CHADEMA wanajidanganya tena sana

Unachochea ukiwa nyuma ya keyboard za ulaya,wenzio wanafanya siasa njaa,familia zenyewe hohehahe,uziongezee matatizo,viongozi watatu ama wawili wakivunjwa miguu wandhani tutaweza kuchanga? njoo upige tafu,wacha maneno ya mitandaoni,wenzio UKUTA tu uliwashinda
 
Ni kweli ukuta ulizimwa kirahisi tunakoelekea ni pabayawatu wasio wazuri wako kazini
 

TL Marandu, mimi hupenda sana kusoma post zako mkubwa na huwa unafanya uchambuzi mzuri sana...

Hata observation yako hii ni njema na unaweza ukawa uko sahihi kabisa...

Lakini kuna jambo moja umelisahau kuwa tangu CHADEMA iasisiwe na kushiriki chaguzi zote i. e 1995, 2000, 2005, 2010 na 2015 hawajawahi ku - slide kurudi nyuma...!!

Katika chaguzi zote wamekuwa wanaongeza ushindi wa idadi ya kata (madiwani), majimbo (wabunge) na idadi ya kura za urais tramendousily pamoja na vikwazo vyote dhidi ya mifumo ya hovyo ya usimamizi wa chaguzi ktk nchi za kiafrika mfano NEC kuwa chini ya chama kilicho madarakani (kutokuwa huru) , vyombo vya dola kukibeba chama kilicho ikulu na kwa ujumla katiba mbovu....

I am sure ktk mengi uliyoyasema hapa, vyama vya upinzani wanayajua na wanafahamu namna ya kucheza na siasa zinazofanywa na utawala huu dhaifu kabisa kuliko tawala zote...

Kwa hili nililosema hapa juu wengi wanaweza wasinielewe hasa wazee wa makinikia. Lakini believe it or not, ukweli ni kuwa nchi hii chini ya CCM awamu hii kwa uongozi wa Magufuli ni hovyo zaidi kuliko awamu ya JK na ushahidi uko wazi mno....

Mojawapo ni kuwa CCM haipo ila tuna mtu anayeitwa Magufuli ambaye kiuhalisia hajui siasa na anakipeleka kuzimu chama chake.

Tukiacha hayo, trust me. Kuanzia chaguzi hizi za marudio za ubunge na udiwani hadi 2020 utanipa majibu namna upinzani utakavyoichachafya serikali (siyo CCM, maana CCM haipo).....

2020, CCM yaweza kushinda lakini nakuambia itakuwa kwa kumwaga damu. Lakini kamwe upinzani hususani CHADEMA itakuwa consistent ktk ku - mantain matokeo ya ushiriki wake ktk chaguzi hizi.....

Hiyo ya kutoka wabunge zaidi ya 70 iliyonayo sasa hadi 5 haitatokea na kumbuka wakati umebadilika sana, watu wamebadilika sana na enzi za NCCR Mageuzi zilishapita hazijirudii tena. Tuko enzi zingine kabisa...!!!

However, ushauri na maoni yako yamepokelewa na yatafanyiwa kazi, I believe...
 
Nachosema Mkuu sio Kuwa wataslide Nyuma Kwa wananchi Kutowapenda! No no! Am sure leo hii Uchaguzi Ukifanyika kwa haki Magufuli hawezi Pata 25% Nchi nzima dhidi ya Chadema.

Ila kwamba iwe wananchi watawachagua au La! 2020 Magufuli uhuni anaoufanya Leo wa Kumtumia Lipumba, Uhuni walioufanya CCM wa kutaka kukwapua Umayor wa Dar bila hata ya Aibu, Uhuni wa Kukataza Mikutano ya Siasa huku Magufuli akifanya siasa na Polepole ambaye hana kura moja ya wananchi, Tena siasa chafu za Kutoa Rushwa kwa Madiwani, Je uhuni huu haujibiwi kwa Matendo! Akifanya Uhuni wa kujipa Ushindi wa 90% Hapo Uchaguzi Mkuu wa 2020 ilimradi amepata asilimia 23% mtamfanyaje?

Mtu anayempongeza Jecha bin Jecha kwa Kufuta Matokeo ya Zanzibar ambapo Seif alishinda na wakafanya Uchaguzi ovyo haramu wakimwingiza Shame, kumradhi Shein mithili ya kuvamia nyumba kwa kupiga mlango "Fatuma" Mtu huyu unadhani anawaza nini juu ya 2020?
 
Huko mbali sana, kama Mh Mbowe ashaongea yote. Nadhani twende kwenye katiba.
Kuongea tu kila mtu anaweza! Ukiongea na Ukipuuzwa? Unafanyaje?. Nilimsikia Lowassa ati akisema, "Namwomba Rais Tena kwa Unyenyekevu aruhusu Katiba" ilinichefua? Ni kama Lowassa anatuambia Mandela angewaomba Akina Foster tena kwa Unyenyekevu waondoe Apartheid! Ni kama Nyumbu mwenye Njaa anakamatwa mguu na Mamba! Badala ya kufurukuta ikibidi hata mguu ukatike amwachie ati apige magoti kuomba Mamba amwachilie! Kabla sala haijaisha si tu mamba atashika mguu ni kichwa kitakuwa Kinywani. Saa nyingine Ni Bora kufunga Mdomo!
 
Katiba sio hiari ni suala la lazima na wakati ni sasa. Juzi Mh Mbowe alisema baada ya huu uchaguzu kinachofuata ni kuidai katiba mpya!!
 
Lakini unachotaka kifanyike na Chadema ni wakatae kuonewa kwa vitendo.

Matokeo yake ya hatua hiyo ni nini?

Ni umwagaji damu za watu wasio na hatia.

Kwa kuwa lazima utambue kuwa CCM kwa maana ya Mwenyekiti wake ndiyo anaye "own" majeshi yote ya nchi hii!

Kwa maana yeye ndiye Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi yote hayo.....

Inapotokea mtu anaye "own" majeshi yote hayo akili yake "haijatulia" hakika Taifa linakuwa katika mazingira magumu sana!

Ndiyo maana tunasema solution pekee ya matatizo makubwa ya nchi hii ni kuwa na Katiba mpya, ambayo ita- separate power katika mihimili 3 ya nchi ambayo ni Executive, Judiciary na Parliament.
 
Ni kweli ukuta ulizimwa kirahisi tunakoelekea ni pabayawatu wasio wazuri wako kazini
Walibase Ukuta kwenye Maandamano! Maandamano sio ya Lazima hata Kidogo! There are thousands of ways eg Kenya wamesusia Biashara za Uhuru! Si kuna hata Mapadri na Maaskofu wengine wanachukizwa na Mauhuni yanayoendelea! Unataka kuniambia Mkate na Divai haviwezi kumpelekea Mtu kuhitaji Upako Mtakatifu? (Supreme Anction) Mambo zingine hazihitaji hasira ni kwa Upendo tu! But an action is an action at the end of the day! Na somo linaeleweka Vizuri!
 

Hiyo Ni Tafsiri yako! Wakati mwingine kwenye Ufunguzi wa Viwanda! Its possible for some heavy things to fall from the ceiling, by pure accident u know! Utamhukumu mtu? Wakati Mwingine Mvua za Radi zinanyesha, zinachanganyika na Ngurumo, Ukipita angani Ndege ikipigwa na Radi si ni Kazi ya Mungu haina Makosa! Mambo Mengine Action Nazosema ni " Kufanya Maombi" Mungu anaweza kuingilia issues! Kama Uhuni ndio Njia mpya ya Kufanya siasa Ukijifanya Malaika acha Siasa! Uhuni 100x over Kwa Akili mara 100x over Ndio Jibu! Na Lugha itakayopendeza zaidi!

Iweni Wapole Kama Njiwa na Wajanja Kama Nyoka! Hiyo Ni Biblia inasema sio TL. Marandu
 
Nachosema Ni Kuwa Kisiasa Kila Mtu anayeleta Vitisho na Mauaji na Uhuni! Unatakiwa Kirejareja ie case by case Kumfanyia uhuni huo huo ila 10x over. Tena Kwa Upendo! And it is very simple to do so! Sisemi Waende Samora Ave. Kupiga Vioo nya Majumba na Magari mawe! I rest my Case!
 
utampigia chapuo apewe unaibu Katibu mkuu??
 
What is your best options for them to rescue the current situation?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…