VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Hata kuanguka mara kwa mara jukwaani kwa mwenyekiti wao Chadema inahusika.
Ni kauli ya kuudhi na kukata tamaa. Hutamkwa sana na viongozi-tena wa juu wa chama changu cha CCM na 'washirika' wake pale linapotokea tukio lolote,hasa lisilovutia. Wakiuawa watu na polisi,CHADEMA wanahusika;wakizomewa Mawaziri na viongozi wa CCM,CHADEMA wanahusika;wakigoma wanafunzi wa vyuo vikuu,CHADEMA wanahusika;wakiandamana waislam,CHADEMA wanahusika(?).Kila baya CHADEMA.
Hizi ni siasa za kipuuzi. Hazitachelewa kuchosha. Sasa,kwahiyo CHADEMA inakubalika kuliko wengine hadi kukubaliwa mipango yao nchi nzima? Eti,CHADEMA huwanywesha watu viroba ili wazomee?! Hakuna cha viroba,magunia wala pakacha....watanzania wanabadilika. Hawasomeshwi vya kutosha shuleni lakini maisha ni shule kuu zaidi. Wanahitimu kila siku.
Kama ni kweli CHADEMA inakishinda chama changu kiushawishi mashuleni,vyuoni,vijijini,masokoni,mijini na kwingineko,mbona uchaguzini hakitangazwi mshindi mara kwa mara? Kinana na wengine,kuanzia leo hatutaki kusikia kauli hii.Ikome na mpambane tumwone mshindi wa haki
kha! Daud Mchambuzi hii Hatari nyekundu unamaanina Kinana katibu mkuu wa chama chenye wenyewe? lolhata kukamatwa kwa lile kontena la pembe za ndovu huko Hong Kong Chadema inahusika.
Hatari:
Weka Mbali na Tembo.
kha! Daud Mchambuzi hii Hatari nyekundu unamaanina Kinana katibu mkuu wa chama chenye wenyewe? lol
ni kauli ya kuudhi na kukata tamaa. Hutamkwa sana na viongozi-tena wa juu wa chama changu cha ccm na 'washirika' wake pale linapotokea tukio lolote,hasa lisilovutia. Wakiuawa watu na polisi,chadema wanahusika;wakizomewa mawaziri na viongozi wa ccm,chadema wanahusika;wakigoma wanafunzi wa vyuo vikuu,chadema wanahusika;wakiandamana waislam,chadema wanahusika(?).kila baya chadema.
Hizi ni siasa za kipuuzi. Hazitachelewa kuchosha. Sasa,kwahiyo chadema inakubalika kuliko wengine hadi kukubaliwa mipango yao nchi nzima? Eti,chadema huwanywesha watu viroba ili wazomee?! Hakuna cha viroba,magunia wala pakacha....watanzania wanabadilika. Hawasomeshwi vya kutosha shuleni lakini maisha ni shule kuu zaidi. Wanahitimu kila siku.
Kama ni kweli chadema inakishinda chama changu kiushawishi mashuleni,vyuoni,vijijini,masokoni,mijini na kwingineko,mbona uchaguzini hakitangazwi mshindi mara kwa mara? Kinana na wengine,kuanzia leo hatutaki kusikia kauli hii.ikome na mpambane tumwone mshindi wa haki
Kila tukio lina specific circumstances zinazozunguka matukio hayo.
Lile la Mwangosi imebainika CHADEMA walitaka kupimana ubavu na polisi, yaliyotokea yametokea.
Mmmeambiwa kila kona kuwa at least wangetumia busara(wote CHADEMA na Polisi) kifo kile kisingetokea.
Kwa hiyo lawama zimeenda 50% polisi, na 50% CHADEMA/M4C.
Huwezi jivua lawama kama malaika, ukubali kukosolewa kama mnavyo wakosoa wengine.
Mkuu
Teyari mahakama imetoa hukumu ya kifo cha mwangosi na adhabu ilikuwaje baada ya hukum hiyo kama ilitolewa?
Nimeuliza hivi ilikuthibitisha hizo lawama kwa 50% chadema na 50% polisi kuwa zinaukweli na ni halali!
Ni kauli ya kuudhi na kukata tamaa. Hutamkwa sana na viongozi-tena wa juu wa chama changu cha CCM na 'washirika' wake pale linapotokea tukio lolote,hasa lisilovutia. Wakiuawa watu na polisi,CHADEMA wanahusika;wakizomewa Mawaziri na viongozi wa CCM,CHADEMA wanahusika;wakigoma wanafunzi wa vyuo vikuu,CHADEMA wanahusika;wakiandamana waislam,CHADEMA wanahusika(?).Kila baya CHADEMA.
Hizi ni siasa za kipuuzi. Hazitachelewa kuchosha. Sasa,kwahiyo CHADEMA inakubalika kuliko wengine hadi kukubaliwa mipango yao nchi nzima? Eti,CHADEMA huwanywesha watu viroba ili wazomee?! Hakuna cha viroba,magunia wala pakacha....watanzania wanabadilika. Hawasomeshwi vya kutosha shuleni lakini maisha ni shule kuu zaidi. Wanahitimu kila siku.
Kama ni kweli CHADEMA inakishinda chama changu kiushawishi mashuleni,vyuoni,vijijini,masokoni,mijini na kwingineko,mbona uchaguzini hakitangazwi mshindi mara kwa mara? Kinana na wengine,kuanzia leo hatutaki kusikia kauli hii.Ikome na mpambane tumwone mshindi wa haki
Hizi LAWAMA ZINA UKWELI KABISA!
Hilo limethibitishwa na kada wa CDM aliyejiuzulu Nd Nyimbo.
Yeye alisema alikwisha lifungua tawi la Nyololo, Iringa na hakuhusishwa katika "! Uzinduzi" wa kisanii uliofanyika wakati wa kifo cha Mwangosi.
Lengo la uzinduzi wa kisanii lilikuwa kupimana ubavu na polisi Iringa.
Kwa hiyo wote, Polisi na CHADEMA walihusika na kifo cha mwandishi wa habari huyu.
CHADEMA iwe na utamaduni wa kukubali kukosolewa na kujisahihisha amasivyo kitakuwa chama cha kidikteta, na upotevu wa maisha ya watu wasio na hatia utaendelea kwa ukaidi huu.