Yeth lottah
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 1,406
- 2,227
Duh! Kumbe wewe ni mganga?Sasa hata wakimpa kura zote itasaidia nini??? Mpaka sasa hivi matokeo yanajulikana. Kinachosubiriwa ni kujua idadi ya wapiga kura tu ili kuya-adjust. Inshort Mtulia atashinda kwa asilimia 67