Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Kila tukio lina specific circumstances zinazozunguka matukio hayo.
Lile la Mwangosi imebainika CHADEMA walitaka kupimana ubavu na polisi, yaliyotokea yametokea.
Mmmeambiwa kila kona kuwa at least wangetumia busara(wote CHADEMA na Polisi) kifo kile kisingetokea.
Kwa hiyo lawama zimeenda 50% polisi, na 50% CHADEMA/M4C.
Huwezi jivua lawama kama malaika, ukubali kukosolewa kama mnavyo wakosoa wengine.
Mkuu chadema haipimani nguvu na polisi,you are wrong!polisi walitangaza mikutano ya nje/hadhara haziruhusiwi ila ule ni mkutano wa ndani na polisi waliuvamia
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums