Anayesubiri zitto afukuzwe uanachama ili aondoke cdm kachelewa,namshauri aondoke tu,hatuwezi kuwa na watu kama zitto,sisi tunakaribia kushinda vita yeye anakaa upande wa adui na kutushambulia,ni siku nyingi zitto tunamjua kuwa si mwenzetu,bado shibuda,wote hawa wanatumika na TISS kuua chama,zitto alipewa pesa nyingi sana na Ighondu,mkakati ukiwa ni ANGAMIZA CHADEMA KABLA YA 2015.lakini mambumbumbu yameng'ang'ania eti ni chama cha kikanda,ni zitto aliyetolewa shimoni na cdm,hakuna aliyemjua that time,kama ni chama cha kikanda kwa nini hawakumtafuta mtu wa kaskazini ili wampe nafasi hiyo? issue ipo clear kwamba zitto aliasi chama chini ya uangalizi mkubwa wa kina nchemba,kwa kuwa cdm kuna intellectuals wengi,na intelligence yetu ni kubwa tulibaini mapema hivyo tukajipanga,ni ccm ndo inaeneza chuki za kidini na kikabila,inatapatapa,hailali,ikijua nchi inaondoka,ndivyo vilivyo vyama vingi afrika vilivyotawala muda mrefu,vina ndoto ya kutawala milele,maana watawala wake wana dhambi ya kujibu kwa wananchi.