Chadema wamedaiwa kukwepa kodi na mamlaka ya kodi TRA.hili wadau mnalionaje?
Chadema wamedaiwa kukwepa kodi na mamlaka ya kodi TRA.hili wadau mnalionaje?
Chadema wamedaiwa kukwepa kodi na mamlaka ya kodi TRA.hili wadau mnalionaje?
CCM hadi Leo hawatoa mahesabu Yao ya uchaguzi na hakuna anayezungumza hawa walioweka wazi mahesabu Yao mbele ya umma na serikali ndio wanaozungumzwa na kufuatiliwa au ni kutafuta kudhoofisha nguvu ya chadema?