nyampanaga
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,104
- 559
Wakati Magufuli atakuwa Kirumba Tarehe 24 akifunga Kampeni zake, Kingunge atakuwa Ilemela akifunga Kampeni.
Sumaye atakuwa Nyamagana, Mikutano hiyo ni gumzo hapa mjini, Sijui kama itawezekana kwa CCM kusomba watu toka Wilaya za jirani, kwani kuna hatari ya kushindwa kuwarudisha mapema na hivyo kuathiri kura za CCM maeneo walikowatoa.
Sumaye atakuwa Nyamagana, Mikutano hiyo ni gumzo hapa mjini, Sijui kama itawezekana kwa CCM kusomba watu toka Wilaya za jirani, kwani kuna hatari ya kushindwa kuwarudisha mapema na hivyo kuathiri kura za CCM maeneo walikowatoa.