ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
CCM itadumu milele...magwanda wameshaanza kusalitiana wenyewe, kwa mtindo huu watafika?
Hahahah...huu wako uliounadika unauonaje?
Kweli kabisa...hauji kwa vurugu na maandamano
Magwanda utawajua tu....wakikosa chakuongea utasikia ooo...masaburi...oooo umetumwa na nape!
Lakini MAGAMBA utasikia ooohoo bakuli letu la kuombaomba WAMELIDAVID CAMEROON. shame on you