CHADEMA wamfunga mdomo LUDOVICK

CHADEMA wamfunga mdomo LUDOVICK

TRUJILLO

Member
Joined
Jul 22, 2013
Posts
52
Reaction score
29
Watu wengi hata hapa jamiiforums,walikuwa wakitaka Ludovick atoe UKWELI wa anachokijua kuhusu tuhuma zinazomkabili,amejaribu kuongea kule mabadiliko,tena hakuzungumza chochote juu ya kesi iliyo mahakamani.

Kila alipoulizwa swali,linalohusu mambo ya kanda ya Lwakatare,alikataa na kusema hilo liko mahakamani.Sasa tatizo limetokea,mawakili wa Lwakatare kwa kuhofia kuwa sasa Ludovick anaweza kusema hadharani ukweli wa sakata hilo,wamekimbilia kuomba mahakama imfunge Ludovick mdomo.

Mimi ni wakili na nilikuwepo mahakamani wakati wakili mwenzangu anawasilisha malalamiko yake dhidi ya Ludovick.Ukweli kabisa gazeti la Mtanzania walilolipeleka mahakamani kama ushahidi halikuwa limeandika chochote kinachoingilia kesi ya mahakamani,na wala mahojiano ya Ludovick aliyoyafanya na mabadiliko hayakuwa yanaingilia mahakama.

Nimeyasoma yote mawili,sasa wakili mwenzangu Nyaronyo akamdanganya hakimu na kulalama kuwa jamhuri inahusika kupanga njama hizo ili Ludovick aseme hicho wanachokiogopa CHADEMA.

Baada ya kusema hayo,hakimu bila kusoma gazeti kuona kama kweli kilichoandikwa kiliingilia kesi wala kutaka kujua kama kweli mahojiano ya Ludovick na mabadiliko yaliingilia mahakama ndipo akatoa onyo alilolitoa kwa Ludovick na magazeti yenyewe.

Binafsi nilimsikitikia Ludovick kwa kuwa alifokewa tu kama mtoto mdogo wakati hakimu hakusoma gazeti liliandika nini,nikatamani kama Ludovick angekuwa na mwanasheria asingeonewa vile.

Kutokana na hayo,hata waandishi waliokuwepo walisikiliza maoni ya Nyaronyo huyohuyo aliyepika uongo mahakamani na ndicho walichoandika leo.

Nilimsikia Nyaronyo akiongea na mke wa Lwakatare kuwa walitaka wasababishe dhamana ya Ludovick ifutwe ili arudishwe gerezani asije akaamua kutoboa kila kitu nje ya mahakama.Isingekuwa huruma ya hakimu Katemana,Ludovick jana angerudishwa lupango.

Ikumbukwe kuwa CHADEMA wameshaiaminisha jamii kuwa mkanda ule siyo halisi na umetengenezwa na sasa wanawasiwasi kuwa Ludovick anaweza kuwaharibia.

Isipokuwa CHADEMA wamekuwa mabingwa wa kulaumu kuwa mahakama zimekuwa zinatumika kuziba watu midomo.Sasa ni ajabu katika hili wao ndiyo wamekimbia mahamani kumziba Ludovick mdomo.

Napendekeza Ludovick apate wakili kwani kwa nia hii ya CHADEMA,wanaweza hata kutengeneza au ka hack e mail yake na kuandika kama yeye ili arudishwe lupango.

Nimemhurumia sana Ludovick,ama hakika CHADEMA ni wanafiki.
 
Watu wengi hata hapa jamiiforums,walikuwa wakitaka Ludovick atoe UKWELI wa anachokijua kuhusu tuhuma zinazomkabili.amejaribu kuongea kule mabadiliko,tena hakuzungumza chochote juu ya kesi iliyo mahakamani.kila alipoulizwa swali,linalohusu mambo ya kanda ya lwakatare,alikataa na kusema hilo liko mahakamani.sasa tatizo limetokea.mawakili wa lwakatare,kwa kuhofia kuwa sasa ludovick anaweza kusema hadharani ukweli wa sakata hilo,Wamekimbilia kuomba mahakama imfunge ludovick mdomo.
Mimi ni wakili,na nilikuwepo mahakamani,wakati wakili mwenzangu anawasilisha malalamiko yake dhidi ya ludovick.ukweli kabisa,gazeti la mtanzania walilolipeleka mahakamani kama ushahidi,halikuwa limeandika chochote kinachoingilia kesi ya mahakamani,na wala mahojiano ya ludovick aliyoyafanya na mabadiliko,hayakuwa yanaingilia mahakama.nimeyasoma yote mawili.sasa wakili mwenzangu nyaronyo,akamdanganya hakimu,na kulalama kuwa jamhuri inahusika kupanga njama hizo ili ludovick aseme hicho wanachokiogopa chadema.
Baada ya kusema hayo,hakimu,bila kusoma gazeti kuona kama kweli kilichoandikwa kiliingilia kesi,wala kutaka kujua kama kweli mahojiano ya ludovick na mabadiliko yaliingilia mahakama,ndipo akatoa onyo alilolitoa kwa ludovick,na magazeti yenyewe.Binafsi nilimsikitikia ludovick kwa kuwa alifokewa tu kama mtoto, mdogo,wakati hakimu hakusoma gazeti liliandika nini.nikatamani kama ludovick angekuwa na mwanasheria,asingeonewa vile.
Kutokana na hayo,hata waandishi waliokuwepo,walisikiliza maoni ya nyaronyo huyohuyo,aliyepika uongo mahakamani na ndicho walichoandika leo.Nilimsikia Nyaronyo akiongea na mke wa lwakatare kuwa walitaka wasababishe dhamana ya ludovick ifutwe ili arudishwe gerezani,asije akaamua kutoboa kila kitu nje ya mahakama.isingekuwa huruma ya hakimu katemana,ludovick jana angerudishwa lupango.ikumbukwe kuwa chadema wameshaiaminisha jamii kuwa mkanda ule siyo halisi na umetengenezwa,na sasa wanawasiwasi kuwa ludovick anaweza kuwaharibia.
Isipokuwa chadema wamekuwa mabingwa wa kulaumu kuwa mahakama zimekuwa zinatumika kuziba watu midomo.sasa ni ajabu katika hili wao ndiyo wamekimbia mahamani kumziba ludovick mdomo.hatimaye,napendekeza ludovick apate wakili,kwani kwa nia hii ya chadema,wanaweza hata kutengeneza au ka hack e mail yake na kuandika kama yeye ili arudishwe lupango.kwa kweli nimemhurumia sana ludovick,ama hakika chadema ni wanafiki.

Kama wewe kweli ni wakili na unaandika habari namna hii basi Tanzania imekwisha!
 
Kama wewe kweli ni wakili na unaandika habari namna hii basi Tanzania imekwisha!

Ni kweli kabisa kama wanasheria wetu ndio hawa basi ni majanga. Nadhani kama mwanasheria ana uwezo wa haki ya kuona haki inatendeka mahakamani. Kwa ujumla simuelewi. Mbaya zaidi nimeona yule kichaa kangia mara moja. Huo ni uchuro.
 
Wakili gani unaandika bila spacing wala paragraph bana....vipi mkuu mbona unaaibisha taaluma ya sheria....lakini pia unataka kusema mahakama iliyofuta kesi ya ugaidi...ILIKOSEA...? naona pia kama unataka kurudisha ule mjadala wa zamani na wa kijinga...ambao CCM haitaki hata kuusikia wa kuhusu ule MKANDA..!!! kwamba ni kwel au si wakweli...??....Mzee hii taaluma ya sharia hapa bongo mbona haieleweki...?
 
Watu wengi hata hapa jamiiforums,walikuwa wakitaka Ludovick atoe UKWELI wa anachokijua kuhusu tuhuma zinazomkabili.amejaribu kuongea kule mabadiliko,tena hakuzungumza chochote juu ya kesi iliyo mahakamani.kila alipoulizwa swali,linalohusu mambo ya kanda ya lwakatare,alikataa na kusema hilo liko mahakamani.sasa tatizo limetokea.mawakili wa lwakatare,kwa kuhofia kuwa sasa ludovick anaweza kusema hadharani ukweli wa sakata hilo,Wamekimbilia kuomba mahakama imfunge ludovick mdomo.
Mimi ni wakili,na nilikuwepo mahakamani,wakati wakili mwenzangu anawasilisha malalamiko yake dhidi ya ludovick.ukweli kabisa,gazeti la mtanzania walilolipeleka mahakamani kama ushahidi,halikuwa limeandika chochote kinachoingilia kesi ya mahakamani,na wala mahojiano ya ludovick aliyoyafanya na mabadiliko,hayakuwa yanaingilia mahakama.nimeyasoma yote mawili.sasa wakili mwenzangu nyaronyo,akamdanganya hakimu,na kulalama kuwa jamhuri inahusika kupanga njama hizo ili ludovick aseme hicho wanachokiogopa chadema.
Baada ya kusema hayo,hakimu,bila kusoma gazeti kuona kama kweli kilichoandikwa kiliingilia kesi,wala kutaka kujua kama kweli mahojiano ya ludovick na mabadiliko yaliingilia mahakama,ndipo akatoa onyo alilolitoa kwa ludovick,na magazeti yenyewe.Binafsi nilimsikitikia ludovick kwa kuwa alifokewa tu kama mtoto, mdogo,wakati hakimu hakusoma gazeti liliandika nini.nikatamani kama ludovick angekuwa na mwanasheria,asingeonewa vile.
Kutokana na hayo,hata waandishi waliokuwepo,walisikiliza maoni ya nyaronyo huyohuyo,aliyepika uongo mahakamani na ndicho walichoandika leo.Nilimsikia Nyaronyo akiongea na mke wa lwakatare kuwa walitaka wasababishe dhamana ya ludovick ifutwe ili arudishwe gerezani,asije akaamua kutoboa kila kitu nje ya mahakama.isingekuwa huruma ya hakimu katemana,ludovick jana angerudishwa lupango.ikumbukwe kuwa chadema wameshaiaminisha jamii kuwa mkanda ule siyo halisi na umetengenezwa,na sasa wanawasiwasi kuwa ludovick anaweza kuwaharibia.
Isipokuwa chadema wamekuwa mabingwa wa kulaumu kuwa mahakama zimekuwa zinatumika kuziba watu midomo.sasa ni ajabu katika hili wao ndiyo wamekimbia mahamani kumziba ludovick mdomo.hatimaye,napendekeza ludovick apate wakili,kwani kwa nia hii ya chadema,wanaweza hata kutengeneza au ka hack e mail yake na kuandika kama yeye ili arudishwe lupango.kwa kweli nimemhurumia sana ludovick,ama hakika chadema ni wanafiki.
Rudi darasani ukajifunze kuandika ndio uje na huu umbea wako hapa
 
Watu wengi hata hapa jamiiforums,walikuwa wakitaka Ludovick atoe UKWELI wa anachokijua kuhusu tuhuma zinazomkabili.amejaribu kuongea kule mabadiliko,tena hakuzungumza chochote juu ya kesi iliyo mahakamani.kila alipoulizwa swali,linalohusu mambo ya kanda ya lwakatare,alikataa na kusema hilo liko mahakamani.sasa tatizo limetokea.mawakili wa lwakatare,kwa kuhofia kuwa sasa ludovick anaweza kusema hadharani ukweli wa sakata hilo,Wamekimbilia kuomba mahakama imfunge ludovick mdomo.
Mimi ni wakili,na nilikuwepo mahakamani,wakati wakili mwenzangu anawasilisha malalamiko yake dhidi ya ludovick.ukweli kabisa,gazeti la mtanzania walilolipeleka mahakamani kama ushahidi,halikuwa limeandika chochote kinachoingilia kesi ya mahakamani,na wala mahojiano ya ludovick aliyoyafanya na mabadiliko,hayakuwa yanaingilia mahakama.nimeyasoma yote mawili.sasa wakili mwenzangu nyaronyo,akamdanganya hakimu,na kulalama kuwa jamhuri inahusika kupanga njama hizo ili ludovick aseme hicho wanachokiogopa chadema.
Baada ya kusema hayo,hakimu,bila kusoma gazeti kuona kama kweli kilichoandikwa kiliingilia kesi,wala kutaka kujua kama kweli mahojiano ya ludovick na mabadiliko yaliingilia mahakama,ndipo akatoa onyo alilolitoa kwa ludovick,na magazeti yenyewe.Binafsi nilimsikitikia ludovick kwa kuwa alifokewa tu kama mtoto, mdogo,wakati hakimu hakusoma gazeti liliandika nini.nikatamani kama ludovick angekuwa na mwanasheria,asingeonewa vile.
Kutokana na hayo,hata waandishi waliokuwepo,walisikiliza maoni ya nyaronyo huyohuyo,aliyepika uongo mahakamani na ndicho walichoandika leo.Nilimsikia Nyaronyo akiongea na mke wa lwakatare kuwa walitaka wasababishe dhamana ya ludovick ifutwe ili arudishwe gerezani,asije akaamua kutoboa kila kitu nje ya mahakama.isingekuwa huruma ya hakimu katemana,ludovick jana angerudishwa lupango.ikumbukwe kuwa chadema wameshaiaminisha jamii kuwa mkanda ule siyo halisi na umetengenezwa,na sasa wanawasiwasi kuwa ludovick anaweza kuwaharibia.
Isipokuwa chadema wamekuwa mabingwa wa kulaumu kuwa mahakama zimekuwa zinatumika kuziba watu midomo.sasa ni ajabu katika hili wao ndiyo wamekimbia mahamani kumziba ludovick mdomo.hatimaye,napendekeza ludovick apate wakili,kwani kwa nia hii ya chadema,wanaweza hata kutengeneza au ka hack e mail yake na kuandika kama yeye ili arudishwe lupango.kwa kweli nimemhurumia sana ludovick,ama hakika chadema ni wanafiki.

kama wewe ni wakili na unamuhurumia mtuhumiwa huyu kwa nini usijitolee uwe wakili wake??
 
Ni kweli kabisa kama wanasheria wetu ndio hawa basi ni majanga. Nadhani kama mwanasheria ana uwezo wa haki ya kuona haki inatendeka mahakamani. Kwa ujumla simuelewi. Mbaya zaidi nimeona yule kichaa kangia mara moja. Huo ni uchuro.

Na hisi ni ID yake ya kificho
 
Back
Top Bottom