masatujr1985
JF-Expert Member
- Oct 27, 2011
- 1,980
- 788
Napenda sana haya mambo kwasababu yanafanya maisha yawe mapya kila siku. Kwenye nchi yenye matatizo kama hii, ni sinema za namna hii tu zinazoweza angalau kupunguza machungu ya maisha.
Nyie si mliwachamba majaji pale bungeni sasa mnapeleka kesi zenu huko huko ,nakumbuka mliwasema sana pale bungeni na kuwapaka mivi ,iweje leo muwapelekee kesi yenu.Hiyo kesi ni jiwe lingine mtakalopigwa nalo.CDM hamna mnapokwenda ,hivi mnaielewa Tanzania na utawala wake au mnajiendea mkipapasa kama kipofu aliepoteza bakora.
Ukisikia Chama kinachowaburuza wanachama wake na kutojua kinachofanya basi ni CDM ,hawaelewi jana wamekula kitu gani ! Poleni sana.
Majaji ni walewale mliowavua nguo pale bungeni.
Endelea kuhara hapa ccm ni full aibu kotekote,mmeanzisha operesheni yenu ya kuua raia na kuisingizia chadema mkitegemea wananchi watawa support,raia wakawashtukia,waandishi nao wamewageuzia kibao,waalimu hawawataki,ma doctors ndio kabisaa sasa mmemtelekeza nape awabebee madhambi yenu,mwaka huu kazi mnayo.ukisha ona unashindwa lazima utafute maneno mengi, CCM Hata siku moja haikurupuki, unawaona walioko CCM Lakini? CDM kuna nani? labda ZITTO TU ALIYEWAAMBIA CDM WENZAKE HAKUNA MSOMI KAMA YEYE, AND ITS TRUE, Ztto akitoka cdm kwisha,, Mwambie lema alienda UINGEREZA KUKAGUA MAHELKOPTA ALIKUWA ANAKUJUA, AU NDIO ANAJINADI AJIJENGE YEYE PAMOJA NA MBOWE NA FAMILIA ZAO? HUU NI MOTO WA KIFUU, WATANZANIA WANA AKILI SANA ,,,ENDELEENI KUANDAMANA WAKATI WENGINE WAKO KWENYE UTENDAJI!
Hazimgharimu yeye mkuu!zinakigharimu chama chake,nape hana anachopoteza so far,mwenyekiti wake alimkoromea atoke akapambane na operesheni za cdm,huku yeye(mwenyekiti)akipaa kwenda ughaibuni kula bata,sasa dogo anaamua kuharibu jumla,anaropoka chochote kinachojaa mdomoni.huyu nape anapenda sana umaarufu, ila njia anazotumia zinamgarim.
Aliyataka ameyapata
Ndugu Mahesabu with all due Respect sidhani kama hao Wanasheria wa Pro CCM uliowaorodhesha kama unawafahamu vyema.
1. Said Elmaamry - Huyu yuko bize sasa hivi kuhakikisha Mzee mwenzake Idd Simba haendi jela kwa kesi ya kutolewa sadaka na CCM wenzake. hapa usitegemee msaada wa Elmaamry.
2. Nimrod Mkono - huyu kila mtu anamfahamu vyema hana muda wa kujihusisha na kuharibu credibility yake kwenda kumtetea mtu ambaye inajulikana wazi huwa anaanza kuongea halafu ndio anafikiri. Mkono yeye anadeal na wezi wakubwa kabla hawajaiba yeye anawapa ushauri wa kisheria namna ya kujidefend kama kikinuka, mfano hai Rostam Aziz na Dowans yeye kila sehemu eti ana Power of Attorney lakini si mmiliki!!
3. Masumbuko Lamwai - Huyu ni sawa anaweza kwenda kusimama Mahakamani maana zama za kitabu chake zilishapita na mtu ukimuuliza kama kuna Wakili anaitwa Lamwai sidhani kama atakujibu, kwa kifupi Lamwai sasa hivi ni mahiri na gwiji la kunywa pombe na siyo sheria.
Tupo pamoja Radhia. Hakika tumekuwa watu wa kuchomekewa mauza uza kila siku, Katiba mpya watu wameipotezea, Ishu ya fao la kujitoa kwa mifuko ya jamii tumesahau, mauji yanayofanywa na polisi kimya kimya yanapotea, nategemea mpaka wiki ijayo tutakuwa tumesahau, migomo ya madaktari na walimu tumesahau zamani, mfumuko wa bei na kupanda kwa gharama za maisha imekuwa wimbo uliosahaulika! Tunahamia kwa malumbano ya Nnape na CDM, yanatija gani kwa taifa? Let say Nnape amekutwa na hatia, na akalipa hiyo 3bn, mlalahoi wa kule kwetu Ngadinda au Ndapata atanufaikaje?