YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,036
Mawakala wengi waliosimamia uchaguzi vituoni wakiwakilisha CHADEMA wanalia njaa hadi leo hawajalipwa.Waliahidiwa kuwa watalipwa wakishamaliza kazi.
Kazi wamemaliza pesa hawajalipwa.Wengine wakiuuliza wanaambiwa mgombea uraisi mliyekuwa mnasimamia kashindwa kupata uraisi sasa mnataka mlipwe kwa kitu gani? Yaani awalipe kwa kusimamia kushindwa kwake?
Wengine wanaambiwa hiyo ilikuwa kazi ya kujitolea kuchangia kwenye chama nguvu yao sababu kama wanachama hawajawahi changia pesa kwenye chama.
Yaani wamenyong`onyea hawajui haki watapata wapi na hawakuwa na mkataba wa maandishi zaidi ya kuambiwa kwa mdomo.
Yaani hadi wanatia huruma wapeni chao jaman, kushindwa Uraisi isiwe nongwa mkashindwa kuwalipa watu haki zao.Punguzeni hasira msiwawakie hadi mawakala ambao hawajawakosea lolote
Kazi wamemaliza pesa hawajalipwa.Wengine wakiuuliza wanaambiwa mgombea uraisi mliyekuwa mnasimamia kashindwa kupata uraisi sasa mnataka mlipwe kwa kitu gani? Yaani awalipe kwa kusimamia kushindwa kwake?
Wengine wanaambiwa hiyo ilikuwa kazi ya kujitolea kuchangia kwenye chama nguvu yao sababu kama wanachama hawajawahi changia pesa kwenye chama.
Yaani wamenyong`onyea hawajui haki watapata wapi na hawakuwa na mkataba wa maandishi zaidi ya kuambiwa kwa mdomo.
Yaani hadi wanatia huruma wapeni chao jaman, kushindwa Uraisi isiwe nongwa mkashindwa kuwalipa watu haki zao.Punguzeni hasira msiwawakie hadi mawakala ambao hawajawakosea lolote