'CHADEMA wanahusika'

'CHADEMA wanahusika'

Mkuu mbona unataka kufanya kila anaefatilia mjadala huu atuone hatuna akili?

1. Kwanini unasema cadema walifanya mkutano haramu, kama ndivyo vipi kule zanzibar ccm walifanya mkutano kwa kutumia sheria ya inchi gani? (kuwaruhusu maelfu zanzibar na kuwazui watu wachache kabisa pale nyororo) Thibitisha kwa nukuu ya vifungu vya sheria.


2. kifo cha mwangosi kilitokea katika ofisi za chadema au uwanjani na kama katika maeneo ya ofisi za chadema kwa mikutano ya maofisini ilizuiwiwa kwa tamko gani au namba ngapi na nani alisema mikutano ya ndani imezuiliwa? Rejea ccm zanzimba wa hadhara tena wa maelfu ya watanzani.

3. Katika mauwaji yale ushahidi wa picha unaonesha kwa mtazamo wako nani alimvamia mwingine chadema au polisi kuvamia ofisi?

4. Kwa mujibu wa watuhumiwa wa mauwaji ya mwangosi kuna chadema wangapi?

5. Kitu gani kilisababisha mwagosi kuwawa a) polisi walishambuliwa b) raia walikua na Silaha c) Upuuzi wa mkuu wa polisi kukosa hekima uvamia wanachama katika ofisi yao?


Mafisadi.

-CCM walikuja na wimbo wa kujivua gamba kama ilivyotangazwa na mwenyekiti Kikwete kwanini alileta hoja hii tueleze kwanii?

-Unajichanganya sana nikuulize wewe kwanini Edward Lowasa sio waziri mkuu badala yake waziri mkuu ni Pinda kwa nini?

-Bila mashaka yoyote toa sababu za kueleweka kama muelewa kwanini Rostam sio mbunge tena why? kumbuka ya karamagi,

msabaha, Edward Lowasa na Richmond - Bungeni.

-Tuambie kwanini tumepokea change ya rada kwanini? kwanini turudishiwe fedha? Je unaukumbuka ushauri tulopewa na wanigereza?


Sasa mkuu tujadili kama wenyeakili timumamu naomba upitie maelezo yangu mstari kwa mstari na tujadili kikamilifu na

wanaopitia maelezo yetu wasiwe na wasiwasi na uwezo wetu wa akili no propaganda.
Usijiridhishe kwa kuipanua mada hadi ikawa obsolete.
Msingi wa mada hii ni kwamba CDM, kama alivyo mtoto aliyezaliwa jana, ni malaika. Hana cha kukosolewa.

Nimekupa mfano moja tu ambao naona unakuumiz kichwa na kukimbilia hukumu y mahakama ambayo haipo.

Fact is, mkubali kuwa mna madudu kwa vile CDMhaiongozwi na malaika, inaongozwa na binadamu wenyekufanya makosa.
Hivyo kusahihishwa na kukosolewa ni lazima.

Mkiendelea na msimamo huu ni lazima CDM kitakuwa chama cha kidikteta, kisichoona madudu yake.
 
Mkuu wangu hawa watunzi wa maneno wanatuaibisha sana, wanaliaibisha jukwa na wanawaibisha watanzania kwa ujumla.

Huyu mtu anafananisha ufisadi wa Lowasa na msiba wa mwangosi ni dharau sana kwa marehem, hajiulizi kama sio kweli

kwanini Lowasa sio waziri mkuu (haoni ukweli hapo akili zake zimepinda kabisa) nk

Mkuu watanzania wenzetu wameweka uzalendo kando na kuitetea ccm kwa hoja za uzushi na kufikirika. Baba, mama na ndugu

zao huko vijijini wanateseka sana kwa ugumu wa maisha uloasisiwa na ccm, hili hawalioni.

Hakuna cha watunzi wa maneno wala kiwanda cha uongo hapo.

Msijitie umalaika wa kujiweka kuwa mnawatetea wananchi at heart wakati actually mnawatumia kama cannon fodder kwa malengo ya kisiasa.

Kwa ukweli ni dharau zaidi kwa familia za wote walio kufa kwa malengo finyu ya kisiasa yanayofanywa na uongozi wenu wa CDM.

Endeleeni kupimana nguvu na sparring partners wenu, polisi, ili mpate sababu za kisiasa kupayuka kuwa mnaonewa.

Sijasikia ni jinsi ipi mnaweza kuwa positive katika thinking yenu, na namna mtakavyo muendeleza mtanzania wa kawaida.

Na ndio maana wimbo mliozoea kuimba wa ufisadi hata watoto wa chekechea wanaujua sasa.

Jaribuni kubuni mikakati ya maendeleo.
Mara kumi mzee Mapesa Cheyo, aliye catch imagination ya watanzania kwa "kuwajaza mapesa" kwa mbinu anazozijua yeye.

CHADEMA bure kabisa.
 
Usijiridhishe kwa kuipanua mada hadi ikawa obsolete.
Msingi wa mada hii ni kwamba CDM, kama alivyo mtoto aliyezaliwa jana, ni malaika. Hana cha kukosolewa.

Nimekupa mfano moja tu ambao naona unakuumiz kichwa na kukimbilia hukumu y mahakama ambayo haipo.

Fact is, mkubali kuwa mna madudu kwa vile CDMhaiongozwi na malaika, inaongozwa na binadamu wenyekufanya makosa.
Hivyo kusahihishwa na kukosolewa ni lazima.

Mkiendelea na msimamo huu ni lazima CDM kitakuwa chama cha kidikteta, kisichoona madudu yake.


Nimepunguza ili uelewe natoa majibu basi! niwewe ulotaka ushahidi wa ufisad wa lowasa? ndiyo hapana?

Tuambie kwanini Lowasa sio waziri mkuu? kisha tuambie mahakama imetoa hukumu ya mwangosi lini kujuwa nani mhusika?

umepata wapi data na kujaji 50% ya polisi na 50% ya chadema bila haya wala aibu?
 
Hakuna cha watunzi wa maneno wala kiwanda cha uongo hapo.

Msijitie umalaika wa kujiweka kuwa mnawatetea wananchi at heart wakati actually mnawatumia kama cannon fodder kwa malengo ya kisiasa.

Kwa ukweli ni dharau zaidi kwa familia za wote walio kufa kwa malengo finyu ya kisiasa yanayofanywa na uongozi wenu wa CDM.

Endeleeni kupimana nguvu na sparring partners wenu, polisi, ili mpate sababu za kisiasa kupayuka kuwa mnaonewa.

Sijasikia ni jinsi ipi mnaweza kuwa positive katika thinking yenu, na namna mtakavyo muendeleza mtanzania wa kawaida.

Na ndio maana wimbo mliozoea kuimba wa ufisadi hata watoto wa chekechea wanaujua sasa.

Jaribuni kubuni mikakati ya maendeleo.
Mara kumi mzee Mapesa Cheyo, aliye catch imagination ya watanzania kwa "kuwajaza mapesa" kwa mbinu anazozijua yeye.

CHADEMA bure kabisa.


Wewe nimekuliza kama hupiki maneno tuthibitishie, kesi ipo mahakani, hukumu haijatoka umepata wapi ushiriki wa 50%

kwa chadema na 50% polisi?

Umekosa jibu umebaki kupiga siasa lete majibu kama wewe sio mtambo wa uwongo.
 
hata kukamatwa kwa lile kontena la pembe za ndovu huko Hong Kong Chadema inahusika.

Hatari:
Weka Mbali na Tembo.

CDM wanahusika pia na utekwaji nyara kwa dr.UlIMBOKA,na kufungiwa gazeti letu pendwa MWANAHALISI.
 
Mkuu endelea na propaganda nimefunga mjadala

lakini data za kujitugia ilikujifariji na kuuweka pembeni ukweli nikuudharirisha utanzania wetu.
mkuu mkumbushe na hili, wakati akiuliwa Mwangosi kule visiwani ccm ilizindua kampeni chini ya hao polisi!.
 
Nimepunguza ili uelewe natoa majibu basi! niwewe ulotaka ushahidi wa ufisad wa lowasa? ndiyo hapana?

Tuambie kwanini Lowasa sio waziri mkuu? kisha tuambie mahakama imetoa hukumu ya mwangosi lini kujuwa nani mhusika?

umepata wapi data na kujaji 50% ya polisi na 50% ya chadema bila haya wala aibu?
Suala la EL na ufisadi halina mjadala, kila mtu analijua hilo, lakini hakuna mahakama iliyo mhukumu.

Naona hiyo 50% ya lawama mliyoibeba inakupa shida sana kuielewa.
Kama huku changanya nza kwako bado utapata shida kuielewa maana hakuna spoon feeding hapa JF.
 
Wewe nimekuliza kama hupiki maneno tuthibitishie, kesi ipo mahakani, hukumu haijatoka umepata wapi ushiriki wa 50%

kwa chadema na 50% polisi?

Umekosa jibu umebaki kupiga siasa lete majibu kama wewe sio mtambo wa uwongo.
Changanya na za kwako kibao kiko mgongoni kwako.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na sparring partners wenu, kamuhanda.
 
masopakyindi

Wewe ni mojawapo wa wapika majungu na muwongo.

Utanzania ni zaidi ya kupiga soga na kutetea ccm hatakama unafanya hivyo kwakujivua nguo.

LETE USHAHIDI WA KUHUSIKA KWA CHADEMA 50% Na KUSHIRIKI KWA POLISI 50%

Kesi ipo mahakamani, maamuzi hayajatolewa, umepata wapi hizi 50% kama sio majungu?

wewe ni mmoja wa mitambo ya ovyo kabisa ilopoteza uzalendo na sifa za kuitwa mtanzania kwa uwongo, kupika majungu na

kutetea upumbavu.


Mimi nataka fact sio upumbavu lete ushahidi sio blabla na siasa za maji taka na propaganda za kiccm.
 
Mchele kilo1= 3000, sukari kilo1=3000, cement mfuko1=20,000, sembe kilo1=2000 na haya chadema wanahusika
 
Kukithiri kwa rushwa nchini kukiongozwa na chama tawala ccm...............CHADEMA INAHUSIKA.
Uteuzi usiofaa wa mawaziri na watendaji wakuu wa serikali......................CHADEMA INAHUSIKA.
Serikali kutokuwa na nia ya kuendeleza nchi................................CHADEMA INAHUSIKA.
kuendeleza mfumo dhaifu wa uchaguzi na uchakachuaji kura.......... CHADEMA INAHUSIKA.
Kuongezeka kwa ukosefu wa ajira.................................................CHADEMA INAHUSIKA.
Kushuka kwa kiwango cha elimu nchini..........................................CHADEMA INAHUSIKA
Na kadhalika nakadhalika........nakadhalika................................... CHADEMA INAHUSIKA.

Jamani, ccm na serikali yake, jifunzeni kuwa wa kweli na kukubali udhaifu wenu. Katika hila na uwongo hakuna nia njema.

Hahahaa!this is jf bana,mambo yote yanapatikana hapa.
 
Changanya na za kwako kibao kiko mgongoni kwako.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na sparring partners wenu, kamuhanda.

huna lolote mpayukaji tu, hujui ukweli kaa kimya utaheshika zaid kuliko blabla nyingiiiiiiiiii ?
 
Msijitie umalaika wa kujiweka kuwa mnawatetea wananchi at heart wakati actually mnawatumia kama cannon fodder kwa malengo ya kisiasa.

Ci afadhali hawa wanaowatumia wananchi kwa malengo ya kisiasa kule nyie mnaowaibia wananchi racilimali zao mchana kweupe..! Hivi mtu kama Kinana anapata wapi ujaciri wa kuzunguka mikoani kutetea maisha bora wakati kampuni yake imeshiriki kusafirisha nje nyara za serikali..? Unaweza kulitetea hili kweli..?
 
huna lolote mpayukaji tu, hujui ukweli kaa kimya utaheshika zaid kuliko blabla nyingiiiiiiiiii ?
Usikasirike mkuu

Ukweli huwa unauma!
Mjitahidi kujikita katika mikakati mbadala ya maendeleo kwa mtanzania, hapo na nyie mtajipatia heshima kuliko hivi sasa.

Jaribuni kumuiga Prof Lipumba anayeuchambua uchumi wa Tz kimataifa na kutoa mikakati mbadala ya maendeleo.
Mikakati ambayo hata asiye wa chama chake anai acknowledge.

Wimbo wa ufisadi umechusha, inaelekea mmeishiwa sera.
 
masopakyindi

Wewe ni mojawapo wa wapika majungu na muwongo.

Utanzania ni zaidi ya kupiga soga na kutetea ccm hatakama unafanya hivyo kwakujivua nguo.

LETE USHAHIDI WA KUHUSIKA KWA CHADEMA 50% Na KUSHIRIKI KWA POLISI 50%

Kesi ipo mahakamani, maamuzi hayajatolewa, umepata wapi hizi 50% kama sio majungu?

wewe ni mmoja wa mitambo ya ovyo kabisa ilopoteza uzalendo na sifa za kuitwa mtanzania kwa uwongo, kupika majungu na

kutetea upumbavu.


Mimi nataka fact sio upumbavu lete ushahidi sio blabla na siasa za maji taka na propaganda za kiccm.

Mkuu hata ukiandika kwa mawino mazito na mekundu, doa lipo mgongoni kwako.
M4C ndo matokeo yake hayo,mauaji na kupambana na vyombo vya dola.

Kwani M4C nayo ni majungu?

Inaelekea imekutouch touch!
Ukwelu huwa hauna adabu!
 
Kila tukio lina specific circumstances zinazozunguka matukio hayo.

Lile la Mwangosi imebainika CHADEMA walitaka kupimana ubavu na polisi, yaliyotokea yametokea.
Mmmeambiwa kila kona kuwa at least wangetumia busara(wote CHADEMA na Polisi) kifo kile kisingetokea.
Kwa hiyo lawama zimeenda 50% polisi, na 50% CHADEMA/M4C.

Huwezi jivua lawama kama malaika, ukubali kukosolewa kama mnavyo wakosoa wengine.

Mkuu, nimevutika na uchambuzi wako.
Kwa hiyo marehemu Mwangosi (mwandishi wa habari) ni chama kwa maana ya CDM?
Na alizungukwa na kupigwa hadi kuuawa na polisi wapatao wanane akiwa katika kazi za chama-CDM?
Hakika kazi bado mbichi.
 
Kila tukio lina specific circumstances zinazozunguka matukio hayo.

Lile la Mwangosi imebainika CHADEMA walitaka kupimana ubavu na polisi, yaliyotokea yametokea.
Mmmeambiwa kila kona kuwa at least wangetumia busara(wote CHADEMA na Polisi) kifo kile kisingetokea.
Kwa hiyo lawama zimeenda 50% polisi, na 50% CHADEMA/M4C.

Huwezi jivua lawama kama malaika, ukubali kukosolewa kama mnavyo wakosoa wengine.

Unaona Mkuu Mzee Tupatupa,
Haya ndio mawazo ya washauri wengi ndani ya CCM: kusema uongo kweupe bila hata aibu wala kupepesa macho!
 
Back
Top Bottom