CHADEMA wakiri Lema hakupigwa ila..

Chama cha demokrasia na maendeleo, CHADEMA, kimekiri kwamba mbunge wake wa arusha, Godbless Lema alishikiliwa na kuhojiwa vizuri na polisi kufuatia fujo zilizojitokeza kwenye uchaguzi wa meya wa jiji, ila walisisitiza kuwa uchaguzi haukuwa halali kutokana na walichokiita kutofikiwa 2/3 ya wajumbe husika.
Hawakufafanua ni kwanini na kama ni kweli.
Meya na naibu meya ni kutoka CCM na TLP kwa sasa. Thanks


Umekunywa vikombe vingapi vya mbege? au bado upo keroro?
 
Kwa hio alijipiga mwenyewe au vibaka? haina mantiki imekaa kiushabiki flani ivi....kwa hio na leo itakua shwari tu twende mkutanoni? bana hizi sredi zingeanza kulipiwa msingepost vitu hivi
 
ni kweli hata mimi naona CDM ni watu hatari sana hasa kwa watu kama ninyi mlio jaa ubabaishaji huku mkijifanya kuwa maa analaiza wa politiksihuku mmejaa unafiki na kutaka kujitengenezea uwanja mkubwa wa kumiliki mali za umma kama ni maliza familia zenu,
hivi ni kweli mtu mwenye mtazamo uilioenda shule na uelewa mpana usiyo ma mtindio wa ubongo ndani ya ufahamu leo hii
uuone uhatari wa CHADEMA usiione hatari amabayo inakaribiwa kutangazwa na ccm?

yawezekana kweli wewe ni kipofu wa macho ya nyama na ya rohoni kwa kusoma alama za nyakati, lakini hivi ni kweli
uozo wa ccm unaweza kuwa huuoni? ama ndiyo ile ile ya mbuyu kuwa mparachichi na mparachichi kuitwa mwembe?

NOA kwanza akili yako kabla ya kuandika
Tanzania haiwezi kuendelea ikiwa chini ya utawala wa CCM
......CCM ni jinamizi kwa maendeleo ya Taifa letu............

Ni vigumu mfungwa wa Segerea miaka 30 kumwachia awe huru. Atalia sana maana hajui pa kuanzia mkuu. Ama kweli Dunia ina mambo. ccmisbad would lather die than joining ccm again.
 
Kwa hio alijipiga mwenyewe au vibaka? haina mantiki imekaa kiushabiki flani ivi....kwa hio na leo itakua shwari tu twende mkutanoni? bana hizi sredi zingeanza kulipiwa msingepost vitu hivi

Natoa suggestion kwa MODS KAMA TOPICS 80% YA WATU WAKIVOTE POST HAIFAI BASI TOPIC IFUTWE..
 
Chama cha demokrasia na maendeleo, CHADEMA, kimekiri kwamba mbunge wake wa arusha, Godbless Lema alishikiliwa na kuhojiwa vizuri na polisi kufuatia fujo zilizojitokeza kwenye uchaguzi wa meya wa jiji, ila walisisitiza kuwa uchaguzi haukuwa halali kutokana na walichokiita kutofikiwa 2/3 ya wajumbe husika.
Hawakufafanua ni kwanini na kama ni kweli.
Meya na naibu meya ni kutoka CCM na TLP kwa sasa. Thanks

Wewe una matatizo ya akili, umetumwa hapa si akili zako hizo tunakufahamu
.
 
Jamani mwacheni ajifuraishe maana akipost uongo anajisikia shwaaaariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii na kuwapata akina GeniusBrain nao wanakenua meno.
 
Back
Top Bottom