CDM ni wanafiki sana na Mabumunda kuzid Nape. Walimtukana sana Lowassa kwenye list of shame pale mwembe Yanga. Na baadae walichukua pesa, zake na akawa mgombea wao wa Urais, 2015.Dr Slaa alikataa huo ujinga, unafiki na upumbafu . Hakuna mwenye akili pale chadema wengi ni wazee wa tamaa, wanafiki na Mabumunda.