Chadema Wako Dilemma....

Huyu nae.

Jaribuni kufanya maandamano muone maji kuwasha yapo kama tani 50,000 virungu tani 70.
Vikosi vya MP toka vita vya Kagera havijafanya kazi yoyote.
 

Haiwezi kula kwao....Magamba wana uwezo wa kupindua matokeo
 
Reactions: BAK
Mimi ni mwanachadema ila sijawai kuskia swala la kutumia maandamano kuingia ikulu.
Unatuamshia mawazo yako??

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Naam hilo linaweza kabisa kutokea tena kama ilivyotokea 2010. Nimeshaanza kuwa na wasiwasi na hii tume ya katiba mpya kama kweli itakuja na katiba ambayo haitaipendelea magamba na pia kama kutapatikana tume huru ya uchaguzi kabla ya uchaguzi wa 2015. Kama haya niliyokuwa na wasiwasi nayo yatakuwa kweli basi ile ndoto ya magamba ya kutawala Tanzania milele itakuwa imetimia.

Haiwezi kula kwao....Magamba wana uwezo wa kupindua matokeo
 
boflo dawa yako ndogo sana wewe dawa yako ni chai 2 lazima ulegee 2
 

tunaomba kura yako
 
boflo is his name, it cost to be a boflo, it is a janga to taifa,
 
Boflo my love, siasa umeanza lini? huogopi vitu vizito vyenye ncha kali?
 
Last edited by a moderator:
Jaribuni kufanya maandamano muone maji kuwasha yapo kama tani 50,000 virungu tani 70.
Vikosi vya MP toka vita vya Kagera havijafanya kazi yoyote.
Vilifanya kazi siku ile pale kariakoo.
 
Je kila anaye fanya maandamano bila kibali ni muhuni?

Boflo,
Hakuna kumungunya maneno Chadema wakifanya maandamano bila kibali lazima watandikwe virungu na mabomu kama wanavyotandikwa wengine nchi yetu ya amani hatuwezi kukubali wahuni wachache wavunje amani.
 
Last edited by a moderator:
Boflo nae, hawezi hata kuweka post ikaeleweka mpaka watu wawaze alichokuwa anajitahidi kuongea, haya umeeleweka lakini chadema haiko kwenye dilema!
 
Last edited by a moderator:
Ngono na siasa ni vitu viwili tofauti, haya ndio madhara yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…