Sasa nimeamini kuwa ndoa ni ndoa tu hata kama mwanamke amekuwa akiringa muda mrefu hatimaye wazee wake wakimlazimisha inakuwa ndoa halali...
Chadema (mke wa pili) wa CUF baada ya ccm (mke wa kwanza) amekubali kwa shingo upande kushiriki katika shughuli za bunge (kamati) wakiwemo vyama vyote wakiwemo mahasimu wakubwa CUF..japo walikataa na kutoka mara bungeni..
Maringo yameishia wapi????
Mtaolewa sana subirini 2015??
Chadema (mke wa pili) wa CUF baada ya ccm (mke wa kwanza) amekubali kwa shingo upande kushiriki katika shughuli za bunge (kamati) wakiwemo vyama vyote wakiwemo mahasimu wakubwa CUF..japo walikataa na kutoka mara bungeni..
Maringo yameishia wapi????
Mtaolewa sana subirini 2015??