Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Hali hii inatisha na kusikitisha!
Inamaanisha huyu mama Batilda keshawaweka mfukoni ofisi nzima ya Takukunguru Arusha!
Aibu sana kwa Hosea na wenziye!
Give me my shortgun!
Give me my shortgun!
Naogopa kukupoteza mapema na ukizingatia na huwa uanakaaa huko A town duuuh na nilivyo tupiwa profile la ndugu zake na huyo Batilda nkachoka. nasikia huwa anatembea na Body Guard jamani huyo ni mbungeee au ni ??
Nakuja kwa hao takukuru ashukuru sana Hosea wakati nilipo pita pita huko kwenye kampeni mikoani nilijionea mengi ila sikuwa na vitendea kazi ninge record scrip chache na kumtumia kwani kuna wagombea wengine kabisa walikuwa wanapewa information directly toka Takukuru kinachoendelea ni nini na atafanya nini na asilimia kubwa ni wale waliokuwa wana mihela mingi wakati wa kura za maoni.
Kwa hilo sishangai kuona upane wa huyo mama Batilda kubebwa na Takukuru kwani EL bado ananguvu sana hap A town na hilo alina ubishi na twasikia wana CCM wamejitenga sana hata kujishughurisha kumsaidia huyo mama kampeni hawataki kabisa kwani inavyosemekani ni sio chaguo lao, Jambo la kujiuliza wana JF kama kweli wewe ni chaguo la wananchi sidhani unaweza kila kukicha wewe scandal ziko nyuma yako nini kunani hapo unakubalika au ndio hukubaliki maaan kama ukipita na usipo wafanyia maendeleo hawa watu wa jimbo lako inakula kwako 2015 bila ubishi ndugu wagombea.
Mifano dhahili inaonekana huko IRINGA,NYAMAGANA HAPA KWETU,NZEGA kwa Bashe, na ndio maana wanakuambia mabadiriko yajapo hayazuiriki hata hao JWTZ wafanyaje huto zui bari ndio mtaanzisha umwagaji wa damu wekeni uchaguzi uwe wa huru na haki , takukuru kama mwambiwa then mwawatonya wagombea ambao mwatakiwa enda kuwakamata na mkifika hapo bila aibu unawapigia simu wale watu waliokuambia isssue ati mbona hao mnao wasema hawapo hiyo ni kazi na huku mlichelewa kwenda jamani khaaaa