CHADEMA waifungulia CUF njia…

Eti gamba gumu ZeMarcopolo linaishauri Chadema! Kama maccm mngekuwa na akili nzuri za kushauri mngefanya hivyo kwa mwenyekiti wenu anayeboronga na kudanganywa kila siku.
 
Last edited by a moderator:
Unapofananisha objective A na B tena kwa awamu mbili tofauti, kutakuwa na factors ambazo zinaweza kuathiri matokeo. Factor mojawapo kwa suala hili ni uongozi wa spika, pili vugu vugu la siasa nk. Kwa mantiki hiyo bandiko lako limekuwa haliwezi kutoa majibu sahihi
 
Mnakuja kwa style nyingi sana, lakini ukweli uko palepele kwamba CDM ndio chama pekee kinachoweza kumkomboa Mtanzania.
Elewa mambo mawili;
1. CUF hawakuamua tu kushirikisha vyama vingine kuunda kambi ya upinzani bungeni, iliwalazimu kufanya hivyo kwa vile idadi ya wabunge wao haikutosha kuunda kambi rasmi bungeni. Wangetosha, thubutu!!?? kama kuna mpinzani angesogeza pua.
2. Usitegemee CDM ku copy jinsi CUF walivyokua wanaendesha kambi ya upinzani bungeni, kila chama kina mtazamo wake. CUF walikuwa wanaburuzwa na wabunge wa ccm na serikali yake, kitu ambacho CDM imekataa na haitadhubutu, na baadhi vielelezo vya hilo umeshavitaja.
 
Hamad Rashid mara nyingi tu ameshazungumzia masuala yanayohusu Tanzania Bara.

Umeshawahi kusikia Mbowe anazungumzia swala la Pemba?

Lissu mara ngapi anaizungumzia Zanzibar?
Nachokusihi usipende kusema wananchi wanachoshwa na CHADEMA...wakati hivi majuzi kimeshinda hadi nafasi za chini vijijini kwenye ngome ya CCM....wananchi wengi wengi wanajua na wanaona hawajachagua kuona...
CCM wanafanya nini bungeni chini ya Lukuvi...au kwa kuwa umeamua kuropoka....huyo Hamad unaemsema nae alitumia staili ya kutoka nje sakata la Meli kuzama zanzibar...
Mtajitahidi sana kwa propaganda hizi but mtawapata wazee wa dar tu na vijana wenye akili za kizee..otherwise you are wasting time and your calories to flogg a dead horse!
 
Mawazo yako yanavumiliwa kadri yanavyostahili.

Hata hiyo hoja ni jinsi vurugu za chadema bungeni zinavyoipa mwanya CUF kisiasa...

wenye maamuzi ya kutoa nguvu kwa cdm or cuf ni wananchi na cyo ccm wala wewe.huna mamlaka ya kuhukumu wala kuwasemea wananchi.jiulize pamoja na hizo vurugu unazozisema na propoganda mnazofanya juu ya cdm bado wananchi wanazidi kuwapa nafasi za uongozi katika chaguzi zinazoendelea.najua ungependa mawazo au ndoto zako zitimizwe lakini mwenye maamuzi ni mungu tu.
Wewe umekuja na uzi wa kuwasifia cuf na lukosi alikuja na uzi wa kuwasifia nccr mageuzi tunasubiri mwingie aje na uzi wa tlp.
 
kwa sasa Bunge zima Sugu ndio anazidi kupendwa na wananchi wa lika zote hadi vikongwe ni wanakuita Sugu nani.....Sugu sugu.........
 

Ogopa sana vijana wenye akili za kizee...Mwenyekiti wa chama akitaka kuongea pumba zake anawaita wazee wa dar...huwa sio wazee pekee..huwa kuna vijana wenye akili za kizee pia among them.
Na ndio hawa wenye mawazo haya ya colonial era.
Ndio maana unaona kama hawafanani na vijana wengine kimawazo na kifikra.
 
Kwahiyo ni wajibu wa mbunge wa Pemba kuzungumzia maswala ya Tanzania bara lakini mbungewa Tanzania Bara hapaswi kuzungumzia maswala ya Pemba?
Najua hiyo ni sehemu ya sera ya chadema ya majimbo lakini haiko sahihi kwenye hilo.

Wabunge wa CHADEMA wanakuhusu nini? Waambie wabunge wa CCM wazungumzie Pemba na kokote unakotaka...CHADEMA wanazungumza yanayowahusu wananchi wao....shauri kwako,usishauri ambayo kwako hayapo na yamekushinda...huu huitwa UNAFIKI!
 
Matapishi yako ayazoe mkeo, cuf ndio ilifanya waziri mkuu ajiuzulu?
 
Hili suala la UGAIDI limekichafua sana chama cha Chadema.

Teh teh teh!kwa mtazamo wako!

Kawaambie wenzio huko Lumumba,huku mtaani hatuitaki CCM!

Endeleeni kufanya maigizo,lakini mfahamu kwamba siku zenu zinahesabika!
 
huyu KUPE hata ufanyeje hatakuelewa kabisa! Ni kumwacha tu maana ng'ombe anayemtegemea yupo mahututi! Matokeo yake sisi tunayajua! Mambo ya Kupe hayo!!??
 
Hili suala la UGAIDI limekichafua sana chama cha Chadema.

wakati mwingine masikio yanaweza kuchagua vya kusikiliza propaganda za ccm zimekosa nafasi kwa wapiga kura na mkitaka kujua hilo acheni sanduku la kura liamuwe pasipo ccm kuchakachua.
 
Hili suala la UGAIDI limekichafua sana chama cha Chadema.
CUF walisafishwa na nani kuhusu Tuhuma zao za Ugaidi, Udini na Vurugu (Ngangari).

Hivi hamuoni aibu kujitoa akili mchana kweupe?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…