HIVI CUF IPO???MIMI SIJUI KAMA BARA KUNA CHAMA KINAITWA CUF,HUNA LA MAANA WEWE MTOA HOJA CHADEMA NI CHAMA CHENYE AKILI,HAKINA WANA ZUONI WASIOJUA KUFIKIRI LAKINI CCMB IMEJAA WANAZUONI AKILIZAO SIKU ZOTE zimejaa mawazo mgando ya udini na hakuna watu wenye udini inchi hii kama ccmb na ccm,nenda halafu hawapendani kaangalie maendeleo ,lindi,mtwara.zanzibar ni njaa tupu na kulalama ooh tunaonewa,hata shule hamjengi someni uanazuoni muone njaa itakavyowaua hata shule amtaki,basi wanazuoni mnaoichafua cdm na magamba yenu,acheni udini chagueni mtu makini sio kwasababu ni mwanazuoni au uko nae mandrasa,chagueni watu makini kama dk slaa,zito kabwe kamanda mbowe,na shupavu lisu,ona hivyo vichwa sio kama mzee madevu sharrish kapata ulaji kaatulia na sasa anataka posho ya uzeeni iongezwe mwanazuoni wenu huyo namshangaa naye mtatiro kaamua kupotea huko,aaahi kalizika na ulajhi wa naibu katibu,ccmb na ccm a,, acheni gia za kipumbavu na udini wenu,na wewe gamba kama huna hoja usiingie humu.