CHADEMA wamfunga mdomo LUDOVICK


Acha ufala wewe. Sasa wewe unasema ni wakili na unajifanya unaijua kesi hii vizuri kwa nini usiende kuwa wakili wake ili uwashinde hao CHADEMA?
Hata mimi wa MEMKWA nakuzidi uwezo wa ubongo kutafakari issues.
 
Kama wewe ni wakili kwa nini usimtetee huyo Ludovick unayeona huruma kwake?,acha majungu, kama kuna cha kusema anakifahamu Ludo atasema tu kwani kesi ipo haijamalizika, hayo unayodhani anayajua atayasema mahakamani, usilete ushabiki usiokuwa na maana ya msingi zaidi ya kupendelea
 
Wewe ni mpuuzi kwa sababu zifuatazo: (1) kama ww ni wakili kwa nini usimsaidie Ludovick? (2) Ulitaka hakimu asome gazeti akiwa pale mahakamani ndiyo ujue ameelewa kilichopo? (3) kwa nini usiwaambie mawakili wa serikali(kama hawelewi) badala ya kuja jf kujifanya ww ni mwanasheria? (4) kama kuna kitu unadhani Ludo anaweza kusema nje ya mahakama kwa nini usimwambie akupe wewe usiye na kesi ukakisema ili ukweli ujulikane? (5) wewe unalalamika kwa niaba ya nani?
 
....Ni kweli mkuu....hapa umeeleza vizuri sana....ni vizuri mtu kuipenda taaluma yake na kupractice jinsi inavyotakiwa ukisema kuingiza siasa kwnye kila jambo ni kuharibu taaluma na kuchangia kufa kwa hiyo taaluma...
 
Hakuna mwanasheria crazy Km ww please usiwadhalilishe wenye taaluma Yao fikiria vitu vya kuongea, ukijiona ushalewa usiingie jf, humu hakuna walevi Km ww.
 
ukiwa mwanasheria wewe mimi nitakuwa Katibu Mkuuwa U.N.
 
Huyu jamaa alivyoweka hii mpumba yake hapa amepotea mazima, nahisi anajuuuta kuanzisha uzi huu
 

nakuambia wewe sio wakili, na huna huruma na ludovick; kwanza ungekuwa wakili hata kuandika kwako tu kungedhihirisha kuwa unacho hicho kipaji au skills, huna kwanza hata darasa lako ni la wasiwasi. pili, sasa kama ulikuwa mahakamani na ulimwonea huruma huoni kuwa una uwezo wa kumsaidia huyo ludovick, wewe si wakili, mbona shida yake una uwezo wa kumsaidia?! mnakimbia kimbia sana mpaka mnaonekana kabisa kuwa mna mambo yenu mengine. hivi huwa mnavoluntia au kweli ccm wana hela za kuwalipeni hata kwa michango mibovu kama hii?
 

Kama wewe kweli ni wakili na unaandika habari namna hii basi Tanzania imekwisha!


Nimeisoma taarifa hii ya mtuanayejiita wakili, hadi mwisho. Lakini nimeshindwa kujua ana maanisha nini au lawama yake ipo kona ipi!!!!!!!!

yaani nakubaliana na maoni ya mkuu macho_mdiliko


Bado .../././././././././././.Loading./././././././././././././


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa alivyoweka hii mpumba yake hapa amepotea mazima, nahisi anajuuuta kuanzisha uzi huu


Yaani tatizo Wendawazimu wapo mitaani na watu wazima wapo Hospitali ward ya vichaa.

Wakili gani anaweza kutoa maneno yasiyo na mashiko haya. Huenda sheria aliyosoma haina tofauti na ya jamaa "NASEMA TUTAWAPIGA TU, KWANI SERIKALI TUMEWACHOKA.....)



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
hivi huyu aliendaje UK? alifaulu au aliplekwa kwa mgongo wa kigogo mmoja? mbona thread zake na post zake ni za kitoto sana??? hivi hata hapo UK waingereza wanaweza wakajudge kwamba watanzaia wote tuko hivi? shame.

Alipelekwa kama mgonjwa wa akili aktoroka hospitali akaenda kuomba hifadhi ya ukimbizi, kule anatambulika kama raia wa Burundi na wakimuangalia sura yake anafanana na akina dudulyamana wakampa hifadhi..
 
Natilia mashaka uwakili wako. Wakili hujui kuacha nafasi, kutenga paragraph na hata mtiririko wa uandishi hujazingatia, Kwahiyo kwamapungufu haya, unaondoa maudhui mazima ya uzi huu. Nenda kajipange yaani wewe ni boya.
 
kama wewe ni wakili kweli kwa nini usijitolee kumsaidia Ludoviki au hujiamini? :help:
 
Si ukamtetee wewe unayedai ni wakili. Unataka apate wakili gani tena?
 

Wewew siyo wakiri, wakili hawezi kukimbilia kulalamika JF anapoona mtu anaonewa wewe ni nahisi ni Chriss Lukosi ndiyo mwenye hii rafudhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…