndo utajua kuwa JPM kafanya mangapi, nakuhakikishia 2020 upinzania hawapati hata 20% kura za uraisi, na wabunge kibao hawarudi. Ndo maana wabunge wajanja wa upinzani wapo kimya, ni bora kukaa kimya kuliko kupinga maendeleo anayoyaleta JPM.Unaonekana mchawi kwenye jamii.
 
Pia usisahau 65% hawana maji safi na salama

Pia usisahau kuna wanafunzi hawana mikopo ila kuna hela ya kujenga airport porini

Usisahau 40% hawana umeme wa uhakika hasa vijijini

Usisahau watu 20 wanakufa kila cku sababu wanakosa medical attention sababu hakuna vituo vya afya vya kutosha

Usisahau watanzania 70% wanaishi chini ya dollar moja kwa siku

Usisahau thamani ya pesa inapungua 16% kila mwaka per each 100 shillings

Uwiiiiiii mengi sana umesahau ila nashangaa unajitia upofu kuyaona

Naona hatuelewani hapa! Hayo yote Uliyosema ni Kweli, Na inawezekana Kabisa Mgombea wa Ukawa 2020 akapata 90% ya kura zote na Magufuli 7% Swali langu ni Je wakiweka Alogarithm zikaonyesha Yeye Magu kapata 86% na Ukawa 14% Mtamfanyaje? Mlishafanya nini kuonyesha Mkiibiwa Mtafanya lolote. Kama Mtu anawatwanga Risasi mnaishia Maneno na Kulia lia akiwaibia Kura mtafanyaje! Huoni kwa Kutoreact kwa Upuuzi wake Mtu ataona his Magic is working na Atazidisha uhuni? Am not convinced kuwa Chadema Wakiibiwa Watafanya Lolote! Tundu Lissu alipopigwa Risasi hata Wangetia "Dodoma yote kiberiti" Au angalau Jengo lote la Bunge in Minimum" Yes the Hell I said it! Ni kama mfano tu! Sijamwambia mtu achome anything! Wangewaelewa na Dunia ingewaelewa, the lost the opportunity kutoa onyo!
 
Sister usijisumbue kumuelimisha huyu mchaga wa Rombo, hawa wana hasira baada ya madili yao mengi kuguswa awamu hii na wamejaa ukabila, ukanda na ubinafsi. Mabadiliko yaliyopo kwenye system makubwa zamu hii hawezi kuyaona sababu yupo nje, yeye anaijua Tanzania kupitia Jamii Forums na mitandaoni tu. Ila muda wa kupiga kura ukifika ndo utajua kuwa JPM kafanya mangapi, nakuhakikishia 2020 upinzania hawapati hata 20% kura za uraisi, na wabunge kibao hawarudi. Ndo maana wabunge wajanja wa upinzani wapo kimya, ni bora kukaa kimya kuliko kupinga maendeleo anayoyaleta JPM.Unaonekana mchawi kwenye jamii.

Mabadiliko ya Kununua Madiwani?
Kununua Ndege bila Budget na ikizuiwa unamsingizia mtu na kumpiga risasi?
Mabadiliko ya Kupora pesa za wahanga wa Matetemeko na kuzitumia katika budget ya serikali kisha unawapa wahanga majani ya chai na biscuit moja?

Somebody give me a bucket!

Mabadiliko ya kuvunjia Wananchi hawa nyumba zao na hawa unawaacha?
Mabadiliko ya Kumtukuza Waziri mwadilifu na Kumkingia Kifua Jambazi?
Mabadiliko ya kuiba 2.7 Billion hazina kuhonga wabunge wa CCM milioni 10@
Mabadiliko ya kuiba Pesa na kumpa mpuuzi Lipumba Kuvuruga CUF na Ukawa?

Somebody give me a bucket!

Mabadiliko ya Kufukuza kazi hawa kwa Vyeti Bandia na Kumbeba mbeleko bashite?
Mabadiliko ya Kusingizia Vita vya Madawa kuumiza Supporters wa Lowassa?
Mabadiliko ya Kudanganya Kiasi cha Makusanyo ya Kodi TRA
Mabadiliko ya Kumpandisha Cheo Mtoa Rushwa na Mnunuzi wa Madiwani (Mnyeti)?
Mabadiliko ya Kukataza mikutano ya siasa huku akirandaranda na Polepole kufanya siasa za rushwa uchwara na Maji Taka?
Mabadiliko ya Kujengea Nzige airport Chato na Punda Trafic signal? (Magufuli Gbadolite au Nkandla)
Somebody give me a bucket! Nasikia kichefuchefu!


Wewe na Yeye ! Take those Changes to Hell where yall belong! The hell Ungekuwa Mzima Ungesikia harufu ha Hila na Unafiki wako na Wa Magufuli mungu wako! Unanuka kama Maiti iliyooza! Hizo hadaa za Kijinga wapelekee Washamba-Washamba wenzenu!
 
Sema No, Ila wewe Na huyo mungu mtu wako! No yenu iwe Kubadilika na Kuacha hila! He is not better than Qadaffi au Samwel Doe! Na alimtaja sana Qadaffi wakati wa kampeni zake nahisi alijitolea unabii mwenyewe! Mimi nimeshaota na kuona maono Mara Nyingi. Laana zinakuja Na consequences! Wamama na watoto waliovunjiwa nyumba Ubungo, Vitanda vyao, Vyungu, sufuria sahani, nguo za watoto za shule, mwana sesere zao! Zote akaziponda Kisa hawakumpa Kura! Mungu aliona!
 
Mkuu si wewe uje tujiunge kwenye harakati?? Mbona wewe uko Marekani unatanua tu halafu unataka wapigwe mabomu wakati wewe unaandika kwenye JF tu!! Njoo basi tunakusubiri mkuu!!
Do they have a choice?
 
We mshikaji nakukubaligi sana kwa hoja zako! Toka ughaibuni njoo maskini kwa hakika utaaminiwa na utapewa nafasi nzuri tuu CHADEMA. Nitakua wa kwanza kukupigia Chapuo hata kwenye Unaibu katibu mkuu. Ila nakuona uko very aggressive, unaweza kugombana na viongozi sana.
Nakushukuru but No thanks! Observation yako Juu yangu ni sahihi, Ila umekosea kitu! Mimi niko very humble! Mpole! Nina huruma, niko Loyal to the end! Ila Sipendagi Ujinga hata Kidogo! The hell Unafiki na Ujinga kwenye Mambo muhimu sio strategy. Kingine nachochukia Kwa Roho yote ni UONEVU!
 
Kuna kitu kinanishangaza sana kuhusu CHADEMA, bado hawaamini kuwa uhuni wanaofanyiwa unatokea mbali zaidi ya polisi, zaidi ya wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa. Nilikuwa nikiwasikiliza Lema na Nassari walivyokuwa wakidai watampelekea mh. Rais ushahidi wa madiwani kuhongwa nikasikia kichefuchefu!

Nafikiri nilisema mahali ninyi toeni huo ushahidi, in public, sasa baada ya kubezwa na TAKUKURU na Mnyeti kupewa ukuu wa mkoa, kupandishwa, nadhani akili itawajia. Maana walichokuwa wakikifanya ni kumtumia mtu ujumbe kuwa, "The magic of fear is working"

Na kama hawatakuwa na mkakati wa pamoja wa kujua namna ya kupambana kisiasa very forcefully, 2020 wakibakizwa wabunge 5 wa CHADEMA niiteni mbwa!

Why I say so!

1) Kama mwenzenu anapigwa risasi mchana kweupe, reaction inakuwa ni unyonge, ukishinda ubunge wakamtangaza mwingine utafanyaje?

2) Kama Kigaila anakamatwa na polisi kwa kuhoji kwanini Makonda anazunguka na wenye bunduki reaction yenu inakuwa hii, mkinyang'anywa ubunge mtaweza kufanya nini?

3) Kama mtu bustani zako zinaharibuwa unalia lia unajibu uhuni kwa sheria ukinyang'anywa ubunge hata kama umeshinda kwa asilimia 90% utafanyaje!

4) Hivi neno, " Jecha apewe tuzo" linaashiria nini kwenu?

5) Hivi pamoja na kuonyesha wazi Mnyeti alihusika kuhonga madiwani na bado akapandishwa cheo inaashiria nini kwenu!

6) Kilichonichefua Kuliko vyote Ni pale Lipumba alipowafukuza Wabunge halali na Akawachagua Wabunge Ndondocha fake! Kwa msaada wa Ndugai na Magufuli, Reaction ya Ukawa Ikawa ya Kijinga Kijinga, ati wanakimbilia Mahakamani! 2020 Mmeshamthibitishia Magufuli Magic yake ya Uhuni, It actually works! Mtaona Undundu Mtakaofanyiwa!

Endeleeni kulia goodluck, pengine mtaonewa huruma! Guys mnachokifanya ni kutuma ujumbe kuwa hata mfanyiwe nini hamwezi fanya lolote, "And the envelopes will be pushed real far in 2020 by the look of things"
Magufuli hata Akipata asilimia 2% yaKura zote ataangiza itangazwe amepata kura 98%. Tathmini ya kufanya sasa miaka miwili kabla ni je akifanya hivyo Mtafanya nini? Ushahidi wa kufanya hilo Uko wapi? Kwenye siasa kuna Matukio yanatokea, yanakupa fursa ya Justification ya Kufanya Lolote na Wananchi wanawaelewa, na Dunia inaelewa, Mfano Mzuri ni Tundu Lissu, alipopigwa Risasi Mlikimbiza Nairobi, Nawapongeza sana hata Mimi ningefanya hivyo. Lakini Nisingeishia hapo, wakati Lissu akiwa out of the line of fire! Mlitakiwa Muwatafute Wauaji na hasa yule Co ordinator! Ili iwe Polisi wakiwakamata kuwe ni Kuwanusuru! Sasa mliishia Kupiga tu Kelele matokeo yake ndio Kuna ngedere bungeni anajaribu hata kulifanyia Dhihaka.

My Take! Namheshimu Lowassa ila anawapa Matumaini ya Uongo kwa Kuwashauri Muache siasa za harakati. Lowassa ni Mzee, sisemi ni Mwoga, Lakini ni Mwoga wa Kupoteza! Kuna siku polisi walimlazimisha kuingia kwenye gari aache kuwasalimia wananchi haraka haraka akaingia sasa sijui ni Familia yake ilimpa masharti asijiingize Kwenye shida! But Mheshimiwa Lowassa , "You cant have your cake and eat it" Hata kama Yeye hatakuwa Front line kuwazuia Vijana Kuwa Ngangari in Action kama Kenya! In the End hata yeye atapoteza.

I solute Wapinzani wa Kenya, Hawataki Upuuzi, N the mount War in all fronts, Mahakamani, In the Streets, In the Media na In the International platforms.

Halafu acheni madharau!
Hakuna mwenye mpango wowote wa maana ndani ya Chadema kuhusu 2020. Watu wamekaa wanasubiri "The Lowassa Magic". Wanasubiri Lowassa afanye mambo.
Ile damu ya kiuharakati na amsha amsha ilikufa yote baada ya kumkabidhi chama Lowassa.
Lakini usilalamike sana. Lowassa na Chadema walitangazia umma wote kuwa wasipoingia ikulu 2015 itawachukua miaka 50 kupata tena nafasi hiyo. Wote walimuamini na ndo ikawa mbiu yao. Kwa hiyo hakuna mwenye mpango na 2020, hiyo ni miaka 5. Wanasubiri ipite mingine 45 ndo walianzishe tena kama ilivyoamriwa na Lowassa.
 
Mabadiliko ya Kununua Madiwani?
Kununua Ndege bila Budget na ikizuiwa unamsingizia mtu na kumpiga risasi?
Mabadiliko ya Kupora pesa za wahanga wa Matetemeko na kuzitumia katika budget ya serikali kisha unawapa wahanga majani ya chai na biscuit moja?

Somebody give me a bucket!

Mabadiliko ya kuvunjia Wananchi hawa nyumba zao na hawa unawaacha?
Mabadiliko ya Kumtukuza Waziri mwadilifu na Kumkingia Kifua Jambazi?
Mabadiliko ya kuiba 2.7 Billion hazina kuhonga wabunge wa CCM milioni 10@
Mabadiliko ya kuiba Pesa na kumpa mpuuzi Lipumba Kuvuruga CUF na Ukawa?

Somebody give me a bucket!

Mabadiliko ya Kufukuza kazi hawa kwa Vyeti Bandia na Kumbeba mbeleko bashite?
Mabadiliko ya Kusingizia Vita vya Madawa kuumiza Supporters wa Lowassa?
Mabadiliko ya Kudanganya Kiasi cha Makusanyo ya Kodi TRA
Mabadiliko ya Kumpandisha Cheo Mtoa Rushwa na Mnunuzi wa Madiwani (Mnyeti)?
Mabadiliko ya Kukataza mikutano ya siasa huku akirandaranda na Polepole kufanya siasa za rushwa uchwara na Maji Taka?
Mabadiliko ya Kujengea Nzige airport Chato na Punda Trafic signal? (Magufuli Gbadolite au Nkandla)
Somebody give me a bucket! Nasikia kichefuchefu!


Wewe na Yeye ! Take those Changes to Hell where yall belong! The hell Ungekuwa Mzima Ungesikia harufu ha Hila na Unafiki wako na Wa Magufuli mungu wako! Unanuka kama Maiti iliyooza! Hizo hadaa za Kijinga wapelekee Washamba-Washamba wenzenu!
Mkuu ya TZ waachie waTZ wewe si ulishaukana Utanzania wako?? Baki huko US tuachie nchi yetu na kama wewe ni mwanaume si uje TZ?? Mbona una bwabwaja tu kwenye mitandao!! Haisaidi sana kupiga kelele mitandaoni njoo ushiriki personally kama kweli ni kidume!!
 
Muda hauko mbali sana kuanza kumpelekea MUNGU wabakaji wa haki na democrasia.
Jukumu la kumpelekea Mungu sasa ni letu bila kusubiri awachukue yeye, Kazi ya Mungu sasa itakuwa ni KUHUKUMU tuu.Sisi tutampelekea watuhumiwa.
Muda hauko mbali, hatuwezi kuongozwa kizuzu namna hii.
 
Naona hatuelewani hapa! Hayo yote Uliyosema ni Kweli, Na inawezekana Kabisa Mgombea wa Ukawa 2020 akapata 90% ya kura zote na Magufuli 7% Swali langu ni Je wakiweka Alogarithm zikaonyesha Yeye Magu kapata 86% na Ukawa 14% Mtamfanyaje? Mlishafanya nini kuonyesha Mkiibiwa Mtafanya lolote. Kama Mtu anawatwanga Risasi mnaishia Maneno na Kulia lia akiwaibia Kura mtafanyaje! Huoni kwa Kutoreact kwa Upuuzi wake Mtu ataona his Magic is working na Atazidisha uhuni? Am not convinced kuwa Chadema Wakiibiwa Watafanya Lolote! Tundu Lissu alipopigwa Risasi hata Wangetia "Dodoma yote kiberiti" Au angalau Jengo lote la Bunge in Minimum" Yes the Hell I said it! Ni kama mfano tu! Sijamwambia mtu achome anything! Wangewaelewa na Dunia ingewaelewa, the lost the opportunity kutoa onyo!
mkuu hatuna viongozi aggressive ndio shida mbowe kawa mwamadiplomasia anasahau huyu sio kikwete au membe

Tulihitaji mtu Kma marehemu alphonce mawazo pale juu au mwikabe waitara na john heche...... BAVICHA atolewa patrobas alifaa mtu aggressive at least Kma upendo peneza hapo ndio tungeona ile nguvu ya umma ya 2010-15! Ssa hawa waliokuwepo hawakujiandaa na dikteta aliyeweza ni lissu tu ambaye na yye kaponea kifo

Mkuu mshauri uongozi ukae pembeni uletwe mpya wawekwe watu aggressive kina ben kigaila hapo ndio utaona kidogo unachokitaka ila hawa wa ssa sio watu wa mbwai mbwai which in turn resulted to unyonge wetu
 
Kuna kitu kinanishangaza sana kuhusu CHADEMA, bado hawaamini kuwa uhuni wanaofanyiwa unatokea mbali zaidi ya polisi, zaidi ya wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa. Nilikuwa nikiwasikiliza Lema na Nassari walivyokuwa wakidai watampelekea mh. Rais ushahidi wa madiwani kuhongwa nikasikia kichefuchefu!

Nafikiri nilisema mahali ninyi toeni huo ushahidi, in public, sasa baada ya kubezwa na TAKUKURU na Mnyeti kupewa ukuu wa mkoa, kupandishwa, nadhani akili itawajia. Maana walichokuwa wakikifanya ni kumtumia mtu ujumbe kuwa, "The magic of fear is working"

Na kama hawatakuwa na mkakati wa pamoja wa kujua namna ya kupambana kisiasa very forcefully, 2020 wakibakizwa wabunge 5 wa CHADEMA niiteni mbwa!

Why I say so!

1) Kama mwenzenu anapigwa risasi mchana kweupe, reaction inakuwa ni unyonge, ukishinda ubunge wakamtangaza mwingine utafanyaje?

2) Kama Kigaila anakamatwa na polisi kwa kuhoji kwanini Makonda anazunguka na wenye bunduki reaction yenu inakuwa hii, mkinyang'anywa ubunge mtaweza kufanya nini?

3) Kama mtu bustani zako zinaharibuwa unalia lia unajibu uhuni kwa sheria ukinyang'anywa ubunge hata kama umeshinda kwa asilimia 90% utafanyaje!

4) Hivi neno, " Jecha apewe tuzo" linaashiria nini kwenu?

5) Hivi pamoja na kuonyesha wazi Mnyeti alihusika kuhonga madiwani na bado akapandishwa cheo inaashiria nini kwenu!

6) Kilichonichefua Kuliko vyote Ni pale Lipumba alipowafukuza Wabunge halali na Akawachagua Wabunge Ndondocha fake! Kwa msaada wa Ndugai na Magufuli, Reaction ya Ukawa Ikawa ya Kijinga Kijinga, ati wanakimbilia Mahakamani! 2020 Mmeshamthibitishia Magufuli Magic yake ya Uhuni, It actually works! Mtaona Undundu Mtakaofanyiwa!

Endeleeni kulia goodluck, pengine mtaonewa huruma! Guys mnachokifanya ni kutuma ujumbe kuwa hata mfanyiwe nini hamwezi fanya lolote, "And the envelopes will be pushed real far in 2020 by the look of things"
Magufuli hata Akipata asilimia 2% yaKura zote ataangiza itangazwe amepata kura 98%. Tathmini ya kufanya sasa miaka miwili kabla ni je akifanya hivyo Mtafanya nini? Ushahidi wa kufanya hilo Uko wapi? Kwenye siasa kuna Matukio yanatokea, yanakupa fursa ya Justification ya Kufanya Lolote na Wananchi wanawaelewa, na Dunia inaelewa, Mfano Mzuri ni Tundu Lissu, alipopigwa Risasi Mlikimbiza Nairobi, Nawapongeza sana hata Mimi ningefanya hivyo. Lakini Nisingeishia hapo, wakati Lissu akiwa out of the line of fire! Mlitakiwa Muwatafute Wauaji na hasa yule Co ordinator! Ili iwe Polisi wakiwakamata kuwe ni Kuwanusuru! Sasa mliishia Kupiga tu Kelele matokeo yake ndio Kuna ngedere bungeni anajaribu hata kulifanyia Dhihaka.

My Take! Namheshimu Lowassa ila anawapa Matumaini ya Uongo kwa Kuwashauri Muache siasa za harakati. Lowassa ni Mzee, sisemi ni Mwoga, Lakini ni Mwoga wa Kupoteza! Kuna siku polisi walimlazimisha kuingia kwenye gari aache kuwasalimia wananchi haraka haraka akaingia sasa sijui ni Familia yake ilimpa masharti asijiingize Kwenye shida! But Mheshimiwa Lowassa , "You cant have your cake and eat it" Hata kama Yeye hatakuwa Front line kuwazuia Vijana Kuwa Ngangari in Action kama Kenya! In the End hata yeye atapoteza.

I solute Wapinzani wa Kenya, Hawataki Upuuzi, N the mount War in all fronts, Mahakamani, In the Streets, In the Media na In the International platforms.

Halafu acheni madharau!
Umejieleza sana but nilitaka kuona hitimisho lako ni la aina gani.
Udikiteta umetamalaki idara zote za nchi.
Waliopotezwa, waliouawa, waliopigwa risasi, waliofunguliwa kesi za uchochezi, waliojeruhiwa wakabaki vilema wote walikutwa na hayo wakiipigania haki yao na ya kwako pia wakipinga udikiteta ktk nchi yao na kutaka haki itendeke.
Ikiwa mtu kafikwa na hayo wewe ulitaka yamfike yapi ili ujidhihirishe kuwa ni mpambanaji.
On my side naipongeza upinzani kwa jitihada zao kwani yanayofanyika sasa hata Idd Amini Dada nahisi hajawahi yafanya.
Unyama wa serikali hii ni grade wanu duniani. Aliyofanyiwa Dr Shika na watesaji urusi wamefanyiwa wenzetu tayari ktk nchi hii.
Sina imani na ccm, sina imani na viongozi wake maana wanayoyafanya hata shetani anawashangaa.
Angalia kifo cha mawazo, mwangosi, maisha ya kibiti, aliko saanane, ya mbowe kuharibiwa bustani, kukomeshwa kwa fao la kujitoa, maslahi ya watumishi, maisha ya wakulima, gharama za elimu hakika napata kinchefuchefu kusikia neno ccm na kuona vazi la kijani(kumradhi watani zangu yanga).
 
Kuna kitu kinanishangaza sana kuhusu CHADEMA, bado hawaamini kuwa uhuni wanaofanyiwa unatokea mbali zaidi ya polisi, zaidi ya wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa. Nilikuwa nikiwasikiliza Lema na Nassari walivyokuwa wakidai watampelekea mh. Rais ushahidi wa madiwani kuhongwa nikasikia kichefuchefu!

Nafikiri nilisema mahali ninyi toeni huo ushahidi, in public, sasa baada ya kubezwa na TAKUKURU na Mnyeti kupewa ukuu wa mkoa, kupandishwa, nadhani akili itawajia. Maana walichokuwa wakikifanya ni kumtumia mtu ujumbe kuwa, "The magic of fear is working"

Na kama hawatakuwa na mkakati wa pamoja wa kujua namna ya kupambana kisiasa very forcefully, 2020 wakibakizwa wabunge 5 wa CHADEMA niiteni mbwa!

Why I say so!

1) Kama mwenzenu anapigwa risasi mchana kweupe, reaction inakuwa ni unyonge, ukishinda ubunge wakamtangaza mwingine utafanyaje?

2) Kama Kigaila anakamatwa na polisi kwa kuhoji kwanini Makonda anazunguka na wenye bunduki reaction yenu inakuwa hii, mkinyang'anywa ubunge mtaweza kufanya nini?

3) Kama mtu bustani zako zinaharibuwa unalia lia unajibu uhuni kwa sheria ukinyang'anywa ubunge hata kama umeshinda kwa asilimia 90% utafanyaje!

4) Hivi neno, " Jecha apewe tuzo" linaashiria nini kwenu?

5) Hivi pamoja na kuonyesha wazi Mnyeti alihusika kuhonga madiwani na bado akapandishwa cheo inaashiria nini kwenu!

6) Kilichonichefua Kuliko vyote Ni pale Lipumba alipowafukuza Wabunge halali na Akawachagua Wabunge Ndondocha fake! Kwa msaada wa Ndugai na Magufuli, Reaction ya Ukawa Ikawa ya Kijinga Kijinga, ati wanakimbilia Mahakamani! 2020 Mmeshamthibitishia Magufuli Magic yake ya Uhuni, It actually works! Mtaona Undundu Mtakaofanyiwa!

Endeleeni kulia goodluck, pengine mtaonewa huruma! Guys mnachokifanya ni kutuma ujumbe kuwa hata mfanyiwe nini hamwezi fanya lolote, "And the envelopes will be pushed real far in 2020 by the look of things"
Magufuli hata Akipata asilimia 2% yaKura zote ataangiza itangazwe amepata kura 98%. Tathmini ya kufanya sasa miaka miwili kabla ni je akifanya hivyo Mtafanya nini? Ushahidi wa kufanya hilo Uko wapi? Kwenye siasa kuna Matukio yanatokea, yanakupa fursa ya Justification ya Kufanya Lolote na Wananchi wanawaelewa, na Dunia inaelewa, Mfano Mzuri ni Tundu Lissu, alipopigwa Risasi Mlikimbiza Nairobi, Nawapongeza sana hata Mimi ningefanya hivyo. Lakini Nisingeishia hapo, wakati Lissu akiwa out of the line of fire! Mlitakiwa Muwatafute Wauaji na hasa yule Co ordinator! Ili iwe Polisi wakiwakamata kuwe ni Kuwanusuru! Sasa mliishia Kupiga tu Kelele matokeo yake ndio Kuna ngedere bungeni anajaribu hata kulifanyia Dhihaka.

My Take! Namheshimu Lowassa ila anawapa Matumaini ya Uongo kwa Kuwashauri Muache siasa za harakati. Lowassa ni Mzee, sisemi ni Mwoga, Lakini ni Mwoga wa Kupoteza! Kuna siku polisi walimlazimisha kuingia kwenye gari aache kuwasalimia wananchi haraka haraka akaingia sasa sijui ni Familia yake ilimpa masharti asijiingize Kwenye shida! But Mheshimiwa Lowassa , "You cant have your cake and eat it" Hata kama Yeye hatakuwa Front line kuwazuia Vijana Kuwa Ngangari in Action kama Kenya! In the End hata yeye atapoteza.

I solute Wapinzani wa Kenya, Hawataki Upuuzi, N the mount War in all fronts, Mahakamani, In the Streets, In the Media na In the International platforms.

Halafu acheni madharau!
Marandu if you believe kuna justification ya kufanya lolote, if you believe Lowassa kuingia kwenye gari ni woga, if heroes wako ni wahuni wa Mathare ndiyo wapinzani wazuri, wewe ni terrorist; don't do it. Dunia haina huruma na terrorists. Ukiwa ni mwanajukwaa hatutakutendea haki mwenzetu tusipokuonya huku tunaona unatia kichwa chako kinywani mwa simba.
 
Sasa Nafikiri kwenye uchaguzi wa madiwani Wataona nilichokuwa nawaambia!
 
TL Marandu, mimi hupenda sana kusoma post zako mkubwa na huwa unafanya uchambuzi mzuri sana...

Hata observation yako hii ni njema na unaweza ukawa uko sahihi kabisa...

Lakini kuna jambo moja umelisahau kuwa tangu CHADEMA iasisiwe na kushiriki chaguzi zote i. e 1995, 2000, 2005, 2010 na 2015 hawajawahi ku - slide kurudi nyuma...!!

Katika chaguzi zote wamekuwa wanaongeza ushindi wa idadi ya kata (madiwani), majimbo (wabunge) na idadi ya kura za urais tramendousily pamoja na vikwazo vyote dhidi ya mifumo ya hovyo ya usimamizi wa chaguzi ktk nchi za kiafrika mfano NEC kuwa chini ya chama kilicho madarakani (kutokuwa huru) , vyombo vya dola kukibeba chama kilicho ikulu na kwa ujumla katiba mbovu....

I am sure ktk mengi uliyoyasema hapa, vyama vya upinzani wanayajua na wanafahamu namna ya kucheza na siasa zinazofanywa na utawala huu dhaifu kabisa kuliko tawala zote...

Kwa hili nililosema hapa juu wengi wanaweza wasinielewe hasa wazee wa makinikia. Lakini believe it or not, ukweli ni kuwa nchi hii chini ya CCM awamu hii kwa uongozi wa Magufuli ni hovyo zaidi kuliko awamu ya JK na ushahidi uko wazi mno....

Mojawapo ni kuwa CCM haipo ila tuna mtu anayeitwa Magufuli ambaye kiuhalisia hajui siasa na anakipeleka kuzimu chama chake.

Tukiacha hayo, trust me. Kuanzia chaguzi hizi za marudio za ubunge na udiwani hadi 2020 utanipa majibu namna upinzani utakavyoichachafya serikali (siyo CCM, maana CCM haipo).....

2020, CCM yaweza kushinda lakini nakuambia itakuwa kwa kumwaga damu. Lakini kamwe upinzani hususani CHADEMA itakuwa consistent ktk ku - mantain matokeo ya ushiriki wake ktk chaguzi hizi.....

Hiyo ya kutoka wabunge zaidi ya 70 iliyonayo sasa hadi 5 haitatokea na kumbuka wakati umebadilika sana, watu wamebadilika sana na enzi za NCCR Mageuzi zilishapita hazijirudii tena. Tuko enzi zingine kabisa...!!!

However, ushauri na maoni yako yamepokelewa na yatafanyiwa kazi, I believe...
Update za matokeo unazisikia lakini?
 
Hatuna upinzani nchi hii labda siku moja jeshi litakuwa wapinzani wa kweli wa ccm km Zimbambwe but not such bushit opposition parties...! I proud of CCM and fearful opposition parties worries!
Chadema ilipoangukia ni pale ilipo changanya maji na mafuta na zaidi kibaki kuwa chama cha ruzuku na ndugu zake mbowe hapo hakitanyanyuka tena
 
Back
Top Bottom