CHADEMA wako wapi?

CHADEMA wako wapi?

Mpekuzi Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2018
Posts
662
Reaction score
1,041
Ile Mikutano ya Helcopter imeishia wapi?

Maridhiano yameisha wapi?

Bajeti Kuu imesomwa, hatuwasikiii?

Ndege kubwa ya Mizigo imefika Nchini hamjaiona?

NMB wametoa gawio kubwa kuliko hamjaona?

FB_IMG_1685472945136.jpg
 
Ile Mikutano ya Helcopter imeishia wapi?

Maridhiano yameisha wapi?

Bajeti Kuu imesomwa, hatuwasikiii ?

Ndege kubwa ya Mizigo imefika Nchini hamjaiona?

NMB wametoa gawio kubwa kuliko hamjaona?
Tukuulize wewe uko dunia gani kwani Chadema ipo sana na inaendelea kufanya lazi zake au unataka waje unywe nao chai nyumbani kwako.
 
Ile Mikutano ya Helcopter imeishia wapi?

Maridhiano yameisha wapi?

Bajeti Kuu imesomwa, hatuwasikiii?

Ndege kubwa ya Mizigo imefika Nchini hamjaiona?

NMB wametoa gawio kubwa kuliko hamjaona?

View attachment 2661045
ndege umeiona wewe na wapuuz wenzio majiz ya pesa za umma, chadema haiwez kujadili upumbavu wa ndege ambayo mtu yeyote anaweza kununua, chadema inajadili madalali wa bandari walioiuza kwa mwarabu muuza watumwa weusi. Kuhusu mikutano ya helicopter hiyo ni mipango ya chadema na sio matakwa ya ccm na madalali wao wauza bandari na watumwa.
 
ndege umeiona wewe na wapuuz wenzio majiz ya pesa za umma, chadema haiwez kujadili upumbavu wa ndege ambayo mtu yeyote anaweza kununua, chadema inajadili madalali wa bandari walioiuza kwa mwarabu muuza watumwa weusi. Kuhusu mikutano ya helicopter hiyo ni mipango ya chadema na sio matakwa ya ccm na madalali wao wauza bandari na watumwa.
Ruzuku imekata mnasubiri huruma ya Mama Tena 😁😂😂
 
Back
Top Bottom